inauzwa

  1. ZINJANTHROPAZ

    Car4Sale Gari inauzwa Mbeya mjini

    Gari aina ya crown inauzwa mbeya mjini kwa maelezo yooote,,, Call this number 0756944830 Au 0629903097..
  2. ADESIGN

    Tv stand set used inauzwa

    Nauza TV stand set ambayo ina coffee table yake, ila cofee table yake imevunjika kioo cha juu tu, ni kukibadili tuu, kwahivyo nauza kwa bei nafuu, nitafte kama uko interested : 0684101707 Niko tabata kinyerezi.
  3. D

    Extension cable ya Mita 50 inauzwa

    Extension cable yenye urefu wa 50m Size 2.5mm Bei 120,000 tu Mawasiliano: 0621396858
  4. Biashara2000

    Canon 18mm-55m lens inauzwa

    Habari zenu Canon zoom lens 18mm-55mm lens f3.5-5.6 Inauzwa. Ni mpya haijatumika maana kwenye kamera yangu baada ya kununua nili switch kwenda kwenye prime lens Bei sh 250,000. Hii inatumika kupiga picha na kushuti video. Inakaa kwenye camera canon 500D,550D, 600D Hadi 800D. Hata kwenye Nikon...
  5. Mejasoko

    Photocopy machine inauzwa bei 500k, xerox 7220 mafundi mnakaribishwa

    Mazungumzo yapo changamoto ni umeme tu, mwenye uhitaki karibu inbox
  6. A

    Nyumba inauzwa Goba njia nne

    Nyumba Goba niwe nne Njia panda ya Tegeta A. Ukubwa wa eneo 550 square meter vyumba vinne, viwili master, sebule na jiko Tank la Maji na kisima cha Maji ya akiba, Mita 400 toka barabara ya Lami Bei 230M mazungumzo yapo Hatimiliki ipo Mawasiliano 0737148766 Karibuni
  7. M

    Miti mikubwa pines inauzwa

    Kuna mashamba matatu ya miti ya Mbao jamii ya pines ( pinus patulla), miti ina umri wa miaka 12 na 13. Miti hii iko kijiji cha Chogo Mufindi, ni 100km toka Mafinga kwa njia ya Ibwanzi, au 120km toka Iringa/Mafinga. Bei ya kila eka moja ni Tsh 1,200,000/. Mashamba yanafikika kirahisi. Shamba la...
  8. K

    INAUZWA IFLYTEK translator 4.0 inauzwa

    Kifaa cha kubadilisha lugha kinachotumia mfumo wa AI kinabadilisha lugha yoyote kwenda kwenye lugha yako mtu anapoongea vinatumika kwenye mikutano ya kimataifa kwa viongozi, wafanyabiashara, n.k Wanaofahamu wanajua umuhimu wake kama unaitaji nichek 0686210608 au 0748474936
  9. K

    Nyumba Tanga-Kange Block 25mln inauzwa!

    Habari, nauza nyumba na Mimi ndio mhusika,ipo Tanga mjini,Kange Area block D. Nyumba ina vyumba vitatu, viwili ni self contained na cha 3 ni master bedroom,ina varandq(sitting kubwa) dinning na kitchen. Niliweka magrili na wiring baada ya ujenzi,ujenzi ulizingatia uimara kwa kuweka msingi wa...
  10. Kitomai

    House4Rent Nyumba inauzwa kariakoo

    . Ina vyumba viwili vya kulala ( kimoja kinajitoshereza), subule na jiko. Ipo ghorofa ya nne (4). Bei 65mil. Maelewano yapo. Tuwasiliane 0784225000
  11. B

    Juice dispenser mitungi miwili inauzwa

    sold
  12. Kitomai

    Car4Sale Toyota Rav 4 Inauzwa Dar

    Ipo katika hali nzuri. Bei 13.5mil. kuiona tuwasiliane kwa simu 0784225000
  13. Shooter Again

    Kuna gari aina ya Tesla inauzwa, imeingia Bongo jana

    Kama ilivyo humu jamii forum kuna Matajiri Sasa mimi kama dalali mzoefu Kuna ndinga mpya imeingia Jana aina ya Tesla inauzwa nafikiri mnajua hii gari sio Kwa ajili ya masikini Nimetoa tahadhari mapema usije ukajua IST narudia tena ni Tesla ya tajiri Elon mask sio Kwa ajili ya watu njaa njaa
  14. Tanki

    ( PICHA ) Friji aina ya BOSS mpyaaa inauzwa

    Tangu itoke dukani Ina miezi minne. Na imekuwa ikitumika nyumbani. Haina hata mkwaruzo. Haina kipengere chochote. Ni milango miwili, Inapooza na kugandisha Bei 300,000 Contact : 0785214599 ( Dar es salaam - Kigogo round about )
  15. Apollo tyres

    House4Sale Nyumba inauzwa ipo Sinza A karibu na apartment za Delina .

    ENEO LINAFAA KWA APARTMENT AU MAKAZI BINAFSI LIPO SINZA A KARIBU NA APARTMENT ZA DELINA NA KITAMBAA CHEUPE ENEO NI SQM 356 ENEO LINA HATI PAZURI SANA KI BIASHARA CALL 0658124288 , Kwa ajili ya kwenda kupaona na maongezi BEI : Mil 190 na maongezi yapo kidogo .
  16. Lanlady

    Inauzwa bei gani?

    Kwa anayejua bei ya hizi pikipiki na mahali zinapopatikana, anijulishe tafadhali.
  17. Zero Competition

    INAUZWA Subwoofer mpya inauzwa

    Subwoofer mpya aina ya ALITOP inauzwa na imetumika wiki mbili tu tangu itoke dukani Haina tatizo la aina yoyote ila nimepata dharula ndio maana nimeiweka sokoni Subwoofer hii ni size ya kati siku kubwa sana wala sio vile vidogo hapana, ina mziki mkubwa tu na inatosha kwa matumizi ya nyumbani...
  18. Kitomai

    House4Sale Nyumba Inauzwa - Ukonga, Dar es Salaam**

    ** Nyumba inauzwa katika eneo la Ukonga, Dar es Salaam. Ukubwa wa Kiwanja: 885 mita za mraba Hati: Kiwanja kimepimwa na kina hati miliki Vyumba: Ina vyumba vinne vya kulala, jiko, na sebule pamoja na mahali pa kula Ufikiaji: Nyumba inafikika kirahisi Bei: 130mil Maelewano yapo Kwa...
  19. H

    Msaada, Nahitaji ardhi Songea ambayo haijawahi limwa

    Samahani wadau ninasikia songea Kuna ardhi haijawahi limwa na inauzwa kama Kuna mtu ana uwezo wa kunikonect naomba anisaidie nipo iringa.
  20. Binadamu Mtakatifu

    Computer inauzwa bei 230k ram 8, ssd 128

    Bei ni 230k nipo dar Problem ni hii nilinunua mwezi wa kwanza mwaka huu refub, ishu ni inapassword kwenye eufi sijui ni bios (ambayo siijui na niliponunulia warranty ni miez sita) Ram 8GB, Ssd 128, Battery 3hrs Bei maelewano
Back
Top Bottom