Wakuu habari,
Ndugu yangu anauza gari aina ya suzuki lihana.
Gari inapatikana maeneo ya kimara Mwisho
cc 1490
Bei ni m6 inapungua kidogo
No 0715568585
Usajili no DHD
2WD
gari ni automatic
Unaweza ukanunia simu ya bei ndefu bado usifurahie vizuri na mwingine akanunua simu ya bei rahisi akapata vingi, we kama mdau unadhani kipi cha muhimu kwenye simu kulingana na mahitajio kama kasi ya mtandao,kamera,memory,housing nk.?
Laptop Inauzwa
Ni SAMSUNG LAPTOP
RAM 4 GB
Processor 2.4GHz
HDD 360GB
Betri yake nzuri sana inakaa na chaji masaa 4
Bei ni 260,000
Location ni Dar es salaam, Mbezi mwisho.
Mawasiliano 0752026992
Habari wakuu.
Kwa wale wahitaji WA mashine za kunolea na kukatia vyuma. Nauza benchi grinder hii kwa bei ya Shilingi 120,000/-
Ipo Dar Es Salaam ila popote inaweza kukufikia.
Karibuni
Nyumba inauzwa eneo karibu na shule ya msingi mbezi luis
Njia ya kwenda Goba
Eneo lina SQM 400 (20×20)
Nyumba ina umeme na maji
Nyumba ina vyumba vinne.
Finishing haijakamilika vizuri.
Dakika 10 tuu mpaka barabarani
Inahitajika milioni 36 tu...🔥
☎️ +255 783755971
Karibuni sana
Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Hassan Bomboko amekanusha taarifa zilizozua taharuki mitandaoni kwamba Shule ya Msingi ya Ubungo National Housing ambayo ni ya Serikali, imeuzwa kwa Wawekezaji.
Akiongea leo November 13,2024 kwenye mahojiano maalum na Ayo TV akiwa Shuleni hapo, DC Bomboko amesema Shule...
NB📌COMPREHENSIVE INSURANCE COVERAGE IS IN EFFECT/ACTIVE✅
Bei/Price🏷️👉🏽TSH 31.8M
Call📞0747 999 927
TOYOTA VANGUARD
Year: 2010
Engine: 2360Cc
Mileage: 79,000+
Transmission: AUTO
✨Sport Rims
✨Back Camera
✨Push To Start
✨Android Radio
✅Clean Interior
✅In Good Condition
✅Exchange Possible
Nyumba Inauzwa milioni 60 maongezi yapo
Location📍IPO KIBAMBA NJIAPANDA YA SHULE
-Nyumba ina vyumba 3 vya kulala, Vyumba viwili ni master, dinning room, sitting room, kitchen na public Toilet
Nyumba ipo 3Kms kutoka morogoro rd na ipo kwenye barabara ya mtaa (Hondogo)
-Plot size Sqm 1044...
Nyumba inauzwa madale mivumoni karibu na kaseke primary school
Ina eneo la ukubwa wa 487 square meters
Ina vyumba 3 master na choo cha public na jiko
Inatank la maji la lita 3000
Bei ni 170M
Karibuni sana
Xiaomi Redmi Note 11
Storage Gb128/6Gb Ram
Camera ni balaa📸🔥🔥50MP ultra Wide /13MP Selfie
Laini mbili
Battery 🔋 5000MAH (Over 2 days lasting with data usage)
Simu iko clean Vibaya mno imetumika miezi minne, full boxed.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.