*🏢 Apartment moja ya vyumba 3 kwa TZS 350,000,000 *
🔑 Vipengele Vikuu:
IPO KATIKA UBORA: ipo katika jengo lenye swimming pool, gym, lift, na genereta
Mauzo ya Kibenki: inauzwa moja kwa moja na benki kwa uhakika wa usalama wa miamala.
📞 Mawasiliano ya Haraka:
Piga simu kwa namba: 0784 225...
Nyumba inauzwa chanika mwisho senta milion 22, (imeshuka bei njoo hata na nusu anapokea maana ana shida) ina viumba v2 kimoja masta sebule jiko na pablic toile. Full tiles and gypsum umeme tayari. Bei inapungua njoo site
Kutoka chanikamwisho hadi kwenye nyumba dk5 kwa mguu
Call 0743257669
Nauza noah SR 40 Automatic gear bei 10.5M haipungui .
Gari ipo Dar es salaam Ilala/Kigamboni.
ukitaka kuiona ni muda wowote
Gari haina changamoto yeyete na haijawahi tumika kwenye biashara zaid ya matumizi ya kifamilia tu.
ukihitaji njoo PM
Iphone 7 plain yenye storage ya 32GB battery health ya 100% iko in excellent conditions pia..bei ni 180k fixed! na napatikana Dodoma mjini, kwa mawasiliano zaidi 0653963998, karibuni sana
Suzuki Carry New Model 4WD
Reg: EAA
Year: 2016
Engine: 650cc
Mileage: 76,862km
Gari bado jipya halina kipengele hata kimoja
Gari linabodi tayari kama linavyoonekana kwenye picha
Bei: 14.5M
Call: 0746191267
Nyumba Inauzwa Bahari Beach, Dar es Salaam.
Mahali: Br. Simba, Mtaa wa Mugeta.
Sifa za Nyumba:
*Iko Mita 100 kutoka barabara ya ununio.
*Ina Vyumba vitano vya kulala(vyote ni master).
*Huduma zote za kijamii zipo.
Ukubwa wa Eneo: SQM 1833.
Nyaraka: Ina Hatimiliki.
Bei: Milioni 900. Mazungumzo...
650k USD
Maongezi yapo tuwasiliane 0769619500 rasta majumba
Mita 600 kutoka beach
Ipo wa mtaa wa pili kutoka mwai kibaki road
Ukiwa gorofa ya kwanza unaona bahari
Eneo lenye nyumba iliyofikia umaliziaji inauzwa Goba, Dar.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Eneo:
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli.
*Ina Vyumba vitatu vya kulala, chumba...
Habari!
Kuna Youtube Chaneli inauzwa. Inasubscribe 14700, ipo kwenye malipo na imetoa pesa mara 3 hadi sasa.
Bei yake ni 3,300,000.
Kama unahitaji basi Unaweza nicheki PM kwa mawasiliano zaidi!
Asanteni!
Boda boda use inauzwa , bei ni 1.3M.
Boxe BM , inamarekebisho yatahitajika kama laki 4.
Ipo Dar es salaam , kitunda.
Namba ya simu/ whatsapp 0754200363
Wakuu,
Nina ndugu yangu ana maabara yake ya kisasa kabisa anauza vitu vya ndani, vyote kama ilivyo, yani ni kuchukua na kuhamisha kila kitu, yeye amehamishwa kikazi.
1. Centrifuge
2. Water Bath
3. Microscope
4. HB Machine
5. BP Machine
6.Weighing Scale
7.Blood collection tubes
8.Autoclave...
Gari: Toyota hilux surf
Mahali: Morogoro mjini
Bei ya kuanzia: Maeleweno yapo japo bei ya kuanzia ni Milioni 8
Gari lipo katika hali nzuri na linatembea lsipokuwa lina changamoto ya Cylinder head.Kama kuna yeyote yeyote yuko interested tunaweza kuwasiloana PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.