israel

  1. ward41

    Kwanini Wahindi huwambii kitu kuhusu Israel

    Wahindi wengi wanaikubali Sana Israel. Wahindi huwambii kitu kuhusu Israel. Wanaikubali Sana Israel. Kumbuka India ina watu 1.4 billion na Israel 10 million lakini wako obsessed Sana na Israel. Cha ajabu tena wahindi wengi sio wakristo. Wengi ni Hinduism.
  2. Mhaya

    Si mnaona Palestina na Israel hawaposti Pray for Kariakoo!

    Jamani tuacheni shobo (Ushauri na si kwa ubaya). Kama tunakutwa na janga, acha tupambane nalo, tuone wapi tumekosea na tujirekebishe. Haya mambo mengine ya kutaka watu wakuposti, wala hayasaidii. Watu wamepata matatizo, acha wapray wao kwa wao, kama sisi tunavyoachwa tupray sisi kwa sisi...
  3. Eli Cohen

    Israel imeahidi kitita cha Tsh Bilioni 13.2 ($5M) kwa yeyote atakayesaidia kurudisha mateka kutoka Gaza

    Wakati ambao Israel wako tayari kugharimika ili kupata watu wake kwa hali na mali kuna jamaa fulani wa itikadi ya kitapeli wanaruhusu watu kuoa watoto hadi wa miaka 9. === Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema malipo ya dola milioni 5 (TSh. 13,232,176,000) yatatolewa kwa mtu...
  4. kimsboy

    Telaviv imeanza kuwa Gaza Taratibu

    Jamaa wamerusha makombora ya ballistic cheki jengo refu lilivyoharibiwa vibaya Telaviv imeanza kuwa Gaza Taratibu wakuu hii sio poa wanangu taifa teule linasagiwa kunguni kiasi hiki[emoji1313]
  5. G

    Hamas wamepora chakula chote kwenye magari 109 ya Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi (UNRWA), Shirika lawatupia lawama Israel

    Msafara wa magari 109 ya Shirika la Umoja wa Mataifa la msaada kwa wakimbizi, ulivamiwa, madereva walitishiwa bunduki washuke, misaada yote imeibiwa, magari 97 hayaonekani. Baadhi ya magari yalibeba ngano iliyotakiwa kupelekwa kwenye viwanda vya ngano vya umoja wa matafa Gaza, viwanda hivi...
  6. green rajab

    Uturuki yazuia ndege ya Rais wa Israel kukatiza kwenye anga lake

    Rais wa Taifa la Kigaidi la Israel amepigwa marufuku kukatiza katika anga ya Uturuki baada ya kualikwa kwenye mkutano wa COP 29 summit huko Baku Azbaijan. Turkey effectively blocked Israeli President Isaac Herzog from attending the COP29 summit in Baku earlier this week by refusing to allow his...
  7. G

    Baadhi ya contacts wanaweka status za Palestina sijawahi kuwasumbua, leo nimewka Status za Israel nimevamiwa inbox bila salamu

    Tangu mwaka jana October 7 Palestina ilipoivamia Israel na kuua watu zaidi ya 1,200 kuna baadhi ya contacys zangu wamekuwa wakiweka status za kulipukwa na furaha Israel inaposhambuliwa na status za kuonyesha huruma Israel inapotoa dozi. Napenda sana kutazama status, lakini huwa nashangaa sana...
  8. G

    Ukanda wa Gaza jeshi la Israel linalipua na kuangusha MAGHOROFA 5-10 kwa siku, lkn wananchi wanaokoana fasta, tena kwa mikono tu

    Tanzania kuna shida gani? Kaghorofa kamoja kanaihangaisha nchi tangu jana? Hii serikali inaweza jambo gani?
  9. Eli Cohen

    Uchumi wa namba ulikuwa ni mmoja ya silaha ya mamlaka za dunia kucheza na akili za watawaliwa.

    Sijui inflation rates, sijui GDP, sijui unemployment rates, sijui exchange rates, hayo yote they mean katika uhalisia wa maisha ya ukweli yaliyopo mtaani. Mara nyingi hizi rates zinakuwa propaganda za wavaa suit ku-prove wamefanya jambo au kuwa challenge wengine kwamba wameshindwa mambo.
  10. ILAN RAMON

    Israel yamuua Salim Ayyash, wa Hisbollalieh aliyehukumiwa na Mahakama Kuu ya Lebanon kwa mauaji ya waziri mkuu wa zamani Rafik Hariri

    Salim Ayyash, gaidi wa Hezbollah, alietiwa hatiani kwa mauaji ya waziri mkuu wa zamani, Rafik Hariri, ambaye alikuwa mzalendo wa Lebanon anayejulikana kwa kujenga upya Beirut baada ya vita vya wenyewe kwa wenyewe. Ripoti zinadai kuwa aliuawa katika shambulizi la Israel nchini Syria...
  11. ILAN RAMON

    Scoop: Israel destroyed active nuclear weapons research facility in Iran, officials say

