jimbo

Jimbo is a diminutive form of the given name James. It is also a Japanese surname, and it means state in Swahili. It may refer to:

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Makonda ni karata muhimu CCM kwa jimbo la Arusha mjini 2025. Anafaa kupewa jimbo.

    Katika majimbo yanayoleta changamoto kubwa kwa CCM nyakati za uchaguzi ni jimbo la Arusha mjini. Kibaya zaidi changamoto kubwa huwa ni ndani ya CCM kwenyewe wakati wa kupata mgombea ubunge kupitia CCM. Kwa utafiti wangu binafsi nadhani CCM Arusha ndo imejaa mamluki wengi sana wa CHADEMA kuliko...
  2. Stephano Mgendanyi

    Jimbo la Kiteto Tumepokea Fedha Kwaajili ya Miradi ya Maendeleo Kiasi cha Tsh. 965,280,029

    JIMBO LA KITETO: TAARIFA KWA WANANCHI WA KITETO TUMEPOKEA FEDHA KWA AJILI YA MIRADI YA MAENDELEO KIASI CHA SHS 965,280,029 Ndugu wananchi wenzangu wa Jimbo la Kiteto, nachukua fursa kuwafahamisha kuwa tumepokea fedha 965,280,029 Shs kwa ajili ya miradi ya maendeleo. Nimezungumza na Mhe...
  3. K

    Jimbo la kyerwa halina mbunge???

    Wadau ,,sijawahibkusikia mbunhe WA Jimbo ka kyrwa akielezea chichote bungeni au nje ya Bunge.Ndo maana nauliza ,,je Jimbo la Kyerwa linamumnge wa kychaguliwa???
  4. Tlaatlaah

    Kwa hali ilivyo, unamshauri nini Luhaga Mpina mbunge wa Jimbo la Kisesa CCM?

    kama mdau wa siasa, harakati na demokrasia nchini, ni upi ushauri wako muafaka kwa kiongozi huyo wa kisiasa, kulingana na joto na uelekeo wa siasa za Tanzania, kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa baadae mwaka huu2024, na ule uchaguzi mkuu wa mwaka ujao 2025? afanye nini, aamue nini, na...
  5. Stephano Mgendanyi

    Shilingi Bilioni 2.6 Zatengwa Kwaajili ya Matengenezo ya Barabara Jimbo la Mbogwe

    SHILINGI BILIONI 2.6 ZATENGWA KWAAJILI YA MATENGENEZO YA BARABARA JIMBO LA MBOGWE "Ili kukarabati Barabara katika Jimbo la Mbogwe, kiasi cha Shilingi Bilioni 2.6 zimetengwa katika mwaka 2024/2025 kwaajili ya kuendelea kutengeneza matengenezo ya Barabara. Fedha zilizotengwa zitatumika pia...
  6. A

    Dr James Zotto anatosha Jimbo la NYASA (2025-2030)

    Msomi Nguli Dr James Zotto (PhD) anatosha kuwakilisha Wana Nyasa bungeni. Hivyo hima wajumbe msituangushe.
  7. Expensive life

    Pre GE2025 CHADEMA kuna jimbo la bure kule kwa babu tale wekeni mtu makini 2025

    Jimbo la bure kabisa lile mkiweka mtu makini mchana kweupe mnalipata lile jimbo. Wekeni kichwa haswa pale, mbunge wa sasa wa pale ni mweupe peeee kichwani.
  8. Stephano Mgendanyi

    Mbunge wa Jimbo Anunua Track Suits 100 na Jezi 16 Kwaajili ya Timu ya UMITASHUMTA ya Musoma Vijijini

    Timu ya UMITASHUMTA ya wanafunzi wa Shule za Msingi za Musoma Vijijini wako kambini wakifanya mazoezi yakiwa ni kwa ajili ya maandalizi yao ya mashindano ya UMITASHUMTA Mkoa wa Mara. Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo amechangia ushiriki wa wanafunzi wetu kwenye...
  9. peno hasegawa

    Huu ni wizi wa kura kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020. Je, hili Jimbo nani aliibuka mshindi?

    Angalia hii video ukifika mwisho tushauriane on-line.
  10. A

    KERO Wananchi wa Kijiji cha Idibula, Kilino (Nzega) hawajawahi kupata maji safi

    Tatizo la maji bado ni kubwa sana. Nimeenda Kijiji cha Idubula Kilino Nzega bado wananchi wa vijiji hivi hawajawahi kupata maji safi na salama tangia uhuru. Sijui viongozi wa maeneo hayo wanajisikiaje?
  11. N

    Dkt. Mwigulu Nchemba na Ally Happy wanavyoliweka mkakatini Jimbo la Iramba 2030

    Jamaa wanatengeneza makubaliano kuwa mwaka 2030 wakati Dr. Lameck Madelu Mwingulu Nchemba anakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bwana Ally Happi anakuwa Mbunge wa Iramba na anateuliwa kuwa Waziri.
  12. Stephano Mgendanyi

