jangwani

Jangwani is an administrative ward in the Ilala district of the Dar es Salaam city in Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 15,722.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Badala ya machinga kuwekwa kwenye mkondo wa maji Jangwani serikali ifanye yafuatayo

    Kama tunawaza sawa sawa na Kama miradi tunayojenga tunatambua thamani yake naamini leo tusingesikia kauli ya Rais kujenga soko Jangwani. Haya ni matumizi mabaya ya fedha. Uwepo wa machinga Karikoo unapaswa kufanyia utafiti na siyo kufanya- siasa. Koko bearch Kuna sunami, Jangwani Kuna mkondo wa...
  2. Red Giant

    Ukistaajabu samaki mchanga, hujamuona samaki wa jangwani

    "Njoo unisaidie kazi fulani, la sivyo hatutakula jioni hii." Nilimfuata. Aliingia ndani ya kibanda chake akatoka na ndoo yenye maji. Aliingia nayo mwenye zizi la mijusi akayamwaga hayo maji juu ya jiwe moja pana lililokuwa limebonyea kidogo katikati. Mijusi walikimbia haraka kunywa maji. Wakati...
  3. M

    Wavulana wa soka wa Jangwani msione vibaya kuwapigia makofi wanaume wa soka wanaokipiga leo, kesho na keshokutwà dimba la kimataifa!

    Baada ya kuangukia pua mapema wavulana wa soka wa utopolo msione vibaya kuwashangilia na kuwapigia makofi wanaume wa soka la Tanzania kuanzia Biashara leo, Azam kesho na kisha baba lao wekundu wa msimbazi siku ya jumapili. Inabidi mfanye hivyo tu maana ushindi wao ndio mbeleko yenu ya...
  4. F

    SoC01 Suggestions for solutions to Jangwani Creek

    Category: Environment Image by the courtesy of Google The President should disinherit the creek lands from the slum dwellers and cultivators and claim back...
  5. F

    SoC01 Jangwani Creek Illegal Human Settlement

    Category: Environment Images by the courtesy of Google. For quite long time now, Jangwani creek among others in Dar es Salaam region has turned to be critical political agenda of the nation whereby activists have capitalized it for popularity of their businesses’ missions and visions. The...
  6. M

    Tukisema Akili Duni huwa zinapatikana Jangwani tu pekee muwe mnatuelewa tafadhali

    Katika hali ya Kushangaza na iliyojaa Upuuzi kama si Uduni wa Akili Klabu ya Yanga imepanga kwenda nchini Nigeria na Msafara wa zaidi ya Watu 50 wenye Wachezaji, Waganga wa Kienyeji, Wapishi, Walinzi wa Chooni na Makomandoo. Inadaiwa kuwa hao wengine ni Makomandoo wao ili wasifanyiwe Fujo kama...
  7. M

    Farhia Middle na Aboubakary Sadick wa Radio One wauchanachana Msukule mpya wa Mafurikoni Jangwani

    "Kuna Wanaume wengine Wana tabia za Kike Kike za kupenda Kuwasema Watu vibaya ambao wameishi na kufanya nao Kazi kana kwamba hawakuwa na Mazuri yao au Yeye nae hana Mapungufu yake. Tafadhali ukiachika nyamaza tu kwani Kutajataja Watu kunaonyesha jinsi gani unavyowakubali na ulivyoumia kutokuwa...
  8. demigod

    Kumkaribisha Haji Manara Jangwani Ni Kosa Kubwa Sana!

    Wanajanvi. Sina shaka na uwezo wa Haji kwenye matumizi ya kimkakati ya Kimasoko. Ila kwa kutumia jicho la tatu ninaona kama ni kosa kubwa sana kumkaribisha huyu Mwamba pale Jangwani kwa sababu ya historia yake kwenye eneo la nidhamu na weledi. Ni kweli kuwa ametokea kwenye familia yenye vina...
  9. E

    Tunahitaji suluhisho la mafuriko mto msimbazi na siyo kujikita kwenye usafiri Jangwani tu

    kwa mda mrefu jiji la Dar hukumbwa na mafuriko katika mto msimbazi yanayopelekea nyumba kadhaa kando kando ya mto msimbazi kuzingirwa na maji huku baadhi ya barabara kama magomeni eneo la jangwani kutopitika. inashangaza kuona serikali inapanga kujenga daraja jangwani kama ndiyo suluhisho la...
  10. M

    Yanga SC na GSM na hawa Wakongo Watatu nao pia wanaomba Usajili Kwenu, ili Jangwani Music FC Band ikamilike

    1. Diblo Dibala (Soloist) 2. Bileku Mpasi (Rapper) 3. Allain Kounkou (Dancer) Naamini wakisajiliwa tu na hawa Watatu basi Waimbaji maarufu wa Bendi yenu ya Jangwani Music FC Band kama akina Makambo, Mayele, Moloko, Mukoko, Bangane na Djuma watauza mno Albums zenu ambazo mnatarajia kuzitoa.
  11. Superbug

