jangwani

Jangwani is an administrative ward in the Ilala district of the Dar es Salaam city in Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 15,722.

View More On Wikipedia.org
  1. MIMI BABA YENU

    Serikali yatenga Bilioni 4 kuimarisha miundombinu Jangwani

    Serikali kupitia Mfuko wa Barabara (Road fund) imesema ipo tayari kupitisha kiasi cha shilingi bilioni nne kwa ajili ya kumlipa mkandarasi atakaepatikana ili kuboresha miundombinu ya Jangwani mara baada ya uhakiki wa makisio hayo kukamilika na kujiridhisha. Akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa...
  2. Bujibuji Simba Nyamaume

    Morogoro Road yafungwa Jangwani

    Jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani limefunga kwa muda barabara ya Morogoro eneo la Faya hadi Magomeni jijini Dar es Salaam kutokana na maji kupita juu ya daraja la Jangwani. Mvua kubwa zimenyesha Kisarawe na kusababisha mafuriko kwenye bonde la mto Msimbazi.
  3. Kanungila Karim

    Mchakato ujenzi barabara ya juu Jangwani waanza

    Meneja wa Wakala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Ngusa Julius, alibainisha kuanza kwa mradi jana alipozungumza na Nipashe kuhusu suluhisho la adha inayoendelea kuwatesa watumiaji wa barabara hiyo hasa mvua inaponyesha kwa wingi na kusababisha Mto Msimbazi kukata mawasiliano ya barabara. “Kuna...
  4. J

    Wadau leo jangwani panapitika?

    Salaam kwenu wakuu. Nauliza tu wale mliowahi mjini leo, je daraja la jangwani limeshafunguliwa? Mungu awabariki. Maendeleo hayana vyama!
  5. Tanzania Nchi Yetu Sote

    Njia ya Jangwani imefungwa kuanzia saa 11:45 leo asubuhi kutokana na mafuriko

    Njia ya Jangwani imefungwa kuanzia saa 11:45 leo asubuhi kutokana na mafuriko kwa mvua inayoendelea kunyesha katika Jiji la Dar es Salaam. Hivyo, tunawashauri wasafiri wetu kutumia usafiri mbadala ikiwemo daladala mpaka Morocco kwa wale wanaotokea Posta kwenda Kimara. Wakifika Morocco wanaweza...
  6. Andrew Tate

    Haya maneno ya mtangazaji wa Uhuru FM kwa wanafunzi wa Jangwani mnayaonaje?

    Lengo la uzi halipo kisiasa wala kuegemea au kushambulia upande wa chama chochote cha kisiasa. Leo nilikuwa nasikiliza redio stesheni ya Uhuru FM. Walikuwa wanahoji wanafunzi wa kidato cha 5 na 6 shule ya Secondary Jangwani kuhusu "kwanini Magufuli miaka mitano mingine" Ila kuna...
Back
Top Bottom