iphone

  1. oxlade

    Msaada: Kuactivate iphone 4s isome mtandaob(line)

    Msaada jamani kuna simu tajwa hapo juu Iphone 4s nkiweka line za kibongo inahitaji kuactivate ili isome, nkiactivate kwa kutumia WIFI mwisjoni inasema SIM NOT SUPPORTED. Nifanyaje ili line ziweze kusoma? Nimejaribu line zote inasema hivyo. Miaka ya nyuma nliitumia hii simu line zilikuwa fresh tu
  2. I

    Phone4Sale iPhone 6+ for sale-380k

    Solved
  3. S

    Nifahamisheni duka zuri hapa Dar zinapouzwa Iphone 12

    Habari zenu, Nifahamisheni duka zuri hapa Dar zinapouzwa Iphone 12 nzuri na za uhakika (yasiwe maduka ya makanjanja nsije kupigwa feki). Natanguliza shukrani
  4. MR LINKO

    Ushauri juu ya Iphone 7+ Plus

    Habari wakulungwa, natumaini mko poa kabisa. kuna best yangu mmoja hajawaiii tumia iphone na niseme ukweli na mimi mmoja wapo na sababu tu sizipendi kwakuwa nasikia zina limit na mambo ya kuto kaa na chaji na blaa blaaa kibao. Juzi jamaa kaniomba ushauri juu ya iphone 7 plus kuwa anataka...
  5. Sam Gidori

    Mabadiliko ya mwonekano wa iPhone tangu kuzinduliwa hadi sasa

    Januari 9, 2007 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Apple, Steve Jobs alitangaza kuzinduliwa kwa simu ya iPhone, simu iliyokuwa na iPod, kamera na uwezo wa kutumia intaneti, kati ya vingine vingi. Tangu wakati huo hadi sasa, tumeshuhudia mabadiliko ya vizazi vya iPhone, kila toleo jipya likionekana...
  6. KAGAMEE

    Naomba ushauri wa kupata simu ya nzuri za iPhone

    Habari zenu wakuu, Naomba msaada wa kujua aina gani ya Iphone ni nzuri ambayo bei yake ni kati ya laki 5 mpka laki 6? Simu ambayo ina storage kubwa (64GB above) na camera yake ni nzuri. Itapendeza zaidi nikipewa chimbo zuri la kuipata Dar. Asanteni.
  7. Mwita Mtu Mrefu

    Phone4Sale Iphone 7+ kwa 480,000 tu, uhasibu Dar es salaam

    Nauza iPhone seven plus Storage gb32 Battery 🔋 💯 Fingerprint ✅ Clean condition Bei 480,000 Used for 4 months Uhasibu, DSM---0625750755
  8. babu M

    Apple profit soars to $23.6 billion in latest quarter on higher iPhone sales

    NEW YORK: Demand for the iPhone and other Apple products drove profits to more than double in the January-March period as the tech giant continued to capitalise on smartphone addiction. Profits came to US$23.6 billion, or US$1.40 per share, while revenue climbed 54 per cent to US$89.6 billion...
  9. ESPRESSO COFFEE

    Nahitaji kununua i phone 12 Pro Max

    Habarini Wadau Nina hitaji kununua hii simu kutoka kwa Muuzaji yeyote aliyepo Dar, iwe Mpya Kabisaa. Mimi nipo mkoa tofauti na DAR. Lengo hapa nikujua ni Muuzaji gani naweza kumtafuta instagram ambae ni wa kuaminika na simu zake hazina magumashi. Muuzaji ambae atapendekezwa na wengi bila shaka...
  10. E

    Natafuta duka linalo uza simu iphone smart phone

    Natafuta duka linalo uza simu iphone smart phone. Dar es salaam. Simu nzuri original
  11. Petluk

    Msaada wa Application ya kutransfer text message kwenye iphone

    Nahitaji free application ya kuhamisha text msg zote kutoka iphone 7 kwenda iphone X, nimefanya kwa icloud imekubali kuhamisha picha na contact peke yake.
  12. Travis Walker

    Huduma ya ku bypass iPhone iCloud na Unlocking

    Habari wakuu, Ninatoa huduma ya ku bypass iCloud kwenye iPhone Huduma ni kama ifuatavyo iPhone Bypass (Huduma ina bypass iCloud activation na unaweza kuendelea kutumia simu yako kama kawaida bila kujua email wala password) iPhone Disabled/Passcode (Kama uko na iPhone haujui passcode zake...
  13. mjasiliaupeo

    Iphone effect: Xiaomi Mi11 itauzwa bila charger.

