Kiufupi nataka kununua simu sasahivi lakini niko njia panda. Ninunue iPhone au zingine hizi maana iPhone watu wanasema ni nzuri lakini mimi sijui.
Naombeni uzoefu wenu jamani.
Wakuu natafuta chat gpt ambayo kwene iphone ni free?
Hii ninayoijua ni ya kulipia ila ni free kwene browser
ZINGINEZO
1.https://www.jamiiforums.com/threads/msaada-artificial-intelligence-whatsapp-chat-bot.2180158/
Iphone 13 pro .
Used Uk.
In very good condition
Gb 128
Bh 84.
TT✅
1.5ml only.
Comes with a box.
Ukinunua mbili Utapata moja kwa 1.450ml only.
0752850081
0783869998
Nipo DSM Ubungo.
Wameanza kwa mbwembwe kama hivyo na ndugu zetu upinde wamepata kipaumbele namna hiyo
Website ya AppleBETA iko busy naona soon wale wa dev beta mzigo utakua hewani IOS 18
IOS 18 is out now
Huu ni uzi maalumu kwa watumiaji
vifaa vya APPLE | MacBook | iMac | iPhone | iWatch | Airpods | ipads | na vifaa vinginevyo vinavyotumia iOs
Ku share experience zao katika utumiaji..!
Taarifa zote mpya za bidhaa za Apple
Changamoto na suluhisho za kifaa husika..
Na mengine Mengi zaidi
Wadau nilinunua hii simu kwa mtu ambaye aliuziwa na mtu na yeye alisema usiirestore itajifunga
Mimi mbishi nikatumia itunes nika iupdate kisha nikairestore hapo ndo kasheshe simu ikajifunga
Nikafanikiwa kuibypass ila shida network haisomi na pia ukiizima ikiwaka inalock tena
Wadau mwenye...
Huu ni uzi maalumu kwa watumiaji
vifaa vya APPLE | MacBook | iMac | iPhone | iWatch | Airpods | ipads | na vifaa vinginevyo vinavyotumia iOs
Ku share experience zao katika utumiaji..!
Taarifa zote mpya za bidhaa za Apple
Changamoto na suluhisho za kifaa husika..
Na mengine Mengi zaidi
Mauzo ya simu za iPhone zinazotengenezwa na kampuni ya Apple yameshuka duniani kote kwa asilimia 10 katika miezi mitatu ya mwanzo ya mwaka 2024.
Hayo yamebainishwa na utafiti uliofanywa na kampuni hiyo ya mawasiliano, ambao umebaini mahitaji ya wanunuaji yameshuka katika sehemu zote duniani...
Hii nchi ina mambo ya ajabu sana mpaka mtu unashindwa kuelewa hizi taasisi zinafanyje kazi. Mfano mzuri Shirika la Viwango pamoja na Tume ya Kuwalinda Walaji ziko wapi wakati watu wanaingiza Bidhaa Feki kila mahali na wanauza kwa uhuru kabisa. Imagine mtu anatangaza kabisa iPhone 15 Pro ni Tsh...
IPhone Original Chargers
25W Adapter
USB C lighting cable
35,000/= Rejareja
16,000/= Jumla
Free delivery ndani ya Dar es Salaam
Tabata Aroma
Mawasiliano
0653776099
0789344956
0767810030
0620249911
Fursa ya ajira
Hata kama huna mtaji leta mteja kwa bei yako, cha juu ni cha kwako
iPhone Original Chargers
25W Adapter
USB C lighting cable
Zipo pis 100 tu
16,000/= Rejareja
14,000/= Jumla (Kuanzia pis 10)
Tabata Aroma
0653776099
Habari za jioni Wana JF,
Nimegundua watumiaji wa iPhone asilimia kubwa Wana ushamba na ulimbukeni.
Yani akiwa nayo atataka watu waione wajue kama ana iPhone, ulimbukeni wenyewe ni huu huwa wanaona iPhone ndo simu Bora kuliko simu zingine na kuzidharau hizi brand nyingine za simu.
Mimi si...
Apple has just launched the iPhone 15, but the rumour mill is already churning for the iPhone 16. The series is expected to bring significant upgrades and improvements compared to its predecessors. Speculation suggests that there will be enhancements in camera performance, display, a more...