instagram

  1. Twitter siku hizi imevamiwa na 'wapwa' na 'mabloo', imekuwa ya hovyo sijawahi kuona

    Mimi niko kwenye mitandao ya kijamii kadhaa kkiwemo Twitter kwa muda mrefu kidogo. Hivyo kwa muda nilikua nikifurahia michango ya watanzania wenzangu ya kisomi kabisa Twitter na JF ila sasa Twitter imekua ya hovyo sijawahi kuona. Twitter ya sasa imevamiwa na makundi ya wavuta bangi wanajiita...
  2. Papa Francis anashikilia rekodi ya kupata followers wengi instagram mara baada ya kujiunga

    Papa Francis anashikilia rekodi ya kupata followers wengi instagram mara baada ya kujiunga Akitumia jina la Franciscus, Pope Francis ( Jorge Mario Bergoglio ) alipata followers hao Millioni moja instagram masaa 12 baada ya kujiunga Instagram tarehe 19 Machi 2016. Rekodi hiyo ilivunja rekodi ya...
  3. Nauliza tu, Instagram ni jukwaa la kuringisha 'hips' na makalio kwa wadada?

    I've realised that most shapy girls and women are using the platform to show off their endowments, such as hips, big shapely as*, big t*ts, and the like. I am not totally sober, but I thought I should ask, is this the case?
  4. Instagram yaanza majaribio ya kuficha 'likes' dunia nzima

    Wiki iliyopita mtandao wa kijamii wa Instagram ulitangaza kuanza kuficha idadi ya likes kwenye posts za watu mitandaoni ili kuondoa msukumo mkubwa na kufanya mtandao huo kuwa kijamii zaidi kuliko kuwa wa mashindano ya kupata likes. Leo Instagram wataanza mpango huo kwa dunia nzima baada ya...
  5. Instagram kuficha 'likes' ni sahihi?

    Habari zenu wadau, bila shaka Jumatatu inaenda vyema. Kumekuwa na taarifa kuwa mtandao maarufu wa Instagram unatarajia kuanza mchakato wa majaribio ya kuficha 'likes' kwenye post. CEO wa Instagram, Adam Mosseri, amesema lengo kubwa la kufanya hivyo ni kuondoa ushindani na kuweka mkazo zaidi...
  6. Uchaguzi S/Mitaa 2019: Wagombea wa Upinzani asilimia kubwa wameenguliwa kugombea, CCM wengi wapitishwa

    Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni Kata ya Kigamboni, Mtaa wa Feri Wagombea wote wa upinzani Hawajateuliwa. Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo Kata ya Mabibo Mtaa wa Matokeo Wagombea wote wa Upinzani Hawajateuliwa. Jimbo la Ubungo, Kata ya Manzese: Mtaa Chakula Bora - Wagombea wote wa...
  7. Celebrities wenye followers wengi zaidi Tanzania

    Mtandao wa Instagram umeendelea kujizolea umaarufu mkubwa duniani kote. Hapa kwetu, social network hii nayo si haba. Tumeshuhudia watu maarufu na hata watanzania wa kawaida kabisa wakitumia Instagram katika Maisha yao ya kila siku. Mtandao huu unatumika na wasanii katika shughuli zao...
  8. Why you should think twice about giving Facebook your mobile number

    Two-factor authentication helps better protect online accounts from hackers. Facebook offers this security feature, too. But there's a catch. In recent years, Facebook has woefully neglected the issue of data privacy and has found itself embroiled in a number of data scandals, such as when news...
  9. INAUZWA unataka kuwa na ngozi nyororo yenye mvuto na yenye unyevu?

    imarisha mwonekano wako na fufua uzuri wako kila mtu anangozi nzuri na yenye kuvutia kwa namna yake lakini kuna mambo yanayo fanya tufubae ngozi zetu zisiwe nzuri kama inavyo takiwa na haya husababishwa na mazingira. tsh9000tu. kama vile kutokwa na chunusi kutokwa na utangotango kuwashwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…