itv

ITV - Independent Television Limited (ITV) ni kampuni shirikishi ya IPP Limited. ITV ilianza shughuli zake mwaka 1994 ikiwa na kituo kimoja cha televisheni na kituo kimoja cha redio ambacho ni ITV na Radio One.

Mwaka 2009 kampuni ilizindua kituo kingine cha Capital Television na Capital Radio.
  1. Pdidy

    Lindi: Wakulima wa korosho wagoma kuuza bei ya hasara, Mkuu wa mkoa wasaidie Hawa wakulima

    LEOO NIMEANGALIA WAKULIMA WANAVYOLIA LINDI KUSA M ADA KUJA NA BEI ZA HASARA KABISA KAKUMBUKA .MENGI SANA WANANCHI WA LINDI MMENUFURAHISHA SANA WALIPOFIKA MNADAN WAKAKUTA BEI ZA AJABU WALICHO FANYA N KUGOMA NA KUAIRISHA . MNADA DC NA MKUU WA MKOA NAJUA UNALIJUA HILI NAMANI KUONA UKITOA NENO...
  2. Mpekuzi Tanzania

    Ukosefu wa nyumba za Waalimu Igunga, Mbenge atia neno

    Tazama clip/video kuhusu Nyumba ya Mwalimu Mkuu Shule ya Msingi Maweni, Kata ya Nguvumoja Wilaya ya Igunga. Inadaiwa kuna ukosefu wa nyumba za Walimu katika shule ya msingi Maweni na kuwafanya walimu kutembea umbali mrefu kwenda na kurudi shuleni.
  3. chivala

    Kituo cha television ITV Tanzania, kweli ni Super Brand

    Wakuu, Nayasema haya, siyo kwa upendeleo bali ni ukweli mtupu hata ninyi mnaweza kuwa mashuhuda jinsi ITV inavyoripoti kutoka Mahakamani kwenye kesi ya Mheshimiwa Mbowe na wenzake. Kwenye taarifa zake za habari, ITV huweka wazi taarifa na mambo mbalimbali bila woga wala upendeleo. Hii...
  4. N

    Mmegundua nini kuhusu ITV?

    Nitaeleza kutoka hivi karibuni kurudi nyuma! 1. Siku hizi wanaripoti kweli kweli habari zihusuzo 'kuijenga' serikali. Natumia mfano wa leo kwanza; ‐ wameripoti 'kikamilifu' tukio la machinga aliyefariki wakati wa kuokoa mali zake. Mwandishi alitembea kweli kweli kufuatilia suala hilo huku...
  5. Erythrocyte

    Mwandishi William Ngazija wa ITV akamatwa na Polisi mkoani Tanga

    Taarifa zinaeleza kwamba Mwandishi huyo anayeripotia ITV kutokea Mkoa wa Tanga , amekamatwa na Polisi wa Korogwe na kulundikwa Sero kwa Amri ya Mkuu wa Wilaya hiyo , Ambaye pia ni Mlimbwende wa Tanzania wa miaka iliyopita Mtukufu Basila Mwanukuzi . Bado haijafahamika kosa lake Chanzo : Kitenge TV
  6. OKW BOBAN SUNZU

    Kesi ya Mbowe na Wenzake: Polisi Wazuia watu kuingia kufuatilia, Mawakili wa Utetezi watoka nje. Kesi yarejea na kuahirishwa mpaka 17 Sept

    Freeman Mbowe na wenzake wameletwa tayari. Lakini ulinzi mkali umeimarishwa. Askari wengi. Pia kuna zuio la watu kuingia ndani ya mahakama. Wanasema ni mawakili 20 tu, wanahabari 10 (leo wameruhusiwa), ndugu 5, Viongozi 5, lakini simu marufuku. Askari magereza wanalalamika kwamba jana tumefanya...
  7. D

    Kisimbuzi Cha startimes kinaniambia niingize dekod pin kwenye channel ya ITV. He dkoda pin number ipi

    Leo dekoda imenambia hivyo.. cjui tatizo Nini hebu nitatulieni
  8. CUF-WILAYA YA KINONDONI

    Abdul Kambaya kuunguruma kipindi cha Malumbano ya Hoja Julai 1, 2021

    MALUMBANO YA HOJA KESHO ALHAMISI BINGWA WA KUJENGA HOJA NCHINI PIA NI MJUMBE WA BARAZA KUU LA CUF TAIFA, MHE. ABDUL KAMBAYA ATAKUWA KATIKA KIPINDI CHA MALUMBANO YA HOJA KATIKA TELEVISION YA ITV SAA 3:00 USIKU KESHO SIKU YA ALHAMIS USIKOSE KUFATILIA
  9. GENTAMYCINE

    Farhia Middle wa Radio One amehuzunika sana Abdallah Mwaipaya kuwa DC

    Kuna Kipindi nakumbuka ( nikiwa kama Msikilizaji Balozi na Mwandamizi wa Kipindi chao nikipendacho cha Mazungumzo ya Familia cha Radio One kila Jumapili Saa 1 na Nusu Asubuhi hadi Saa 4 Kamili Asubuhi ) aliwahi 'Kufiwa' na Dada yake tena wa toka nitoke ila wala hakuwa katika Majonzi na alisahau...
  10. GENTAMYCINE

    Mliomuona 'Mkwere Original' akilia ITV kwa Msiba wa Mzee 'Matata' mniambie je, alikuwa akilia kweli au ameigiza tu?

