interview

  1. Boeing787-8

    Interview za Utumishi na barua kutoka Kwa serikali ya mtaa

    Hello, Naomba msaada Kwa wenye experience na interview, ntakuwa na interview next week, ila nimeambiwa kuwa lazima uwe na kitamburisho Kwa utambuzi. Nida namba ninayo ila sijapata kitamburisho, kadi ya mpiga kura ninayo ila walikosea jina. Badala ya kuandika JACKSON waliandika JACKSONI. hapa...
  2. Cardozo98

    Vitu vya kuzingatia Oral Interview Marketing Officer Utumishi ni vipi?

    Habari kwa wenye uzoefu na hizi oral interview za utumishi ni vitu gani vya msingi kuzingatia?
  3. P

    Ni jinsi gani naweza kujibu maswali ya Oral interview za utumishi.?

    Habari za weekend wakuu. Swali langu ni kama heading isemavyo. Na Mimi natamani nipate ajira niachane na huu ujobless, maisha magumu umri unaenda, wachumba hawanitaki kisa dough. mfano wa maswali. 1. What do you understand by the term security as applied in Information Technology (IT)? 2...
  4. Boeing787-8

    Hapa ataitwa interview?

    Hello Kuna mtoto wa Shangazi yangu amepata changamoto ya application za ualimu, Ametuma maombi Kwa somo la history, vyeti aligonga muhuri Kwa mwanasheria, passport aliweka, na barua ya maombi alisaini. Ila kwenye kichwa Cha barua haku-specify category yake ya Ualimu daraja la IIIC history...
  5. D

    Interview ya designers waliomkimbia sheri ngowi, cost gsm millions in advertising and sells money

    Those designers of Young Africans' jersey who worked with Sheri Ngowi and left the company created their own company, leaving Ngowi lost and GSM losing millions of money in advertising. Additionally, they failed to create a new jersey that could have sold a lot in South Africa and Europe. As of...
  6. Kyambamasimbi

    Walimu mlioomba ajira mpya jiandaeni na interview, hii itaondoa malalamiko. Hongera serikali

    Rejea kichwa Cha thread...... Serikali Iko vizuri ni wabunifu.... Walimu mlioomba ajira mpya jiandaeni na interview, hii itaondoa malalamiko. Hongera serikali
  7. Y

    Kuna mtu alishafanyaga interview Mbeya University kama Tutorial Assistant kwa upande wa Electrical Engineering?

    Kuna mtu alishafanyaga interview Mbeya University kama Tutorial Assistant kwa upande wa Electrical Engineering?
  8. F

    Usaili wa TANAPA kada ya udereva

    Wakuu habari za Asubuhi. TANAPA wametoa majina ya interview na tarehe husika mdogo wangu ameoangiwa kuifanya hifadhi ya mto wa mbu karatu Arusha kwa post ya udereva please mwenye ujuzi wowote wa namna interview hizo zinakuwa naomba aseme hapa kupata Ushauri. 0742896907
  9. o_2

    Msaada: Ni maswali gani yanayoulizwa kwenye interview Kada ya Ualimu?

    Habari za jioni mjamvi? Habari za leo waungwana? Siku ya tarehe 20 julai 2024, Tamisemi kupitia Utumishi walitangaza ajira za ualimu kwa ngazi za astashahada, stashahada, shahada na "postgraduate" zaidi ya 11,000. Sasa zoezi la kutuma maombi likiwa linaendelea, napenda kujua ni maswali gani...
  10. Y

    Interview ya ufadhili wa masomo inayotolewa na BoT ikoje? Huwa inakuwa na maswali ya aina gani?

    Je, kuna mtu humu ndani alishawahi kufanyaga interview ya ufadhili wa masomo inayotolewa na Bank of Tanzania (BoT)? Kama umeshawai kufanya ni maswali yapi huwa wanapendelea kuuliza? Kwa anayejua anisaidie.
  11. Y

    Msaada: Interview ya ufadhili wa masomo inayotolewa na BoT ikoje? Huwa inakuwa na maswali ya aina gani?

