• Ipo Kibamba Mwisho
• Ukubwa wa eneo ni ekari 4
• Ina hati miliki
• Imesajiliwa
• Inauzwa TZS bilioni 1.2
.
✓ darasa 1-7
✓ inatoa huduma
✓ ni ya kutwa
✓ ina maabara na jengo la ofisi
✓ ina kiwanja cha michezo
✓ eneo kubwa limebaki linaweza kutumika kwa maendeleo mengine
.
• In Real...
Tshirt hii alivaa GSM siku ya mwananchi.
Ikawa gumzo, mtaani wakasema ni bei.
Jamaa yangu kaenda kuinunua kauziwa 85,000 na risiti halali ya EFD kapewa.
Mambo mazuri yanahitaji pesa!
Nyumba inauzwa kibaha maili moja loliondo
Ina Vyumba 2 kimoja master
Jiko,public toilet, sebule
Umeme upo,eneo lina 20 kwa 20
Umiliki Mkataba wa Mauziano ya serikali za Mtaa
Nimailimoja loliondo pikipiki sh. 2000
Bei mln 19 maongezi yapo kidogo
0675 065906
• Direction: Kisutu
• Document: hati
• Price: TZS milioni 200
.
✓ ni ghorofa ya 4
✓ ina lift
✓ inauzwa bila samani (unfurnished)
✓ vyumba master 1 & kawaida 2; public washroom; sebule; jiko lenye makabati; balkoni
✓ feni za juu; maji moto bafuni; madirisha vioo
✓ wafanya usafi nje na ngazi
✓...
Habari
Mota ya kuzungusha machine ya kusaga mahindi inauzwa. Mota hii ipo kibaha mkpa wa pwani. Ina Hz 50. Bei sh 1..8m. Anayehitaji karibu. 0758308193
Nyumba inauzwa ipo kibaha mwenda pole. Si mbali na barabara kuu iendayo dar es salaam.
Ina vyumba 3 master 2 single Moja Ina sitting room dining room jiko store umeme maji mabanda ya kuku ya kisasa Ina tiles na madirisha ya aluminum.
Ukubwa wa eneo ni hatua 20 Kwa 60. Bei ni sh milioni 80 Tu...
Howo tipper 371 used inauzwa, ni used kutoka China ina Hali Nzuri Sana, Karibu ofisini kwetu Kurasini opposite na diplomatic college,
Pia utapata offer ya kufanyiwa service ya truck Kwa mwaka mmoja
Karibu sana.
Price: million 127.5
☎️0715 128 827
Habari wakuu.
Samsung note 9 ipo sokoni ila ina shida ya kioo kinahitaji kubadilishwa.
Storage 128GB
Ram 6GB
Bado ipo kwenye clean condition ukiacha kioo tu.
Bei ya kubadilisha kioo ni 170k
Bei 90,000
0757 444 844.
Vitz old model inauzwa
1. Milango 5
2. Cc990
3. 1SZ FE engine
4. Haina deni, bima imelipwa
5. Engine ina kipengele, inarekebishika au inafaa kwa mswaki. Mimi nna gari nyingine
6. Bodi zima.
Picha imewekwa apo, for serious business nicheki inbox
IPO KINYEREZI KIBAGA KWA WASHUA
GHOROFA NI YA VYUMBA V4 SEBULE JIKO DINNING PUBLIC TOILET, STOO
NJE IPO BOY COTER VYUMBA V2 NA CHOO
BEI MIL 750
TITTLE DEED MKONONI
ENEO SQM 1200
KARIBU SANA MTEJA
KARIBU KINYEREZI MKUU UISHI NA MABOSI
0625034172
0755518791
Nauza Portable Dell laptop 💻
Specifications
Generation:10
Internal storage:1000Gb(1tb)
Ram:4
Processor:2.5GHZ
Condition :Used like new /nimetumia kwa mwaka mmoja nilinunua 700,000Tsh
BEI:Nauza kwa Ofa Tsh 500,000
Location: Muhimbili ,Dar Es Salaam
Contacts:+255743649012
NYUMBA INAUZWA (LODGE)
Loc: Kitunda Matembele ya Kwanza(DSM)
Bei/Price: Millioni 95,000,000/=TZS (Maongezi Yapo)
Nyumba Ina Vyumba vitano Vyote Master, na chumba cha nje cha mfanyakazi, public toilet, parking & fance.
✅Document: Hati Miliki Ipo
Contact 📲
0748270719
Kazi kazi
Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML
Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru ukubwa ni mita 20x30 ila nafasi ya kuongeza kubwa wa eneo ipo, kina faa kujenga Sheli sababu barabara kubwa ya lami itapita hapo siku sio nyingi, bei Tsh 50ML.
Nina kiwanja maeneo...
bagamoyo
banana
bandari
bucha
daycare inauzwa
eneo
eneo linauzwa
eneo linauzwa msakuzi
goba
goba mpakani
heka
inauzwa
jirani
kibaha
kibaha maili moja
kibamba
kiluvya gogoni
kimara
kinauzwa
kiwanja
kiwanja kinauzwa
linauzwa
madafu
mashamba
mawili
mbezi
mbezi mwisho
moja
mpakani
mwisho
njia
njia panda
nyumba
nyumba inauzwa
plot for sale
shamba
shule
tabata
ukubwa
university
vigwaza
vinauzwa
viwanja
viwanja salasala
viwanja vinauzwa
yanauzwa
• Direction: Chama
• Survey: skwata
• Plot Area: Mita za mraba (sqm) 1,200
• Document: Leseni ya Makazi
• Price: TZS milioni 350
.
✓ eneo linachipukia ujenzi wa majengo ya kisasa kama: kanisa apartments, hospitali, kituo cha mafuta, nyumba (standalone), n.k
.
Call/Watsap: 0767 15 77 88
.
In real...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.