inauzwa

  1. P

    Car4Sale Toyota Vanguard inauzwa Tsh milioni 28

    TOYOTA VANGUARD YEAR 2011💦 ENGINE CAPACITY Cc: 2360 MILEAGE: 82496 ENGINE CODE: 2AZ FUEL PETROL STANDARD FEATURES FULL OPTION✅ CODE:2AZ FUEL PETROL 🛢️PRICE:28M CONTACTS:+255754459647
  2. live on

    Car4Sale Carina TI inauzwa

    CARINA TI INAUZWA bei tshs 6.8 M Ipo Dar es salaam kama unahitaji njo inbox
  3. Saad30

    Car4Sale Ford Ranger inauzwa, gari ya 2022

    Ndinga Hilo Gari ipo vizuri sana Gari ya mwaka 2022. PRICE/BEI: 122M EXCHANGE/NAVUNJA NA GARI YOYOTE✅ FORD RANGER STORM TRACK 🛻 Year:2022 Engine Capacity:2.0cc Engine: DIESEL TURBO Kilometer: 37055km fuel range :988km full Torque maximum500 Nm Power maximum (detail)157 kW Standard...
  4. C

    House4Sale Nyumba inauzwa ipo Chanika Masantula, Dar es Salaam

    Habari Wana JF, Nyumba inauzwa ipo Chanika Masantula Dar es Saalam. Ina eneo la nusu heka. Ina vyumba vinne vyote master. Ina sebule, jiko, Stoo na dining kubwa tu. Ina nyumba ya uani ya vyumba vitano, Stoo, na choo chake. Bei ni milioni tisini (90,000,000) Whatsapp 0622905303 Au nipigie...
  5. A

    House4Sale Pagale linauzwa Msumi

    Pagale ya vyumba vitatu, kimoja master, jiko, public toilet, dinning, sitting na store. Kiwanja ni 27*18 bei ni maelewano, Nyumba ipo Msomi! Boda 1000 kutoka Msumi center! Kama upo interested nitafute 0782100086
  6. B

    INAUZWA Hostel ya vyumba 12 inauzwa Tanga Kange kasera

    Hostel ya vyumba 12 ndani ya kiwanja cha sqm 412 inauzwa million 60 hostel ipo kange kasera karibu na chuo cha utumishi tanga … mwenye uhitaji anicheki namba za simu 0612630936
  7. D

    Computer4Sale Laptop aina ya Lenovo inauzwa

    Laptop LENOVO inauzwa kwa Gharama ya 200k maongezi yapo. Anapatikana Tabata Magengeni. Condition-Used, inakaa na chaji dakika tano tu hivyo inatumika ikiwa kwenye umeme Specs- RAM 4RAM HDD 300 PROCESSOR 1.7GHZ Wasiliana na muuzaji Moja kwa moja 0718378427.
  8. KingPower

    INAUZWA Mashine ya kukamua juice ya miwa inauzwa

    Habari za weekend, Wakuu. Husika na mada tajwa hapo juu, Waswahili wanasema kimfaacho mtu chake, Ninauza iyo machine ya kukamulia Juice ya MIWA, ipo Tanga kwa Bei ya 850K, Ipo katika hali nzuri inatumia umeme, na toka nimeinunua nimeitumia kwa mwezi mmoja Tu, Karibu Sana.
  9. Y

    Computer4Sale Laptop inauzwa Mbeya mjini

    Laptop brand lenovo thinkpad inauzwa bei 350,000 location Mbeya mjini. Ram 4gb, storage 500gb, processor 2.6, core i5.
  10. Kyambamasimbi

    DOKEZO Sukari inauzwa madukani Tukuyu ikiwa haina maandiko yoyote, haija ‘expire date’ wala utambulisho kuwa inatoka wapi

    Kwenu TBS naomba kujua ni halali kuuza sukari iliyowekwa kwenye mifuko Tena ya kilo Moja haioneshi imetoka wapi Wala Haina expire date. Hii ipo Tukuyu maeneo ya Kiwira, KKK, Tukuyu mjini, sasa je usalama wa bidhaa hiyo kwa mlaji ukoje? Jamani fuatilieni watu wajue wanatumi bidhaa ya namba Gani.
  11. R

    Phone4Sale Google Pixel 5a, 5G inauzwa bei nafuu

    Brand : Google Pixel Model : Google Pixel 5a Network: 5G Ram : 6 GB Storage: 128 GB Screen Size: 6.34 inches CPU : 2.4 GHz Cover la sim gumu unapewa bure Bei: 430,000/= Sim bado ipo kwenye hali nzuri kama mpya, haina mikwaruzo, vidoti n.k Nipo Dar es salaam Karibuni sana
  12. B

    Naomba msaada hii dawa naweza ipata wapi? Kwa hapa Dar na inauzwa bei gani?

  13. M

    Pikipiki ya kuchaji inauzwa

    Habari ndugu, nauza pikipiki ya kuchaji aina ya linkall . Bado iko imara bei 550k (maingezi yapo) nicheki kwa 0783150130 chapu uchukue mali
  14. Mkalukungone mwamba

    INAUZWA Youtube chaneli inauzwa ina subscribe 6526

    Youtube chaneli inauzwa ina subscribe 6526 ipo kwenye malipo Ilikuwa inafanya kazi ya vipindi vya michezo Bei ni 600,000 Simu 0753-215812.
  15. Mkalukungone mwamba

    Photocopy canon ir 1435 image imagerunner inauzwa

    Photocopy canon ir 1435 image imagerunner inauzwa NI Black and White Inatumia Flash Double slide Inatoa copy,inascan maximum size A4,Inatumia wino wa powerd Ina bypass tray,ina network port na ethrnet Bei 1,000,000 Simu 0753 215812 Mazungumzo yapo!
  16. Gluk

    Bajaji ya abiria inauzwa

    Bajaji inauzwa bei sawa na bure ni kampuni ya Sinoray. Capacity cc200 Seats 8 Usajiri ni DSG full document Ni kununua na kuingia barabarani haina changamoto yoyote Bei ni Milioni 3,200,000 haipungui Pia naitoa kwa mkataba kama wewe ni dereva una leseni na una mdhamini. Mawasiliano 0758161628...
  17. Mwafrika mmoja

    Pikipiki Boxer mpya inauzwa njoo ibebe

    Habarini za Asubuhi wakuu. Nimewaletea mzigo huu kwenu Pikipiki TVS inauzwa, ina miezi 5 tu tangu inunuliwe. Ni yakwangu mwenyewe haijatumika sana. Model: TVS 125 Plate number: DQF Bei yake: 2,000,000 Fixed Nicheki WhatsApp: 0683535699 NB: Nimekosea kwenye headline siyo Boxer ni TVS
  18. salehe magari mazuri

    Car4Sale Tunauza Magari aina mbalimbali

    Price/Bei 15.7mls Cont: Bmw 3 Series ECY Year 2008 Cc 1990 Low Km 99000 Full Options✅ Sports & New Tyres Clean Condition 0688591584 Navunja Na Gari yoyote°° Location Dar es salaam
  19. X_INTELLIGENCE

    INAUZWA Pikipiki boxer BM 125 inauzwa

    kimfaacho mtu chake sindio wanajamiiforums enh nina uza pikipiki yangu aina ya Boxer bm 125. pikipiki hii imetengenezwa mwaka 2022 ikasajiliwa hapa Tanzania mwaka 2023 hivyo ina mwaka sasa tokea ianze kufanya kazi. nilikuwa naitumia kwendea kazini tu. na vijisafari vidogo vidogo. hivyo sijawahi...
Back
Top Bottom