joe biden

Joseph Robinette Biden Jr. (; born November 20, 1942) is an American politician who served as the 47th vice president of the United States from 2009 to 2017 and represented Delaware in the U.S. Senate from 1973 to 2009. A member of the Democratic Party, Biden is the Democratic nominee for president in the 2020 election. He unsuccessfully sought the Democratic presidential nomination in 1988 and in 2008.
Biden was raised in Scranton, Pennsylvania, and New Castle County, Delaware. He studied at the University of Delaware before receiving his law degree from Syracuse University. He became a lawyer in 1969 and was elected to the New Castle County Council in 1970. He was elected to the U.S. Senate from Delaware in 1972 when he became the sixth-youngest senator in American history. Biden was reelected six times and was the fourth-most senior senator when he resigned to assume the vice presidency in 2009.As a senator, Biden was a longtime member and eventually chairman of the Foreign Relations Committee. He opposed the Gulf War in 1991 but advocated for U.S. and NATO intervention in the Bosnian War in 1994 and 1995, expanding NATO in the 1990s, and the 1999 bombing of Serbia during the Kosovo War. He argued and voted for the resolution authorizing the Iraq War in 2002 but opposed the surge of U.S. troops in 2007. He has also served as chairman of the Senate Judiciary Committee, dealing with issues related to drug policy, crime prevention, and civil liberties, as well as the contentious U.S. Supreme Court nominations of Robert Bork and Clarence Thomas. Biden led the efforts to pass the Violent Crime Control and Law Enforcement Act and the Violence Against Women Act.
In 2008, Biden was the running mate of Democratic presidential nominee Barack Obama. As vice president, he oversaw infrastructure spending to counteract the Great Recession and helped formulate U.S. policy toward Iraq through the withdrawal of U.S. troops in 2011. His negotiations with congressional Republicans helped the Obama administration pass legislation including the Tax Relief, Unemployment Insurance Reauthorization, and Job Creation Act of 2010, which resolved a taxation deadlock; the Budget Control Act of 2011, which resolved that year's debt ceiling crisis; and the American Taxpayer Relief Act of 2012, which addressed the impending fiscal cliff. Obama and Biden were reelected in 2012.
In October 2015, after months of speculation, Biden announced he would not seek the presidency in the 2016 election. In January 2017, Obama awarded Biden the Presidential Medal of Freedom with distinction. After completing his second term as vice president, Biden joined the faculty of the University of Pennsylvania, where he was named the Benjamin Franklin Professor of Presidential Practice. He announced his 2020 candidacy for president on April 25, 2019, joining a large field of Democratic candidates pursuing the party nomination. Throughout 2019, he was widely regarded as the party's frontrunner. After briefly falling behind Bernie Sanders after poor showings in the first three state contests, Biden won the South Carolina primary decisively, and several center-left candidates dropped out of the race and endorsed him before Super Tuesday. Biden went on to win 18 of the next 26 contests. With the suspension of Sanders's campaign on April 8, 2020, Biden became the Democratic Party's presumptive nominee for the presidential election.

View More On Wikipedia.org
  1. Miss Zomboko

    Marekani: Umaarufu wa Biden washuka baada ya Mji wa Kabul kutekwa na Taliban

    Umaarufu wa rais wa Marekani Joe Biden umepungua kwa asilimia saba na kufikia kiwango chake cha chini baada ya Taliban kuchukua udhibiti wa Afghanistan, kulingana na uchunguzi wa Shirika la Habari la Reuters / Ipsos. Baada ya mahojiano yaliyofanywa na raia kadhaa wa Marekani siku ya Jumatatu...
  2. Abdul Nondo

    Fahamu Mgogoro wa Taliban na Afghanistan

    Fahamu kundi la Taliban nchini Afghanistan , Mapambano yao dhidi ya Serikali ya Afghanstan na sababu Marekani kupeleka na kutoa Majeshi yake nchini humo. Abdul Nondo, Watu wengi wanapata kujiuliza kuhusu hawa Taliban,ni watu gani ,ni kundi gani,waliibuka vipi ,kwanini wanapigana ,wanataka nini...
  3. beth

    Familia za wahanga wa 9/11 wataka Rais Biden aweke wazi mafaili kuhusu mashambulizi

    Wanafamilia wa wahanga wa mashambulio ya kigaidi yaliyotokea Septemba 11, 2001 wamemtaka Rais Joe Biden kutoshiriki hafla za kuwakumbuka ikiwa hataweka wazi mafaili ya tukio hilo Takriban watu 1,800 ambao waamini nyaraka hizo zinawahusisha Maafisa kutoka Saudi Arabia wamesaini barua wakitaka...
  4. beth