    Axios Axios 4 hours ago -World Scoop: Israel destroyed active nuclear weapons research facility in Iran, officials say Barak Ravid A Maxar closeup satellite imagery of the Parchin Military Complex in Iran from Nov. 2022. Photo: Satellite image (c) 2022 Maxar Technologies. The Israeli...
  12. PureView zeiss

    Shangwe zatanda baada ya Trump kumteua, rafiki wa Netanyahu Mike Huckabee kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel

    Mchungaji wa Kanisa la Baptist aliyekuwa Gavana wa Jimbo la Arkansas kwa miaka 11. Rafiki wa Netanyahu na mtu aliyewahi kusema hakuna kitu cha Mpalestina. Mike Huckabee ameteuliwa na Trump kuwa Balozi wa Marekani nchini Israel.Trump amesema Mike anaipenda Israel na watu wa Israel Huyu Mzee ni...
  13. Mlaleo

    Wananchi wa Iran waanza kuona kero za umeme wa Mgao - Israel haihusiki

    Iran imetangaza ratiba ya mgao wa umeme wa nchi nzima kuanzia Jumapili, ya juzi kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya gesi asilia huku kukiwa na baridi kali, ambayo imesababisha uhaba wa mafuta katika vituo vya umeme...
  14. Ritz

    Wanajeshi wa Israel wanazidi kuuliwa huko Gaza

    Wanaukumbi. ⚡️Habari za asubuhi, wote hawa wamuliwa huko Kaskazini mwa Gaza. 🔻Sajini Orr Katz, umri wa miaka 20. 🔻Sgt. Nave Yair Asulin, umri wa miaka 21. 🔻Sajini Gary Lalhruaikima Zolat, umri wa miaka 21. 🔻Sajini Ofir Eliyahu, umri wa miaka 20...
  15. U

    Idadi askari wa akiba wanaoitikia agizo la kujiunga na Jeshi la Israel kwa ajili ya kupigana vita imepungua kwa kiwango kikubwa

    Wadau hamjamboni nyote? Hali ni tete vijana wa kiyahudi hawataki Tena kwenda vitani! Kumekuwa na kupungua kwa kiwango cha askari wa akiba wanaojitokeza kazini katika wiki za hivi karibuni ikilinganishwa na kuanza kwa vita, The Times of Israel limebaini. Mwanzoni mwa vita, IDF iliripoti kwamba...
  16. U

    Hezbollah yafanya shambulizi kubwa Jiji la bandari la haifa Israel kwa kurusha maroketi 90, yasababisha uharibifu mkubwa

    Wadau hamjamboni nyote? Magaidi ya Hezbollah wamecharuka na kufanya shambulizi la nguvu huko Israel Mayahudi hawaamini kilichotokewa Jumuiya za kimataifa tunaomba kuingilia kati kuokoa uhai watu wasio na hatia Taarifa zaidi hapo chini kwa kimombo: Mungu ibariki Israel. Soma Pia: Hezbollah...
  17. ward41

    Super natural brain ndiyo inatambua Israel ni taifa teule la Mungu

    Upumbavu wa Mungu una hekima zaidi ya hekima ya mwanadamu na udhaifu wa Mungu una nguvu kuliko nguvu ya mwanadamu (wenye akili na hekima ya ki Mungu wamenielewa) Kama huna super natural brain, sio rahisi kuelewa haya mambo. Yanayoendelea ulimwenguni ni mengi na kila mmoja wetu tunayafahamu...
  18. A

    Israel Ameamua Kukimbia Lebanon

    Habari ndio hio Israel wanasingizia watasimamisha vita North kwa mda kutokana na UN itatoa Resolution kuhusu Gaza. Swali toka lini Israel ilifata sheria za UN. Hakuna zaidi ya moto wa Hezbullah unatisha wameona wakimbia kijanja huko Lebanon Habari ndio hio Al Arab TV inasema hio ni Breaking...
  19. U

    Aliyekuwa waziri wa ulinzi Israel, Yoav Gallant awajuza familia za mateka IDF imepata mafanikio makubwa

    Kumekuchaaa Aliyekuwa Waziri wa ulinzi wa Israel Yoav Gallant amepingana waziwazi na Waziri Mkuu Benjamin Netanyau Anasema kuwa hakuna uhalali wowote majeshi ya Israel kuendelea kuwepo Gaza kwani malengo makuu tayari yametimizwa kikamilifu Kwamba wanajeshi wa Israel haifai kuwepo Gaza kwani...
  20. green rajab

    Iran isitumie nguvu kubwa Israel imeshatepeta ni ya kujipigia tu

    Waajemi wasitumie nguvu kubwa sana wakati wa kuidhibu Israel ambayo ni dhaifu sana imetepeta vibaya makombora ya Hizbollah yameiharibu kabisa na mifumo yao ya ulinzi imeparalaizi haina uwezo wa kupangua zaidi kulipuliwa ikiwa na air defence missile. Na tayari wameshaanza kufarakana ni jukumu la...
Back
Top Bottom