    Mkwere Original tunaomjua na Kumuangalia mara kwa mara hata nje ya Kuigiza na kukutana nae mara kadhaa huko Mitaa ya Kwake Mbezi ya Bonyokwa Yeye kila Kitu tu hukifanyia ' Komedi ' na ni lazima utacheka mno. Nimetoka kuona Kipande cha Taarifa ya Habari ITV muda si mrefu akihojiwa Kuhusiana na...
  11. maroon7

    Traffic lights kona ya ITV zimeongeza jam

    Yaani badala ya kusaidia kupunguza jam hizi taa hapa ITV junction zimeongeza kero aisee sijui nini wataalam wetu wameshindwa kutatua. Kwanini hata wasingewaza magari ya kutokea upande wa ITV yanayoelekea mwenge yakazungukie bamaga? Na Yanayotoka bamaga kuingia Mikocheni yakaingilie mwenge? Mbona...
  12. Mkogoti

    Isidingo walikuwa wanawalipa ITV?

    Habari, Naomba kuuliza swali hili, Isidingo imeonyeshwa miaka mingi sana ITV nani alikuwa anamlipa mwenzake, maana miaka na miaka nakuwa nacheck tu. Pia naona imekuja pia tamthilia nyingine tofauti na Isidingo kuisha. Pigia Yesu Makofi 👏👏
  13. Kinoamiguu

    Kipindi cha Dakika 45 ITV: Wakati umefikia sasa kuruhusu maswali kwa wageni waalikwa

    Wanajanvi. Hiki ni kipindi kizuri sana. Ni kipindi cha muda mrefu na maarufu hapo ITV. Wanaalikwa watu wazito wenye maslahi kwa umma! Mwandaaji wa kipindi bi Farhia anajitahidi sana kauliza maswali fikirishi kwa wageni wake. Hata hivyo kipindi kinakosa mvuto. Ni cha upande mmoja. Muulizwa...
  14. J

    ITV kumkaribisha Dkt. Marcus Albanie wa CHADEMA katika kipindi cha Kipima Joto ni jambo la kupongezwa

    Jana ITV walimualika kamanda wa Chadema Dr Marcus Albanie kwenye kipindi cha Kipima Joto kilichohudhuriwa pia nu CAG mstaafu CPA Uttoh. Kwa kipindi kirefu makamanda wa Chadema hawajaonekana katika vipindi vya Malumbano ya Hoja na Kipima Jotto kama tulivyozoea na badala yake wamekuwa wakialikwa...
  15. T

    ITV wamkatia sauti Zitto

    Akiwa anaongelea kuhusu MSD, sauti imekatwa ghafla na baadae kumtoa hewani kabisa kisha kuweka matangazo. Hii haikubaliki. Bajeti ya MSD imetekelezwa kwa chini ya asilimia moja. Baada ya uchambuzi, wamerudisha LIVE. Wanaouliza maswali hawaoneshwi lakini u-tube wanaonesha Baada ya mchangiaji...
  16. Bujibuji Simba Nyamaume

    Dar: Mtangazaji wa ITV, Blandina Sembu atupwa barabarani kituo cha Mwenge ITV akiwa ameuawa

    Mtangazaji wa kituo cha ITV cha jijini DAR ES SALAAM Bi Blandina Sembu amekutwa akiwa ameuawa maeneo ya ITV Mwenge usiku saa sita. Mwili huo ulitambuliwa na Henry Mabumo aliyekuwa mtangazaji mwenzake kabla Mabumo hajahamia TBC. Mwili ulichukuliwa na Polisi usiku huohuo. Taarifa rasmi...
  17. guwe_la_manga

    ITV Kuweka kipini cha "MUBASHARA" kwa tukio la nyuma la JPM hamwoni kama mnazua taharuki kwa umma?

    Moyo wangu umeruka mapigo saba ya moyo baada ya itv leo asubuhi kuweka kipini cha "mubashara" kwa tukio la zamani la JPM kuweka jiwe la msingi la ujenzi w uwanja ndege mkoani Mtwara! Ni mazoea? N kupatiwa? Ebu Ongezeni umakini katika kazi yenu!
  18. Sky Eclat

    #COVID19 ITV News Uingereza yaeleza hali ya Corona Tanzania

    Vyombo vya habari vya kimataifa vimetangaza kuwa Tanzania inachukuliwa na upepo wa corona kwakua nchi hiyo imeamua kuzika kichwa chake ardhini. Waandishi wa habari hao walitembelea Tanzania na kujifanya ni Watalii. Walipohoji raia umuhimu wa kuvaa barakoa, wengi walisema wanamuamini Mungu.
  19. Analogia Malenga

    Raila Odinga alazwa Nairobi Hospital

    Kiongozi wa Chama cha ODM nchini Kenya amelazwa Hospitali ya Nairobi kutokana na kuwa na mchoko sana na mwili wake kuwa unamuuma Kaka wa Odinga, Oburu Odinga amesema ndugu yake haijaonesha dalili za magonjwa ya mfumo wa hewa, lakini hadi wameondoka hospitali majibu ya #COVID19 yalikuwa bado...
  20. Nafaka

    Hatimaye Isindigo imeisha rasmi ITV ilikuwa the best soap opera

    Leo hatimaye Isindigo the need imeisha rasmi ITV japokuwa South iliisha muda baada ya kuonyeshwa kwa miaka 21 mfululizo. Wengine tumekua nayo toka watoto mpaka now watu wazima tuna watoto pia. Ni tamthlia ambayo kwangu ilikuwa bora kabisa kuliko tamthilia yoyote niliyowahi kutazama...
Back
Top Bottom