itv

ITV - Independent Television Limited (ITV) ni kampuni shirikishi ya IPP Limited. ITV ilianza shughuli zake mwaka 1994 ikiwa na kituo kimoja cha televisheni na kituo kimoja cha redio ambacho ni ITV na Radio One.

Mwaka 2009 kampuni ilizindua kituo kingine cha Capital Television na Capital Radio.
  1. luangalila

    Ripoti ya mwandishi wa ITV Benjamin Mzinga

    Nimetazama ripoti ya kiuchunguzi ya mwandishi wa habari wa kituo cha itv bwana Benjamin Mzinga . Ripoti hiyo aliyoipa jina la kimbunga cha madereva wa mabasi Dar-Iringa binafsi bwana mzinga ana stahili pongezi kwa kitendo chake cha kiuchunguzi kwa sabaabu ameibua vitendo vya madereva kwenda...
  2. T

    Uchaguzi 2020 Makosa ya wakubwa yanavyomnufaisha Tundu Lissu

    TUNDU LISSU, huenda akawa ni miongoni mwa wanasiasa wenye bahati kubwa! Ni mwanasiasa, anayenufaika sana na makosa ya wakubwa! Makosa ya wakubwa kwa kujua au kutokujua, kwa kushauriwa au kutokushauriwa vizuri yameanza kumjenga Tundu Lissu. Awamu hii ya tano, imejenga marafiki wengi wa kificho...
  3. M

    ITV siyo sahihi kutoa sauti ya Hotuba ya Tundu Lissu katika Mkutano wa ACT-Wazalendo

    Nimefuatilia mkutano wa ACT Live unaorushwa na ITV. Tundu Lissu kapewa nafasi ya kuongea, kaongea kirefu, kisha akaanza kuzungumzia hali ya nchi ndani ya miaka mitano iliyopita, na nia na sababu ya kuiondoa CCM madarakani. ITV wakamzimia sauti. Sasa najiuliza kama ITV inafanya kazi kwa maslahi...
  4. ACT Wazalendo

    Uchaguzi 2020 Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Mkutano Mkuu wa ACT–Wazalendo: Membe apata kura za Ndiyo 410 za Urais Tanzania, Maalim Seif Ndiyo 419 za Zanzibar

    Chama cha ACT–Wazalendo leo tarehe 05 Agust 2020 kinafanya Mkutano wake Mkuu Diamond Jubilee–VIP Hall. #MkutanoMkuuACT2020 #KaziNaBata #TheFutureIsPurple ===== UPDATES ====== #UCHAGUZI2020: MEMBE, MAALIM KUPEPERUSHA BENDERA ZA ACT WAZALENDO URAIS TANZANIA NA ZANZIBAR - Chama hicho...
  5. D

    Yaani ITV mkutano wote wa CHADEMA la maana kuripoti mliloliona ni kuhusu kuongeza aya kwenye wimbo mengine hamjayaona

    Yaani taarifa ya habari ITV mlichoona cha maana kuripoti kutoka mkutano wa CHADEMA Ni kuhusu kuongeza aya ya tatu kwenye wimbo wa taifa, tena kwa kumuonesha jaji mtungi tu Mengine yoote hamjaona ya maana bali Hilo moja tu! kweli?
  6. F

    Nawapa Kongole ITV ktk kipindi chote cha Msiba wa Mzee Mkapa

    Ktk kipindi chote cha Msiba wa Mzee Mkapa ITV wamejitahidi sana kumtendea haki. Wakati wa taarifa ya habari ya saa mbili, utakuta habari nne mfululizo ni habari za msiba wa Mzee Mkapa. Utaona habari watu wapo uwanjani wakiaga, utaona habari nyingine watu mkoani Tanga wakitoa maoni juu ya kufiwa...
  7. Roving Journalist

    Lupaso, Mtwara: Rais Mstaafu, Hayati Benjamin William Mkapa azikwa kwa Heshima

    Historia ya Benjamin Mkapa MFULULIZO WA MATUKIO MBALIMBALI YALIYOTOKEA WAKATI WA MSIBA NA MAZISHI YA HAYATI MZEE BENJAMINI WILLIAM MKAPA WANANCHI WASIMAMA BARABARANI KUAGA MWILI WA RAIS MKAPA Wananchi wa maeneo mbalimbali ya Dar es Salaam, wameonekana wakisimama barabara kuonyesha heshima kwa...
  8. dosama

    Habari ya ITV iliyowang'oa DED na DC Mvomero: Vyombo vya habari kutakiwa kuomba ruhusa kabla ya kurekodi na kutangaza habari

    Mvomero Morogoro: Wanafunzi wapatao 733 Wanakalia Viroba juani kutokan ana madarasa kuchakaa
  9. T

    Mwl Nyerere: Tunataka kuona Vijana Jasiri, wanaohoji mifumo Kandamizi, Wasiotikia Ndiyo Mzee

    "Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi...
  10. E

    Mtangazaji wa ITV Ufoo Saro yupo wapi?

