Habari wana JF
Solar power system yenye uwezo wa kuwasha nyumba nzima inauzwa TShs7.5M. Maongezi yapo
Specifications 5kw inverter, 10kw battery and 2,000watts solar panel zenye ukubwa sawa na ceiling board yaan 1.2m X 2.4m
Ni mpya kabisa kutoka China bado kwny box kama inavyoonekana.
Ipo Tabata...
Nyumba yenye ukubwa wa almost sqm 300 inauzwa Kimara Matosa:
LOCATION: KIMARA KWA KOMBA KAMA UNAENDA MATOSA
4 BEDROOMS HOUSE
3 BATHROOMS
1 SITTING ROOM
1 DINNING AREA
KITCHEN
STORE
PARKING
NB:barabara ta gari ipo mpaka eneo husika,ukubwa wa eneo ni square meter 400
BEI NI 80M
Umiliki ni karatasi...
Nyumba Inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
• Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
• Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo.
• Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
• Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr.
• Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya...
Heavy duty compound miter saw, mashine ya kukata aluminium, chuma, mbao, shaba, PVC n.k
● Powerful- 2400W
● Msumeno Inchi 10
● Ina laser positioning
● Inabend kushoto na kulia 45°
● Inakata upana wa 9cm
● Inaslide urefu 34cm
● inaweza kazi kwa muda mrefu
Angalia picha zake na video hapo chini...
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Mbiu.
Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko.
*Ina nafasi kubwa nje.
*Ina fremu mbili nje hazijakamilika.
Ukubwa wa Eneo: Sqm...
Nyumba Inauzwa Tabata.
Mahali: Misewe B, Liwiti.
Sifa za nyumba:
• Ina vyumba vya kulala 3 na master 1.
• Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo.
• Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa.
• Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr.
• Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya...
Habari wana jamii Forum ninauza simu yangu Samsung galaxy a55 ni simu kali na latest kwa series za A
Samsung Galaxy a55
Gb 256
Ram 12
5g network
Bei Tshs 900,000/=
0625 557 395
Dar Es salaam
Karibuni sana
NYUMBA INAUZWA
MKOA: Dar es Salaam, Tanzania
WILAYA: Kinondoni
MAHALI: Bunju Beach, Moga
NYUMBA INAUZWA KAMA ILIVYO
BEI: TZS Milioni 550
MAONGEZI YAPO
UKUBWA WA KIWANJA: SQM 1600
UMILIKI: Ina hati safi
NYUMBA KALI SANA INAUZWA
SIFA ZA NYUMBA:
Vyumba 4 vikubwa vya...
KUNA PAGE HAPA SINA KAZI NAYO NIPENI HELA MPIGE PESA ZA ZUCK
Kama unataka ukurasa ambao una watu wengi tayari basi huu hapa nipe hela umalize kwa kuweka video 2 pekee na ukidhi masharti
Haina kipengele chochote sababu mimi nina kurasa zingine hivyo kuliko kubaki na kurasa nyingi hii nimeona...
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Mbiu.
Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko.
*Ina nafasi kubwa nje.
*Ina fremu mbili nje hazijakamilika.
Ukubwa wa Eneo: Sqm...
Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam.
Mahali: Mtaa wa Mbiu.
Sifa za Nyumba:
*Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga.
*Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko.
*Ina nafasi kubwa nje.
*Ina fremu mbili nje hazijakamilika.
Ukubwa wa Eneo: Sqm...
NYUMBA INA VYUMBA VITATU VYA KULALA KIMOJA NI MASTER BEDROOM YENYE CHUMBA CHA MAKABATI YA KUHIFADHIA NGUO.
SEBULE, DINING, JIKO, STOO NA PUBLIC TOILET.
INA KORIDO PANA KUELEKEA VYUMBANI.
RAMANI YAKE NI NZURI NA YA KISASA.
ENEO LINA UKUBWA WA 20 UPANDE WA KULIA, KUSHOTO 20, NYUMA 20 NA KWA...
Nauza Laptop yangu yenye sifa zifuatazo
Brand: HP
Model: Probook 645 G4
Type: Office + Gaming pc
Ram: 8gb
Processor: AMD Ryzen 7 Pro 2.2Ghz
Video Card Memory: 2gb
Storage: ssd 250gb
Size: 14"
Ina games (Call of duty, Need for speed & PES 2020) na Engineering software. (Solidworks & Autocad)...
Pikipiki ya kazi na ya uhakika kutoka KINGLION, hii inapita popote na inafanya kazi wakati wowote.
Model: 150-9AEngine Capacity: 150ccFuel consumption: 1L/55KM
Ukinunua unapata usajili bure, jacket, T-shirt na Helmet 2.
Piga simu au WhatsApp: 0683535699
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.