iphone

  1. Almendezz

    OnePlus, Oppo, Huawei, Samsung na Sony zote zashinda tuzo za EISA 2020-2021

    Kamati ya EISA imekagua simu janja ambazo zilizindua mwaka huu na kuzawadiwa bora zaidi kati yao - hapa ndio washindi. The OnePlus 8 Pro walipata tuzo bora ya Smartphone. Jopo la waamuzi lilifurahishwa na jinsi kifaa huchanganya muundo na cutting edge, ikionyesha display ya 120 Hz 1440p +...
  2. K

    INAUZWA Iphone 6 plus bei poa

    Iphone 6 plus 64GB Full box 480K 0759007696. Ilala, Dar Karibuni.
  3. T

    iPhone yapoteza nafasi ya kuwa simu namba 1 China. Watu wengi wanahamia Huawei

    China kulikua na Iphone nyingi kuliko nchi yoyote Duniani ila sasa Iphone inapoteza nafasi ya kua simu namba moja China. Watumiaji wengi wa Iphone wanahamia Huawei, Iphone inakabiliwa na ushindani mkubwa kutoka kwa makampuni ya China kama Huawei, One Plus, Oppo, Honor, TCL, ZTE na kadhalika...
  4. T

    Mwaka huu nataka nihamie iPhone, nasubiri iPhone 12. Je, nitakosa nini cha Android?

    Mimi ni mpenzi wa Android hasa Samsung miaka mingi na napemda sana hizi high end devices zake. Ila Samsung ananiangusha kitu kimoja tu, Camera, 📷 yake sio nzuri sana kulinganisha na hata simu za kawaida za Pixel za Google, hata leo wame-launch Note 20 ila sioni kitu cha maana kipya. Product za...
  5. dunstech

    Fahamu usiyoyajua kuhusu Imei namba ya simu yako

    IMEI NUMBER NI NINI? IMEI ni kifupi cha " International Mobile Equipment Identity". Hii ni number ambayo inatumiwa kukitambua na kutofautisha vifaa ambavyo vinatumia cellular network. Cellular network ni network ambayo unatumia kupiga simu au kuunganishwa na internet. Kwa simu zenye sim card...
  6. eli_dealz

    Phone4Sale Iphone 7 Plus 32 GB (Used) Clean as new full box

    Nauza Iphone 7 Plus 32 GB - USED. Kama mpyaa.. kila kitu funciton as new 95% Battery Health Price: IMESHAUZWA Location: IMESHAUZWA Contact : IMESHAUZWA
  7. Pzika

    Phone4Sale Iphone 11 inauzwa

    Iphone 11 128Gb duos 1.85M PURPLE 💜 Apple warranty available Call/whatsapp:::0715767420 Delivery mpaka mikoani
  8. Aerma

    Phone4Sale Iphone 6 inauzwa 320000

    Habari! Simu aina ya Iphone 6 inauzwa sh 320,000/=.Simu ina crak kwenye kioo.Simu iko kwenye hali nzuri.Interest buyers nicheki Dm
  9. Rolandi

    Msaada: Kuhamisha nyimbo toka PC kwenda iPhone 7

    Nashindwa kufanya hivyo, sio kwa cable wala bluetooth. Any suggestion?
  10. B

    Kama mjanja tuonyeshe iPhone feki kati ya hizi

    Hizi iPhone kuna moja feki nyingine original, taja kulia feki au kushoto original tujue kama unatambua hili. 1.Kulia...... 2. Kusoto.......
  11. C.K

    Kununua simu (IPhone) toka XCITE, Mombasa

    Wadau, kuna hawa jamaa wanajiita XCITE wanadai wako Mombasa Kenya, wanauza Iphone kwa bei rahisi sana. Sasa ishu ni kwamba unalipia nusu kwa mpesa, paypal etc then unamalizia pale utakapoletewa mzigo. Naomba kuuliza kama kuna mtu ameshawahi nunua kwao na mzigo ukafika kweli wasijekuwa...
  12. C

    Utofauti wa iphone na simu za Android

    Wakuu hivi utofauti wa simu ya I Phone za simu za android kama Samsung,Oppo ni upi? Je, i Phone yenye Storage ya 16GB inaweza ikawa tofauti na Samsung yenye storage ya 16 GB Hapa nazungumzia utofauti kwenye jinsi inavyofanya kazi na uwezo wa kuhifadhi mafaili Achana na suala la chaji na...
  13. Miki123

    Blackberry walikwama wapi (utawala wa iphone & android)?

    Brackberry moja ya kampuni iliyouza smartphones kwa sehemu kubwa ya dunia. Unaikumbuka app ya BBM ilivyokuwa inaelekea kuipeteza facebook. Ilifika hatua brackbeery ilikuwa na marketshare ya zaidi 50% marekani na 20% duniani, unajua ukiliteka soko la US kwa kiasi hiki basi hata huko kwingine ni...
  14. long live my love

    Wataalamu wa Iphone

    Wakuu Poleni na mfungo wa maombi ya kitaifa. Leo siku ya pili,na mimi sijawaangusha mana naomba haswaa. Tanzania bila corona inawezekana. Nije kwenye mada: Nimebangaiza vijisenti kwa muda nikaona bora na mimi nijitutumue ninunue japo iphone 7 walau kubadili radha ya hizi tecno za siku zote...
  15. Miki123

    Apple waja na iphone ya bei nafuu iphone SE (2020)

    Apple wameamua kula sahani moja na makampuni yanayotengeneza budget phone. Apple wamezindua simu ya iphone inayoitwa iphone SE. Kitu kinachovutia kwa toleo jipya la simu hii ni bei nafuu kulinganisha na matoleo mengine ya hivi karibuni. Bei yake ni $399. Hii bei ni kubwa kwa sisi watumiaji wa...
  16. Mukulu wa Bakulu

    Hii simu ni Iphone ama Huawei?

  17. Wakulonga

    Uzi wa wenye simu za iPhone

    Habari wajanja wa mujini, Kama una simu ya iphone hebu tupia mambo mbali mbali ambayo iPhone inafanya ili tupate maujuzi. Please kama una simu yako ambayo sio IPhone usichangine maana hii Habari ya Iphone tu wengine simu za Kariakoo pumzikeni kwanza
  18. Kim Il Kwon

    Nahitaji smartphone Samsung au iphone

    Napatikana Kagera Ngara. Bajeti yangu 350k. Mwenye kua nayo niPM.
  19. The Assassin

    Apple yakubali kulipa zaidi ya USD 500M kwa wateja wamiliki wa Iphone 7 na Iphone 6

    Mwaka 2017 Apple iliwaomba radhi wateja wake wanaomiliki Iphone 7 na matoleo ya nyuma kwa kuzipunguzia kasi na ufanisi kwa makusudi ili tu watu wanunue matoleo mapya ya Iphone. Apple ilikuwa ikitoa software updates ambazo zitafanya aina hizo za simu kufanya kazi taratibu kuliko uwezo wake ili...
  20. Albert_2010

    Nauza iPhone 8, 256 GB 950k

    Sold
Back
Top Bottom