Mimi niko kwenye mitandao ya kijamii kadhaa kkiwemo Twitter kwa muda mrefu kidogo.
Hivyo kwa muda nilikua nikifurahia michango ya watanzania wenzangu ya kisomi kabisa Twitter na JF ila sasa Twitter imekua ya hovyo sijawahi kuona.
Twitter ya sasa imevamiwa na makundi ya wavuta bangi wanajiita...
Papa Francis anashikilia rekodi ya kupata followers wengi instagram mara baada ya kujiunga
Akitumia jina la Franciscus, Pope Francis ( Jorge Mario Bergoglio ) alipata followers hao Millioni moja instagram masaa 12 baada ya kujiunga Instagram tarehe 19 Machi 2016.
Rekodi hiyo ilivunja rekodi ya...
I've realised that most shapy girls and women are using the platform to show off their endowments, such as hips, big shapely as*, big t*ts, and the like. I am not totally sober, but I thought I should ask, is this the case?
Wiki iliyopita mtandao wa kijamii wa Instagram ulitangaza kuanza kuficha idadi ya likes kwenye posts za watu mitandaoni ili kuondoa msukumo mkubwa na kufanya mtandao huo kuwa kijamii zaidi kuliko kuwa wa mashindano ya kupata likes.
Leo Instagram wataanza mpango huo kwa dunia nzima baada ya...
Habari zenu wadau, bila shaka Jumatatu inaenda vyema.
Kumekuwa na taarifa kuwa mtandao maarufu wa Instagram unatarajia kuanza mchakato wa majaribio ya kuficha 'likes' kwenye post.
CEO wa Instagram, Adam Mosseri, amesema lengo kubwa la kufanya hivyo ni kuondoa ushindani na kuweka mkazo zaidi...
Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Kata ya Kigamboni, Mtaa wa Feri Wagombea wote wa upinzani Hawajateuliwa.
Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Kata ya Mabibo Mtaa wa Matokeo Wagombea wote wa Upinzani Hawajateuliwa.
Jimbo la Ubungo, Kata ya Manzese: Mtaa Chakula Bora - Wagombea wote wa...
Mtandao wa Instagram umeendelea kujizolea umaarufu mkubwa duniani kote. Hapa kwetu, social network hii nayo si haba. Tumeshuhudia watu maarufu na hata watanzania wa kawaida kabisa wakitumia Instagram katika Maisha yao ya kila siku.
Mtandao huu unatumika na wasanii katika shughuli zao...
Two-factor authentication helps better protect online accounts from hackers. Facebook offers this security feature, too. But there's a catch.
In recent years, Facebook has woefully neglected the issue of data privacy and has found itself embroiled in a number of data scandals, such as when news...
imarisha mwonekano wako na fufua uzuri wako
kila mtu anangozi nzuri na yenye kuvutia kwa namna yake
lakini kuna mambo yanayo fanya tufubae ngozi zetu zisiwe nzuri kama inavyo takiwa
na haya husababishwa na mazingira.
tsh9000tu.
kama vile
kutokwa na chunusi
kutokwa na utangotango
kuwashwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.