    Je, kuna mtu humu ndani alishawahi kufanyaga interview ya ufadhili wa masomo inayotolewa na Bank of Tanzania (BoT)? Kama umeshawai kufanya ni maswali yapi huwa wanapendelea kuuliza? Kwa anayejua anisaidie.
  12. M

    Umoja wa wazalishaji wa sukari Tanzania (TSPA) Wajitetea kuhusu kupanda kwa Sukari. Hawajawahi kuficha Sukari, Si kazi yao kuagiza Sukari nje

    Hali ya Bashe sasa itadhidi kuwa mbaya baada ya Kilombero Sugar kutema cheche Wazalishaji sukari wavunja ukimya, wadai kutotendewa haki sakata la sukari Muktasari: Baada ya kushutumiwa kwa muda mrefu na kutajwa kuwa wao ndiyo chanzo cha kupanda kwa bei ya sukari nchini, umoja wazalishaji wa...
  13. Mgosi Mbena

    Kwanini Rais hafanyiwi interview na vyombo vya habari vya ndani?? Kwa mara ya kwanza nimeona kenya

    Kwanini rais wetu mpendwa hafanyiwi interview na vyombo vya habari vya ndani?? Shida ni nini hasa?? Nishamuona akihojiwa na BBC!! Nao wanadai wamemuomba na kusubiri muda mrefu mpaka kukubaliwa!! Je hii ndio kusema Vyombo vya habari havina uwezo au Mkuu wa nchi haoni haja ya kuhojiwa na...
  14. lukala

    Pendekezo Kwa utumishi wa imma kufanyisha interview Ili kuongeza ufanisi na tija.

    Nawaasalimu Kwa Nina la jamhuri ya muungano wa Tanzania!!!!!! Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye mada , niiombe serikali yeti tukufu mosi iunde tume ya usaili kwenye ajira hasta kazi za wakuu wa idara na wasaidizi wake, Mfano Maafisa utumishi wote kwenye kazi ya halimashauuri Hadi mkoani...
  15. lukala

    Pendekezo Kwa utumishi wa imma kufanyisha interview Ili kuongeza ufanisi na tija.

    Nawaasalimu Kwa Nina la jamhuri ya muungano wa Tanzania!!!!!! Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye mada , niiombe serikali yeti tukufu mosi iunde tume ya usaili kwenye ajira hasta kazi za wakuu wa idara na wasaidizi wake, Mfano Maafisa utumishi wote kwenye kazi ya halimashauuri Hadi mkoani...
  16. Heavy Metal

    Hivi kuna aliemwelewa Mangungu kwenye interview yake leo pale Sports Extra ya Clouds FM?

    Usiku wa leo kwenye kipindi cha Sports Extra ya Clouds FM mwenyekiti wa Simba upande wa wanachama alikua anhojiwa mambo mbalimbali kuhusu mwenendo wa klabu ya Simba na kile kinachoendelea sasa hivi ndani ya klabu hiyo. Watangazji Biko Scanda, Shaffih Dauda na Alex Lwambano walikua wanaongoza...
  17. G

    Interview kwa walimu walio wahi kuomba kazi ajira PORTAL sector ya curriculm na assistasistant lecturer

    Habri Aliye wahi kuomba Tutor grade ii of english for NTA level 6 pale ajira PORTAL au curriculum developer ii pale TIE kupitia ajira PORTAL Naomba anisaidie nondo na jinsi maswali yanavyo toka au kama ana maswali na notes zilizopita naomba ani save 🙏
  18. Miss Zomboko

    Kitu gani ulikutana nacho au kukifanya kwenye Interview ukajua ushakosa Kazi

    Ulishawahi kuona yale Mazingira ya kushindwa jambo au kukosa fursa kabla hata hujaipata, basi kuna wakati unaweza kujikuta umefeli Interview hata kabla ya kupewa Majibu na Kampuni husika Umeshawahi kupatwa na hali hii? Nini kilitokea?
  19. R

    Interview Air Tanzania

    Hhhhhhhhh
  20. Boeing787-8

    Reputable NGO kutokutoa interview feedback kwa candidate

    Za asubuhi wakuu, Kuna NGO nyingine unaweza kudhania kuwa ziko serious kumbe sivyo. Niliomba kazi kwa shirika moja lenye makao yake Australia. Wakanichagua kwenye shortlist, baada ya wiki moja nikafanya mahojiano ya kwanza, halafu baada ya wiki nyingine nikaitwa kwa mahojiano ya pili, na baada...
Back
Top Bottom