USHIRIKIANO WA TANZANIA NA JAPANI KUWEZESHA UJENZI WA FLYOVER MOROCCO – DAR.
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameeleza kuwa Serikali ya Tanzania inaendelea kuimarisha ushirikiano na Japani hususan katika Sekta ya miundombinu ambapo Tanzania inaendelea na mazungumzo na nchi hiyo ya...
Napenda siasa napenda democracy japo sidhani kama ni democracy.
Napenda siasa yenye mrengo wa kiuchumi na kiusalama wa Taifa.
Nimeona mabadiliko ktk serikali ya Japan nikatamani taifa langu lipate Kiongozi mwenye mirengo inafanana na Japan hasa ukizingatia dunia kwa sasa siasa ni usalama wa...
Ifikapo mwaka 2100 Tanzania itakuwa kati ya nchi 10 kubwa zaidi duniani kwa idadi ya watu. Pia Tanzania itakuwa moja ya nchi zenye uchumi mkubwa zaidi duniani.
Japo China hana mpira mkubwa sana lakini hii iko ndani ya Kila mchina kuwa hapendi kupigwa au kupitwa na mjapani Hawa ni washindani wa kudumu
Hapa naangalia namna Japan anampiga china najua viunga vya Beijing na Hong Kong wanchina wanaugulia kwa maumivu
New Arrival, Seiko 5 Original ya Japan.
Saa ni mpya, original 100% ikiwa na box lake Original.
Saa ni Automatic haitumii betri, inatembea muda wote wakati wote
Saa haiingii maji hata uzame nayo chini ya bahari Seiko 5 utaikuta inatembea.
Saa ni zaidi ya roho ya paka unatumia mpaka unazeeka...
Naogopa kupigwa naomba msaada. Kichwa hapo juu kimeongea.
Naona bei kwa kule ni 3346USD
Kwa nilivyosikia bei inakua mara mbili
8883630 x2 haikosi 18,000,000
Wakuu ndivyo??
Habari wanajamvi,
Nikiwa na passion, uzoefu kiasi ktk mchakato wa kuagiza magari Japan hadi mkononi. Nimedhamiria kama fursa kuleta wazo hapa namna navyoweza kuwasaidia wale wahitaji wa kuagiza magari kutoka nje..ambao pengine wanahitaji usaidizi. Mchakato uko hivi;
1)Tuwasiliane tujadili gari...
GENERAL INFORMATION
1. Position title
Personal Assistant to a Senior Diplomat (There is only one post available.)
2. Period of performance
・One year (renewable. Subject to a three-month probationary period.)
・Full time (40 hours /week)
3. Working hours
7:30 to 16:30 (Lunch break: 12:30 to...
Takwimu zinaonyesha taifa la Japan (kizazi cha waJapan) kinaenda kufutika kabisa ndani ya miaka 100 ijayo. Hii inatokana na kiwango kidogo zaidi kuwahi kushuhudiwa cha uzazi huko Japan, ambapo kwa wastani mwanamke mmoja anazaa mtoto mmoja, ‘fertility rate ni 1.2’.
Maana yake wanashindwa hata...
Habari za mishe mishe wakuu.
Kila mtu anatamani harufu ya gari kutoka Japan. Tatizo linaweza kuja kwenye budget. Sasa tu-assume tuna maximum budget ya Mil 15 tu, je tunaweza kupata gari kutoka JP?
Magari ya Million 15 na kushuka chini
1. Honda Fit (2nd gen, 2007 -2012)
Unaweza ukapata hii...
Habari wana-JF kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, ningependa kujua ni gari gani ya kuagiza kutoka Japan inaweza kupatikana kwa 17m baada ya kodi. Yaani mpaka inafika mkononi icheze kwenye 17 na ikizidi sana basi 18m.
Ni gari kwa ajili ya familia na mizunguko ya hapa na pale tu mjini.
Hivi vi Japani ni vijitu vya hovyo kwenye ulimwengu huu wa utandawazi. Nilikuwa nasikia juu juu kwamba ni vibaguzi ila nilikuwa siamini kwa sababu nikikosa ushahidi. Sasa kwa hiki walichofanya nimeamini pasipo shaka vijamaa havina roho kabisa, ndo maana vimenyimwa roho na matako.
Ishu Ni kwamba...
Kupeana mawili matatu yanayohusu changamoto za kwenye application hio toka wizara ya elimu ya japan. Maana application imekaa Kwa lugha sio nyepesi kivile.. Mpo mliona tangazo?
The Embassy of Japan in Tanzania has a vacancy for a Security and Consular clerk.
GENERAL INFORMATION
1. Position title
Security and Consular clerk (There is only one post available.)
2. Job Description
(1) Security Officer at the Embassy of Japan in Tanzania.
(2) Collection of information on...
Katika maisha yangu ya kusoma vita vikubwa vilivyowahi kupiganwa duniani basi vita vya kwanza na vya pili vya dunia haviachi kugusiwa.
Sasa katika kufundishwa kwa vita hivi vikuu vya dunia hasa vita vya pili kuna jambo moja nimegundua.
Jambo lenyewe ni kuwa katika maadui wanao zungumziwa sana...
Mwanariadha Magdalena Shauri ameangukia pua baada ya kushika nafasi ya 11, kwa muda wa 2:32:58 huko Tokyo Japan, Jana tarehe 3/3/2024.
Hata hivyo, Magdalena ndiye Mwanariadha pekee kwa sasa wa kike aliyefuzu kushiriki mashindano ya Olimpiki Jijini Paris, Ufaransa mwezi julai, baada ya kupata...
Miaka mitano iliopita nilifungua website ya kuagiza bidhaa mbalimbali kwanjia ya mtandao bahatimbaya sikupata wateja wakutosha nilikutana na changamoto nyingi sana
1. Watu wengi niwaoga kutapeliwa 2.Baadhi ya watu wanataka vitu vya bei rahisi sana bila kujali ubora.
3.Mtu mwingine anataka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.