    Wadau nisaidieni kujua huyu mwanadada aliko. Maana sauti yake nimeimiss sana. "Nikiripoti kutoka jijini Dar es Salaam ni mimi mtangazaji wako, Ufoo Saro wa ITV."
  11. Analogia Malenga

    Dodoma: Rais Magufuli anazindua ujenzi wa barabara ya Mtumba, Makao Makuu ya TARURA na Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto

    Rais Magufuli yupo sherehe za kuzindua ujenzi wa 51.2 km za barabara ya mji wa kiserikali wa Mtumba, mkoani Dodoma Barabara hiyo itakuwa na km 11.2 za njia nne, zenye upana wa mita 7 kila upande Katika sherehe hizo pia kutakuwa na uzinduzi wa Jengo la ofisi za TARURA mji wa Mtumba, katika...
  12. SOCIETY'S FOCUS

    Reporter wa ITV unaemkubali... utuambie una report kutoka wapi..

    Nki report kutoka uganda, John ojambo ITV kampala...
  13. J

    Sheikh wa mkoa wa Dar, Alhad Salum awachachamalia ITV kwa kutoweka vitakasa mikono na maji mlangoni

    Shehe wa mkoa wa Dar es Salaam alhad Mussa Salum jana aliwahoji watangazaji wa kipindi cha Malumbano ya Hoja kwanini hawaweki vitakasa mikono na maji tiririka mlangoni? Sheikh alilalamika kuwa yeye alipita bila kunawa popote hadi kufika hapo meza kuu alipokaa. Mtangazaji Kivuyo alisema...
  14. AbuuMaryam

    ITV Mnakimbizwa na nani?

    Unakuta taarifa zenu mnaripua ripua tu. Kwani ni lazima kutoa taarifa nyingi? Hamuwezi kuchuja? Taarifa ndogondogo mnaziandalia kipindi chake. .. Habari zenu mpo juu juu yani mtasema mnakimbizwa. . . Hebu badilikeni mmekaa kishamba kama TBC studio ni ile ile kila siku. . Sijui huo...
  15. Mzito Kabwela

    Katibu Mkuu Taifa CHADEMA, John Mnyika ataongea live kupitia kituo cha ITV asubuhi

    Kijana mwenye akili nyingi,hekima, busara na upeo wa hali ya juu, John John Mnyika, Katibu mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kesho Jumatano tarehe 29.01.2020 saa tano asubuhi atakuwa hewani akitoa darasa la siasa, demokrasia na maendeleo. Madini ya Mnyika hayapaswi kupitwa na kila...
  16. J

    Live ITV: Rais Magufuli anafungua Hotel ya Verde Azam Luxury Resort & SPA mtoni jijini Zanzibar inayomilikiwa na S S Bakhresa

    Ni tukio kubwa na la kihistoria kwani hii ni hoteli ya kipekee kabisa nchini Tanzania, Afrika mashariki na kusini mwa jangwa la Sahara. Karibuni!
  17. Makanyaga

    Nilivutiwa sana na mjadala wa Kisheria kwenye Kipimajoto ITV Ijumaa iliyopita

    Mjadala ulikuwa kati ya Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Meli (TASAC) na Mawakala kutoka sekta binafsi. Kitu kilichonivutia kwenye mjadala huu ni baada ya mawakala kutoka sekta binafsi kutoa malalamiko yao kuwa TASAC ameamua kuwa wakala lakini akaweka sheria kuwa yeye hatakuwa na LIABILITY kutoka...
  18. J

    Chato, Geita: Rais Magufuli afungua jengo la Mahakama ya Wilaya na kuweka jiwe la msingi jengo la Zimamoto

    leo Jumatano Desemba 18, 2019 Rais wa Tanzania, John Magufuli amehudhuria hafla ya uzinduzi wa jengo la Mahakama ya Wilaya ya Chato na uwekaji wa jiwe la msingi ujenzi wa jengo la Zimamoto na Uokoaji la Wilaya ya Chato mkoani Geita. Haya ni baadhi ya yaliojiri kwa ufupi. Prof. Ibrahim Juma...
  19. Pascal Mayalla

    ITV, hongera kutuletea mubashara za matukio ya kitaifa, ila mtutendee haki watazamaji wenu waraibu wa Isidingo, irudieni, anzisheni PVR zenu kama DSTV

    Wanabodi, Ukiwa ni mfuatiliaji wa series fulani kwenye TV fulani au tamthilia mbalimbali, Series hizo na tamthilia hizo zina urahibu fulani, hivyo wakati wa tamthilia hiyo ukifika, wapenzi wa tamthilia hizo, huacha kila kitu ili kufuatilia tamthilia hizo. Sasa kunapotokea matukio ya kitaifa...
  20. L

    Kipindi cha Dakika 45 ITV kunani?

    Hello wakuu, nimekuwa ni mfuatiliaji wa hiki kipindi mara nipatapo nafasi. Kimekuwa kinahoji watu wa kada mbalimbali mfano Mawaziri, Wakurugenzi, Makatibu nk. Shida ni kuwa kipindi hakina ladha kabisa wala mshawasha wowote wale ndugu zetu wa habari kuna kosa gani la kiufundi pale? Yaani...
Back
Top Bottom