japan

  1. Stephano Mgendanyi

    Ushirikiano wa Tanzania na Japan Kuwezesha Ujenzi wa Flyover Morocco - Dar

    USHIRIKIANO WA TANZANIA NA JAPANI KUWEZESHA UJENZI WA FLYOVER MOROCCO – DAR. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali ya Tanzania inaendelea kuimarisha ushirikiano na Japani hususan katika Sekta ya miundombinu ambapo Tanzania inaendelea na mazungumzo na nchi hiyo ya...
  2. T

    Kuna darasa tunaweza kujifunza kwa Japan kuelekea 2025

    Napenda siasa napenda democracy japo sidhani kama ni democracy. Napenda siasa yenye mrengo wa kiuchumi na kiusalama wa Taifa. Nimeona mabadiliko ktk serikali ya Japan nikatamani taifa langu lipate Kiongozi mwenye mirengo inafanana na Japan hasa ukizingatia dunia kwa sasa siasa ni usalama wa...
  3. F

    Tanzania kuwa moja ya nchi 10 zenye watu wengi zaidi duniani ifikapo 2100, kuizidi Mexico, Japan na Brazil!

    Ifikapo mwaka 2100 Tanzania itakuwa kati ya nchi 10 kubwa zaidi duniani kwa idadi ya watu. Pia Tanzania itakuwa moja ya nchi zenye uchumi mkubwa zaidi duniani.
  4. uhurumoja

    Japan anamteketeza China kwenye derby ya far east

    Japo China hana mpira mkubwa sana lakini hii iko ndani ya Kila mchina kuwa hapendi kupigwa au kupitwa na mjapani Hawa ni washindani wa kudumu Hapa naangalia namna Japan anampiga china najua viunga vya Beijing na Hong Kong wanchina wanaugulia kwa maumivu
  5. biznes_dealz

    INAUZWA SEIKO 5 Original 100% ya Japan imeingia

    New Arrival, Seiko 5 Original ya Japan. Saa ni mpya, original 100% ikiwa na box lake Original. Saa ni Automatic haitumii betri, inatembea muda wote wakati wote Saa haiingii maji hata uzame nayo chini ya bahari Seiko 5 utaikuta inatembea. Saa ni zaidi ya roho ya paka unatumia mpaka unazeeka...
  6. Yoda

    Tetemeko kubwa la ardhi laikumba Japan

    Ni tetemeko la ardhi la ukubwa wa ritcher 7.1, limetokea kusini mwa Japan. Tahadhari ya kutokea Tsunami yatolewa na mamlaka.
  7. Annie X6

    Naomba kujua nikiagiza Dualis from Japan hadi mlangoni kwangu Tsh ngapi

    Naogopa kupigwa naomba msaada. Kichwa hapo juu kimeongea. Naona bei kwa kule ni 3346USD Kwa nilivyosikia bei inakua mara mbili 8883630 x2 haikosi 18,000,000 Wakuu ndivyo??
  8. T

    Tunatoa usaidizi na ushauri katika kuagiza gari

    Habari wanajamvi, Nikiwa na passion, uzoefu kiasi ktk mchakato wa kuagiza magari Japan hadi mkononi. Nimedhamiria kama fursa kuleta wazo hapa namna navyoweza kuwasaidia wale wahitaji wa kuagiza magari kutoka nje..ambao pengine wanahitaji usaidizi. Mchakato uko hivi; 1)Tuwasiliane tujadili gari...
  9. Jamii Opportunities

    Personal Assistant to a Senior Diplomat at Embassy of Japan in Tanzania

    GENERAL INFORMATION 1. Position title Personal Assistant to a Senior Diplomat (There is only one post available.) 2. Period of performance ・One year (renewable. Subject to a three-month probationary period.) ・Full time (40 hours /week) 3. Working hours 7:30 to 16:30 (Lunch break: 12:30 to...
  10. FRANCIS DA DON

    Japan yatenga shs. Trillion 120 ili kushinikiza vijana kuzaa kwa wingi

    Takwimu zinaonyesha taifa la Japan (kizazi cha waJapan) kinaenda kufutika kabisa ndani ya miaka 100 ijayo. Hii inatokana na kiwango kidogo zaidi kuwahi kushuhudiwa cha uzazi huko Japan, ambapo kwa wastani mwanamke mmoja anazaa mtoto mmoja, ‘fertility rate ni 1.2’. Maana yake wanashindwa hata...
  11. Mad Max

    Kwa Million 15 Kushuka chini, naweza kupata Gari kutoka Japan?

