Niaje wana jf,,nkumbuka nliandka uzi wa kutafta girlfriend miak 18-24 na MUNGU alnsaidia nkampata mtu hum ndan(stomsema jna) alkua na miak 25 kanzid miak 5..nmekaa nae kwenye mahusiano huku tukifahamian kiundan zaidi kw mda
Sku moja nkamwombe tukapime afya zetu,,bt akawa mgumu katk sekta...