    Xiomi imeingiza sokoni simu yao mpya ya Mi11 sokoni. Kama iphone 12 na wao hawatauza sambamba na charger kwa kigezo cha kutunza mazingira na kusaidia kupunguza taka plastiki duniani. Sababu hii pia ndio walitumia apple inc kutuuzia simu bila charger na ikaleta mijadala mikubwa humu...
  14. Sam Gidori

    WhatsApp kutofanya kazi kwenye baadhi ya simu za Android na iPhone mwaka 2021

    Programu tumishi ya mawasiliano ya Whatsapp haitafanya kazi katika baadhi ya simu kuanzia mwaka 2021, baadhi ya vyombo vya habari vimeripoti. Programu hiyo haitafanya kazi katika simu za Android zinazotumia toleo la 4.0.2 au ndogo zaidi ya hiyo, na kwa simu za iPhone zinazotumia toleo la 9 (iOS...
  15. P

    Wajuzi wa iphone msaada tafadhali

    Nina iphone 8 nimenunua kwa jamaa yangu yupo mbele na alisahau kufuta icloud acc, naomba msaada ufuatao Iphone naitumia lakini ina Apple acc ya mshkaji.....kuna mambo siwezi fanya bila password ya icloud. Inawezekana mshkaji akaingi kwenye acc yake ya icloud online kwenye itunes au website na...
  16. Nafaka

    iPhone 12 haitokubali spare hata kutoka kwa iPhone nyingine

    Nimeona review simu hizi mpya za iPhone 12 kuwa hata ukichukua kioo ukakibadiisha ukakiweka kwenye simu nyingine kama hiyo hiyo, kwanza ukiiwasha haitowaka unless uiwashe kwa kuplug in charger. Ikishawaka itakuletea msg kuwa umeweka kifaa ambacho siyo cha simu hiyo, face id haitofanya kazi na...
  17. Godbless mtega

    Habari zenu wadau.. Naombeni kujua utofauti kati ya IPhone 7+ na 8 +

    wadau nlikua na shida naomben kwa MTU yeyote aloitumia 7+ na 8+ naomba anitofautishie kati ya hizo simu mbili ni ipi bora coz naona kama zote ni sawa tu ..kuanzia upande wa picha na mengine, maana nataka ninunue soon
  18. The Assassin

    Mauzo ya Iphone yawa mabaya, hisa za Apple zimeshuka sababu ya mauzo dhaifu

    Mauzo ya Iphone yamekua madogo kuliko matarajio ya kampuni ya Apple kupelekea hisa za kampuni kushuka kinyume na matarajio Apple. https://mobile.reuters.com/article/amp/idUSKBN27E3FP?__twitter_impression=true
  19. Extrovert

    Wale wa Apple/iPhone nawasalimu jamani, maisha yanakwendaje uko offline?

    Wasalaam, Siku zote mkiambiwa iPhone ni kama gereza mnashupazaga shingo ooh...hamna simu kama Apple iPhone, security kubwa sijui blaah blaah! Vipi mbona mmetandikwa kombora na wenye mtandao mmetulia tulii😂😂😂 toka jana hama insta😂, gmail, wala ukwaju! Ifike mahali Android ipewe heshima yake...
  20. M

    Jinsi ya kuondoa Activation lock (Icloud unlock) kwenye iPhone

    Habari wandugu, Naomba kuuliza kwa waelewa wa mambo jinsi ya kuondoa activation lock (Icloud unlock) kwa apple devices i.e iphone, ipod, ipad, apple watch etc. Pia isiwe bypass/jailbreak. Yaani baada ya kuondoa iweze kupokea latest ios update na pia waweza reset. Naomba kuwasilisha
Back
Top Bottom