joe biden

  1. Sam Gidori

    Mambo 6 yatakayotawala Mdahalo wa Urais kati ya Donald Trump na Joe Biden

    Rais wa Marekani na mgombea wa chama cha Republic, Donald Trump anatarajiwa kukutana uso kwa uso na mpinzani wake, Joe Biden katika mdahalo wa kwanza wa urais unaotarajiwa kufanyika baadaye hii leo katika ukumbi wa Chuo cha Case Western Reserc, Cleveland, Ohio. Mdahalo huo unatarajiwa kufanyika...
  2. Barbarosa

    Joe Biden mgonjwa wa akili ,,I got to the US Senate 180 years a go''!

    During a speech to the U.S Conference of Mayors on Saturday, Joe Biden claimed he was elected to the Senate “180 years ago. Tazama hapa,
  3. Miss Zomboko

    Utafiti: Joe Biden (Democrat) ana nafasi ya kushinda katika Uchaguzi wa Marekani kwa 71.1%

    Joe Biden stands a 71.1% chance of winning the Electoral College, according to the Sept. 7 run of poll aggregator FiveThirtyEight’s election forecasting model. He is predicted to win 334 of 538 electoral votes. The model estimated Donald Trump’s chances at 28.4% According to the Sept. 7 run of...
  4. sky soldier

    Chama pinzani (Democrats) chakiri Joe Biden hawezi ku-debate na Donald Trump kwenye kampeni za urais 2020

    Wapinzani (Democrats) Hatimae wameuona Mwanga baada ya safari ndefu kwenye handaki, sasa ni dhahiri hata kwao kwamba Kumsdinda Trump kwa kumtumia mgombea wao Joe Biden ni kama kumchuna ngozi kupe, Haiwezekani, Ni wazi katika hio video Nancy Pelosi amekiri kwamba Mgombea uraisi kwa tiketi ya...
  5. Barbarosa

    Killery Clinton amwambia Joe Biden "don't accept results of 2020 Election''

    Huko USA kazi imeanza, sasa wameanza kutafuta visingizio baada ya kuona D. Trump anawapiga mchana kweupe, “Joe Biden should not concede under any circumstances because I think this is going to drag out, and eventually, I do believe he will win if we don’t give an inch and if we are as focused...
  6. Analogia Malenga

    Democrat wamteua rasmi Joe Biden kuwa Mgombea Urais wa Marekani

    Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa kitaifa wa Chama cha Democratic nchini Marekani wamemteua rasmi Joe Biden kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chama hicho katika uchaguzi utakaofanyika baadae mwaka huu. Marais wa zamani wa Marekani, Bill Clinton na Jimmy Carter, walimpigia debe Biden kuwa mtu mwenye...
  7. MALCOM LUMUMBA

    Kamala Harris ndiye mgombea mwenza wa Joe Biden

    Yametimia, Joe Biden keshachagua mgombea mwenza. Nilikuwa nasoma sehemu kwamba Democrats walishauri achague mgombea mwenza mwanamke tena mweusi: Binafsi nilihisi labda wanatania au wameenda mbali sana lakini yametimia. Hapa inamaanisha kwamba huyu babu Joe Biden mwenye miaka zaidi ya 77 akiwa...
  8. FRANC THE GREAT

    US election 2020: Nani kuwa mgombea mwenza wa Joe Biden kati ya hawa?

    Habari! Mnamo mwezi Machi, Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani Joe Biden aliahidi kumteua mwanamke kuwa mgombea mwenza iwapo atateuliwa na Chama cha Democratic kuwania kiti cha Urais kwenye uchaguzi ujao wa mwezi Novemba hapo baadaye mwaka huu. Kwa yule asiyefahamu, Joe Biden hivi sasa ndiye...
  9. sky soldier

    Mpinzani wa Trump, Joe Biden asema Wamarekani Milioni 120 Corona imewaua

    Ni dhahiri kabisa mzee huyu hatamweza Trump, yupo serikalini kwa zaidi ya miaka 50 lakini hana idea kabisa na current events, sio mara ya kwanza na ni wazi kabisa ana ugonjwa wa kumbukumbu ikiambatana na kuwa na hasira za karibu. hata hivyo vyombo vinavyoongoza kwa kumtungia trump habari mbaya...
  10. FRANC THE GREAT

    US election 2020: Joe Biden, kinara katika kura za maoni. Trump, hali ni tete!

    Habari! Hali si hali kwa rais Donald Trump, wapenzi na wafuasi wa Chama cha Republican kwa ujumla wakati ambapo tukielekea katika Uchaguzi wa Rais panapo mwezi Novemba mwaka huu. Hii ni kulingana na matokeo ya hivi karibuni ya kura mpya za maoni za kitaifa za jarida la New York Times pamoja na...
  11. FRANC THE GREAT

    Hizi kauli za Joe Biden kuelekea uchaguzi wa Novemba zinaashiria kitu gani?

    Habari! Awali ya yote, natumai mu wazima wa afya. Nimemsikia Joe Biden akisema kuwa ana wasiwasi kwamba rais Donald Trump "atajaribu kufanya wizi" katika uchaguzi ujao wa rais wa mwezi Novemba mwaka huu. Joe Biden hakuishia hapo tu bali amedai kuwa anaamini Jeshi litalazimika kumuondoa kwa...
  12. Analogia Malenga

    Colin Powell: Donald Trump ni muongo nitampigia kura Joe Biden

    Colin Powell ni mwana-Republican aliyekuwa katibu mkuu, enzi za utawala wa George W. Bush. Amesema Donald Trump ni muongo hivyo atampigia kura mgombea wa Democrat, Joe Biden Amefikia uamuzi huo baada ya Donald Trump kutishia kutumia jeshi kuwasambaratisha waandamanaji wanaopinga ubaguzi wa...
  13. FRANC THE GREAT

    Joe Biden ashinda rasmi uteuzi wa Chama cha Democratic kugombea nafasi ya urais nchini Marekani

    Joe Biden ameshinda rasmi uteuzi wa Chama cha Democratic kumkabili rais Donald Trump katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais utakaofanyika panapo mwezi Novemba mwaka huu. Biden amesema katika ukurasa wake wa Twitter kwamba amefanikisha kujikusanyia wajumbe 1,991 wanaohitajika ili kupitishwa...
Back
Top Bottom