    Jitihada za Kuboresha Huduma za Afya Jimbo la Igunga

    JITIHADA ZA KUBORESHA HUDUMA ZA AFYA JIMBO LA IGUNGA "... Tumekamilisha ujenzi wa Wodi ya Wagonjwa Mahututi (ICU) yenye uwezo wa kuhudumia Wagonjwa mahututi kumi kwa wakati mmoja, Tumekamilisha ujenzi wa Wodi ya Mama na Mtoto yenye uwezo wa kuhudumia kina Mama na Watoto hamsini kwa wakati...
  13. peno hasegawa

    KERO Jimbo la Lupa-Chunya limetawaliwa na CCM tangu uhuru, halina barabara ya lami hata nusu kilometer

    Ukweli Tanganyika ni nchi ngumu. Jimbo la lupa lililopo chunya, halina hata nusu Kilomita ya Barbara ya Lami. Na Cha kufurahisha mbunge wake Yuko bungeni na anatarajia kurudi kuomba kura tena, ili aendelee kuwa mbunge wa Lupa. Ninashauri CCM itusaidie kumuondoa mbunge wa sasa, itupatie mtu...
  14. mchawi wa kusini

    Fahamu kuhusu marekani Kaskazini,marekani Kusini,USA,Na Jimbo la ALASKA

    Habar Ya mchana JF nimewaletea Elimu Ya Kujifunza hapa. ELIMU YA BURE: FAHAMU KUHUSU MAREKANI KASKAZINI, MAREKANI KUSINI, USA, NA JIMBO LA ALASKA. ------------------------------------------------------- Naamini sote tunataka kufahamu vizuri kuhusu tofauti kijiogorafia kati ya Marekani...
  15. Mganguzi

    Pre GE2025 Yaliyotokea 2020 yatakuwa zaidi 2025 dalili zinaonyesha hakuna Jimbo itawaachia wapinzani. CCM imechokwa lakini wapinzani wamechokwa zaidi!

    Habari ndio hiyo ni kweli ccm imechokwa ,Tena imechokwa lakini watanzania hawaoni mbadala wa ccm! Wapinzani ndio wamechokwa zaidi hakuna mfano ! Wao wenyewe pia wamejichoka. Uchaguzi ujao ni dhidi ya waliochokwa na waliojichoka wenyewe!! Naona hata hamu kutamani uchaguzi ufanyike imeondoka...
  16. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Nicholaus Ngassa Aeleza Jinsi Jimbo la Igunga Linanufaika na Bajeti ya Wizara ya Kilimo

    Mbunge Nicholaus Ngassa Aeleza Jinsi Jimbo la Igunga Linanufaika na Bajeti ya Wizara ya Kilimo Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa Akimpongeza Waziri wa Kilimo Mhe. Hussein Mohammed Bashe baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitisha Bajeti ya Wizara ya Kilimo...
  17. Stephano Mgendanyi

    Edward Lekaita, Mbunge wa Jimbo la Kiteto Afanya Ziara Kata ya Kibaya na Lengatei

    MHE. EDWARD LEKAITA, Mbunge wa Jimbo la Kiteto Afanya Ziara Kata ya Kibaya na Lengatei Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mkoa wa Manyara, Mhe. Edward Ole Lekaita amefanya ziara katika Kata ya Kibaya na Lengatei na kukutana na Makundi mbalimbali ikiwemo Maafisa Usafirishaji (Bodaboda) wa MaishaPlus...
  18. Lady Whistledown

    Uko tayari kumchagua tena huyo Mbunge wako 2025?

    Salaam Wakuu, Nina swali hapa Endapo Mbunge wa Jimbo lako atagombea tena, utampigia kura za Ndiyo? Kwanini? Karibuni tufunguke
  19. Stephano Mgendanyi

    Mchango wa Mbunge Ameir Abdallah Ameir kuhusu wataalam wa hali ya hewa

    MHE. AMEIR ABDALLAH AMEIR, Mwakilishi wa Jimbo la Mwanakwerekwe Akizungumza katika Kipindi cha Maswali na Majibu Bungeni jijini Dodoma kwa Wizara ya Uchukuzi na kujibiwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Mwakiposa Kihenzile. "Serikali huwatambua Wataalam wa Hali ya Hewa na kuwapa madaraja...
  20. Ndagullachrles

    Mchuano wa kisiasa Moshi kati ya makada wawili wa Chama cha Mapinduzi, Priscus Tarimo na Ibrahim Shayo

    Kuna mchuano mkali sana unaendelea kwenye siasa za mjii wa Moshi ambako makada wawili wa Chama cha Mapinduzi, Priscus Tarimo (mbunge)na Ibrahim Shayo a.k.a Ibra Line kuelekea uchaguzi Mkuu hapo mwakani. Mchuano huu umekolea hasa kwenye magroup ya WhatsApp ambako Ibra Line amepewa jina jipya la...
Back
Top Bottom