MWANAMKE HAPASWI KUWA MGOMVI
Mithali 21:9, 19;
"Ni afadhali kukaa ktk pembe ya darini, kuliko ktk nyumba pana pamoja na mwanamke mgomvi."
"Ni afadhali kukaa ktk nchi ya nyika, kuliko na mwanamke mgomvi, mchokozi."
Leo nataka tuanze mfululizo wa somo hili, lengo likiwa ni kuboresha mahusiano...