    Habari za mishe mishe wakuu. Kila mtu anatamani harufu ya gari kutoka Japan. Tatizo linaweza kuja kwenye budget. Sasa tu-assume tuna maximum budget ya Mil 15 tu, je tunaweza kupata gari kutoka JP? Magari ya Million 15 na kushuka chini 1. Honda Fit (2nd gen, 2007 -2012) Unaweza ukapata hii...
  12. Forgotten

    Kwa budget ya 17m napata gari gani kutoka Japan

    Habari wana-JF kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, ningependa kujua ni gari gani ya kuagiza kutoka Japan inaweza kupatikana kwa 17m baada ya kodi. Yaani mpaka inafika mkononi icheze kwenye 17 na ikizidi sana basi 18m. Ni gari kwa ajili ya familia na mizunguko ya hapa na pale tu mjini.
  13. bahati93

    Kuna nchi hawapendi kabisa wageni

    Hivi vi Japani ni vijitu vya hovyo kwenye ulimwengu huu wa utandawazi. Nilikuwa nasikia juu juu kwamba ni vibaguzi ila nilikuwa siamini kwa sababu nikikosa ushahidi. Sasa kwa hiki walichofanya nimeamini pasipo shaka vijamaa havina roho kabisa, ndo maana vimenyimwa roho na matako. Ishu Ni kwamba...
  14. ndege JOHN

    Wanaovizia scholarship za japan tukutane hapa

    Kupeana mawili matatu yanayohusu changamoto za kwenye application hio toka wizara ya elimu ya japan. Maana application imekaa Kwa lugha sio nyepesi kivile.. Mpo mliona tangazo?
  15. E

    Niagize gari Afrika Kusini Vs Japan?

    Wakuu nahitaji 2011 Nissan Xtrail ukubwa wa Engine uwe kati ya 2 mpaka 2.5 cc. Niagize wapi Kati ya Japan na Afrika Kusini?
  16. Jamii Opportunities

    Security and Consular clerk at Embassy of Japan April, 2024

    The Embassy of Japan in Tanzania has a vacancy for a Security and Consular clerk. GENERAL INFORMATION 1. Position title Security and Consular clerk (There is only one post available.) 2. Job Description (1) Security Officer at the Embassy of Japan in Tanzania. (2) Collection of information on...
  17. Mto Songwe

    Kwanini ukatili wa kutisha wa Japan hauzungumzwi sana tofauti na wa Mjerumani katika vita vya pili vya dunia?

    Katika maisha yangu ya kusoma vita vikubwa vilivyowahi kupiganwa duniani basi vita vya kwanza na vya pili vya dunia haviachi kugusiwa. Sasa katika kufundishwa kwa vita hivi vikuu vya dunia hasa vita vya pili kuna jambo moja nimegundua. Jambo lenyewe ni kuwa katika maadui wanao zungumziwa sana...
  18. Melubo Letema

    Mwanariadha Magdalena Shauri Aangukia Pua, Tokyo Japan

    Mwanariadha Magdalena Shauri ameangukia pua baada ya kushika nafasi ya 11, kwa muda wa 2:32:58 huko Tokyo Japan, Jana tarehe 3/3/2024. Hata hivyo, Magdalena ndiye Mwanariadha pekee kwa sasa wa kike aliyefuzu kushiriki mashindano ya Olimpiki Jijini Paris, Ufaransa mwezi julai, baada ya kupata...
  19. Donnyme

    Mchakato rahisi wa kuingia Japan

    Naomba kujua jinsi gani rahisi ya kuweza kuingia na kuishi japan kwa urahisi
  20. Jonsonjohn

    Naomba ushauri juu ya hii biashara ya kuagiza bidhaa mchanganyiko kutoka Japan

    Miaka mitano iliopita nilifungua website ya kuagiza bidhaa mbalimbali kwanjia ya mtandao bahatimbaya sikupata wateja wakutosha nilikutana na changamoto nyingi sana 1. Watu wengi niwaoga kutapeliwa 2.Baadhi ya watu wanataka vitu vya bei rahisi sana bila kujali ubora. 3.Mtu mwingine anataka...
Back
Top Bottom