inauzwa

  1. 0

    Canon Rebel T2I (550D) inauzwa

    Habari Nauza kamera tajwa hapo juu. Iko katika very good condition. Nilikuwa naitumia kushuti video za kitchen parties nilizokuwa naandaa. Haijatumika muda mrefu nimenunua ya juu yake ambayo ina flip screen, kwahiyo hii nayoiuza Sina matumizi nayo. Bei sh. 680,000. Inakuja na: -Lens hood...
  2. USTADH ARABI SAIDI

    GARI TOYOTA COROLLA INAUZWA

    Toyota Corolla One Eleven 111 colour white cc1394 Engen 4E Bei Tsh 6M (Maongezi yapo kidogo) Location- Bunju, Dar es Salaam Fully Document Gari ni Manual Injini safi ni kuwasha na kuondoka Piga Simu 0684129792
  3. Jay_255

    Computer4Sale Gaming pc inauzwa ni machine haswaa

    SOLD
  4. A

    Hisense smart Tv inch 40 inauzwa

    Nauza Tv ya Hisense Smart Tv inch 40 kwa 500,000. Nakupa na Box lake kabisa. HAINA TATIZO LOLOTE. Napatikana Dar es Salaam.
  5. Wakuperuzi

    Tcl android tv inauzwa

    Nauza tcl android tv inch 43 mali safi Napatikana Banana
  6. ngoja ngoja

    TAA YA CROWN ATHLETE INAUZWA!!!

    Rejea kichwa cha habari hapo juu. Jana pasipo bahati maeneo ya posta clock tower mtaa wa indira gandi nimeigonga crown Athlete upande wa kulia taa ya nyuma. nilikua nina canter na gari imepaki karibu na kona hivyo tairi ya nyuma ikaigonga lensi ya taa hiyo wakati nakata kona. Taa ni nzima na...
  7. M

    Nyumba inauzwa milion 37 ipo kwa jeshi

    Anayetaka anicheki inbox
  8. M

    Plot4Sale Nyumba yenye kiwanja kikubwa inauzwa Tegeta

    Nyumba yenye kiwanja kikubwa inauzwa Tegeta kama ifuatavyo; 1. Nyumba in vyumba vitano Vitatu vipo juu, kimoja ni master na viwili vipo chini na public toilet, sitting, kitchen and dining. Ipo mita 100 toka barabara ya Bagamoyo. 2. Kiwanja ni 4303 sq meter 3. Ina hati miliki. 4. Bei 900m...
  9. Princep

    NYUMBA AMBAYO BADO HAIJAISHA INAUZWA

    .
  10. B

    Laptop inauzwa dar es salaam

    Habari Laptop kali sana hii ni mpya kabisa,inakaa na charger siku 2 kutegemeana na matumizi yako, hii inafaa kwa wale wa video production,graphic,music production na ma engineer woe wa mijengo Specification zake hizi hapa Processor:- 12th gen intel (R)core (TM) i7-1255u 1.70 ghz Ram:- 8.00 GB...
  11. MSAGA SUMU

    Mzungu ameshangaa kwanini Azam energy inauzwa hadharani

    https://www.facebook.com/100003279171374/posts/8187447298041161/?mibextid=rS40aB7S9Ucbxw6v
  12. L

    NYUMBA YA KISASA GOROFA MOJA INAUZWA KWA BEI NAFUU

    NYUMBA YA KISASA(HEKALU) INAUZWA. Location : Goba TAARIFA ZA NYUMBA 1) GOROFA YA JUU --- V.I.P Masterbedroom yenye ukubwa wa 30sqm na imezungukwa na balcon upande wa kulia, kushoto na upande wa kichwa. ---GYM yenye CHUMBA na CHOO ndani yake.Ukiwa unatoka nje ya Gym kuna balcon nyingine...
  13. L

    NISSAN JOURNEY INAUZWA KWA BEI NAFUU MNOOOO (11,350,000/=)

    HABARI JAMII FORUM --Gari aina ya Isuzu Journey inauzwa na Benki kwa njia ya Mnada. --Sababu ya kuuza ni, mdaiwa ameshindwa kurudisha mkopo katika muda aliopangiwa hivyo mali zake zimekamatwa zinauzwa kufidia deni. -MAWASILIANO: 0679781081 (Simu/sms), 0784379396 ( Whatsaap only) -Email...
  14. B

    Office inauzwa ipo kwenye location nzuri

    Library ya movies za kutafsiriwa na zisizotafsiriwa inauzwa ipo mabibo NIT chuo cha usafirishaji, library ipo barabarani kabisa, unaweza kukaa mwenyewe au unatafuta kijana ukamuweka kuingiza 30,000 mpaka 45,000 kwa siku ni jambo la kawaida mnoo, office ni banda la mbao nzuri ujihitaji nitafute...
  15. E

    Hekari 1.5 inauzwa Kiluvya Gogoni

    Hekari 1.5 inauzwa kiluvya gogoni milion 250 ipo mita 400 kutoka lami Morogoro road ■Huduma zote za kijamii zipo kama umeme na maji ■Kuna kiwanda cha tofari kinafanya kazi hapo ■Hati ya mauziano ni hati ya wizara title deed ■Panafaa kwa apartment nyumba za kupangisha au lodge na hotel 0675...
  16. ZVI ZAMIR

    INAUZWA Mashine ya kusaga na kukoboa mahindi inauzwa

    Habarini Wakuu. Mashine ziko Chanika mwisho. Bei ni 13 Million maelewano yapo kidogo, zinatoka zote kwa pamoja. Unapewa Mizani pamoja na mashine ya kufungia mifuko. Naomba kama kuna mdau anahitaji. Anicheki kwenye namba hii 0713888700 au +255620249437 KUSAGA HP 40 KUKOBOA HP 30
  17. BATULUNGE

    Nyumba inauzwa ipo Madale Kwa Kawawa

    Nyumba inauzwa ipo madale mil 70, Kwa Kawawa, Ipo umbali wa km 1 kutoka barabara lami, Kiwanja kina Sam 650 na kimeshawekwa bikoni, Nyumba ina vyumba 3 vya kulala 1 master na public toilet 1, sitting room1, dining room 1 na jiko 1 0656077998
  18. BATULUNGE

    Nyumba inauzwa Goba

    Nyumba ipo umbali wa km 1 kutokea Goba centre, ina kiwanja chenye ukubwa wa sqm 462, nyumba ina vyumba 3 vya kulala, sebule 1, dining jiko stoo na vyoo 2 0656077998 Inauzwa 90mil
  19. Big Fat Lady

    INAUZWA Fridge inauzwa (imetumika kidogo)

    SOLD
  20. 0

    CPU Inauzwa Dell Omniplex 780

    Natumaini mko poa. Mimi nauza CPU yenye jina Dell Omniplex 780 Intel cup duo 3.06 GHZ, 6.0 GB RAM na HDD 210. Hii ilikuwa inatumika ofisini Bei sh 150,000 Imerumika miezi kadhaa tu Piga hii namba 0769308197. Hii alikuwa anatumia mume wangu. Ameniambia nimsaidia kuuza kwa niaba yake. Hizi...
Back
Top Bottom