    Katiba Mpya haitashuka kama mana jangwani. Mapito ya Mbowe na CHADEMA ndio njia yenyewe chungu yenye shubiri lakini yenye tija

    Siku zote watawala hawataki kugawana power na wengine wao wangependa kuhodhi power hiyo milele. Mungu fundi akaweka kifo na sisi wanadamu tukajiwekea katiba. Rais aliyepita Magufuli alitufundisha vizuri sana umuhimu wa katiba Bora. Aliwaambia wazi wakurugenzi nikulipe mshahara nikupe gari...
  12. Championship

    Pendekezo: Jangwani paboreshwe Wamachinga wa Kariakoo wahamishiwe hapo

    Wanabodi, Ni dhahiri kwamba ipo changamoto kubwa sana ya wafanyabiashara hawa wadogo pale Kariakoo. Wamekuwa wengi mno na kusababisha adha kubwa sana kwa wenye maduka na wateja waendapo kupata huduma. Ninapendekeza eneo lote la jangwani painuliwe, pajengwe vizuri na kuwekewa vibanda modern...
  13. GENTAMYCINE

    Mheshimiwa kasahau vipi 'Kuwateua' Wachapakazi hawa nao kuwa Wakuu wa Wilaya?

    1. Michael Sarpong 2. Abdulazaq Fiston 3. Metacha Mnata 4. Ditram Nchimbi Hawa nao wangemsaidia sana tu Mama.
  14. beth

    Chande: Kipande cha Jangwani kinafanyiwa usafi mara kwa mara kupunguza athari za mafuriko

    Naibu Waziri wa Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira, Hamad Chande amesema ili kupunguza athari za mafuriko kwa sasa, kipande cha Mto Msimbazi cha Jangwani kinafanyiwa usafi wa mara kwa mara na Wakala wa Barabara TANROADS Amesema Serikali imepanga kubadili eneo la Bonde la Mto...
  15. Mad Max

    Mvua Dar; Jangwani panapitika leo?

    Habari wakazi wa Dar es Salaam na viwanja vyake. Nina safari ya kwenda mjini Posta leo. Hii mvua ilivyonyesha hii asubuhi Jangwani panapitika kweli? Kwa walioenda mjini kupitia njia ya Morogoro naomba mrejesho. Shukrani.
  16. M

    KMC FC nimeshamaliza kila Kitu, tafadhali msiniangushe leo mnapocheza na Njaa Vitisho Malalamiko Albadiri Jangwani FC kwa Mkapa

    Nataka tu Mshinde au Mtoke Sare tu, ila msikubali Kufungwa kabisa leo kwani mtanikera. Hao Mabeki wenu waambie Wawagongegonge ( wapige Buti ) sana akina Kisinda na Ntibanzonkiza. Tumeshamaliza Jukumu la Kimataifa ( CAF Champions League ) na tunarudi VPL. Nawaonea mno Huruma watakaokutana na...
  17. N

    Fiston na Kisinda waleta raha mpya jangwani yanga

    Baada ya jana mwenyekiti Msolla kufafanua kwa ufasaha issue zinavyoenda na jinsi maadui wa team hiyo walivyo hack simu yake na kumtukana Metacha Mnata kwamba ni duka na mchawi mambo yameendelea kuwa mazuri kwa wana yanga kwani baada ya mgogoro kumalizwa rasmi na Mwenyekiti leo wachezaji wao...
  18. Sky Eclat

    Watawala wetu, tatizo la maji Jangwani tulitegemea litapewa kipaumbe

    Wakazi wa Dar wanaoathirika na tatizo hili ni wengi sana. Pamoja na hayo Dar ni lango la nchi, kwa anga, na kwa bahari. Wageni wengi wanaingia Tanzania kupitia lango la Dar. Daraja la juu la miguu na la magari lingeokoa muda mwingi watu wanaopoteza katika kadhia ya usafiri eneo hili wakati...
  19. J

    Mchungaji Matsai: Watanzania tunatambuana kwa Utanzania wetu na siyo Dini zetu, serikali ijenge fly over Jangwani!

    Mchungaji Matsai wa Kanisa la KKKT Kimara amewataka watanzania waendelee kuwa wamoja kwani nchi yetu haina dini ila watu wake ndio wana dini. Matsai amesema hayo mbele ya Waziri wa uwekezaji Prof Kitila Mkumbo na Naibu Spika Dr Tulia Ackson aliyeshiriki ibada Kanisani hapo. Kadhalika mchungaji...
  20. Leak

    Mhe. Rais usikubali eneo la Jangwani kutumika kama uchochoro wa kula pesa, limegeuka mradi wa kifisadi

    Wasalaam wana jamvi. Bila shaka kila Mtanzania aliyepata wasaha wa kupita jangwani atakubaliana nami na Watanzania wengine kuwa Jangwani kunahitaji suluhu nyingine na si kila leo kutoa mchanga na kuchimba mitaro kwa sababu hivyo vyote havijawahi kuwa suluhu kabisa pale Jangwani kwani kila leo...
Back
Top Bottom