    Marekani: Utawala wa Rais Joe Biden kuendeleza Sera ya kudhibiti wahamiaji

    Utawala wa Rais Joe Biden umesema utaongeza muda wa Sera ya "Title 42" iliyokuwepo katika Utawala wa Donald Trump, ambayo inaruhusu Marekani kufukuza wahamiaji wasio na Hati. Uamuzi huo unakuja wakati Wahamiaji wakiendelea kumiminika katika Mpaka wa Marekani ikielezwa 210,000 waliripotiwa mwezi...
  5. Z

    #COVID19 Marekani: Rais Biden ataka kutolewa Dola 100 kwa kila atakayepata chanjo ya COVID-19

    Biden kutoa dola 100 kwa kila atakapigwa chanjo ya COVID-19 100x2399= 239,900 hii ni kweli? ==== Rais wa Marekani Joe Biden amesema kila mwananchi atakaekubali kupigwa chanjo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 atalipwa dola 100. Marekani ni nchi yenye chanjo za kutosha, na idadi kubwa ya watu...
  6. M

    Marekani: Aliyetumbuliwa na Rais agoma na kudai ataendelea na kazi Jumatatu, mama Kijakazi ateuliwa kuchukua nafasi yake

    Mheshimiwa Rais Joseph Biden wa Marekani amemteua Bibi Kilolo Kijakazi kuwa Kaimu Kamishna wa Shirika la Hifadhi ya Jamii, Social Security Administration. Uteuzi wa Mama Kijakazi unafuatia kufukuzwa kazi kwa aliyekuwa anashikilia nafasi hiyo Bwana Andrew Saul ambae alikataa kujiuzulu mwenyewe...
  7. B

    Rais Joe Biden ashauriwa na Daktari Bingwa wa Marais kuonesha vielelezo vya Afya Njema

    Hii ni kufuatia wananchi kuonesha shaka kuhusu afya ya Rais wao aliyepo madarakani kuonesha ana changamoto kubwa ya kumbukumbu. Na sasa pia daktari bingwa Ronny Jackson aliyewahi kuwa daktari binafsi wa marais Barack Obama na Donald Trump walipokuwa madarakani, kuona ni muhimu Rais Joe Biden...
  8. B

    Mbwa wa Rais Joe Biden amng'ata mlinzi wake

    Champ na Major ambao ni mbwa wa Rais Joe Biden, wamehamishwa kutoka White House na kupelekwa Delaware kwenye makazi binafsi ya Joe Biden. Hii ni baada ya mbwa mmoja (Major) kumng'ata afisa wa CIA ambaye anamlinda Rais Biden. The two German Shepherds belonging to President Joe Biden and first...
  9. Analogia Malenga

    Joe Biden aondoa vikwazo vya Viza ya bahati nasibu kwa Watanzania

    Siku moja baada ya kuapishwa Joe Biden aondoa Visa Ban iliyowekwa kwa Tanzania. https://www.whitehouse.gov/briefing-room/presidential-actions/2021/01/20/proclamation-ending-discriminatory-bans-on-entry-to-the-united-states/ ==== Januari 30, 2020 serikali ya Donald Trump ilitangaza kuwawekea...
  10. donlucchese

    Tukutane hapa tunaosubiri United States Presidential Inauguration!

    Yes wakuu, Muda si mrefu POTUS anachukua kiti chake kimya. Maeneo ya Capitol building naona ulinzi umeimalishwa hatari, naona jet fighters za SANDF na SAA zinapita pita flani kuhakikisha ulinzi. Sijui inaugural ball itakua leo Leo ama?
  11. Analogia Malenga

    Marekani: Joe Biden aahidi kuirejesha demokrasia

    Rais mteule wa Marekani, Joe Biden anayetajai kuapishwa Januari 20, ameandika kuwa miaka minne ijayo ni miaka ya kuirejesha demokrasia. Ametaja kutakuwa na upya wa siasa ambayo itakuwa inatatua matatizo ya watu na sio kuibua hisia za chuki na ghasia. Aidha ameweka suala la utawala wa sheria...
  12. M

    Tanzania Tujiandae na Utawala wa Joe Biden (Democrat)

    Kwa kipindi cha miaka minne chini ya rais Donald Trump pamoja na Republican party, viongozi wengi wa nchi zinazoendelea hasa madikteta, wameweza kuendeleza ukatili wao pamoja na ukiukaji wa haki za binadamu bila wasi wasi kwani Rais Trump pamoja na Chama Chake waliligeuzia mgongo haya mataifa na...
  13. The Palm Tree

    Ni ajabu! Account za FB, Instagram na Twitter za Rais Donald Trump wa U.S.A zafungwa kwa muda usiojulikana

    Sasa ni wazi kabisa Urais wa Donald Trump unaisha kwa aibu na fedheha kubwa. Kitendo cha kuhamasisha wafuasi wake jana kuvamia jengo la Bunge la Congress (Capitol Hill) ili kuzuia bunge lisifanye kazi yake kumwidhinisha Rais Mteule Joe Biden (D) na makamu wake Kamala Harris ilikuwa ni ishara ya...
  14. Sam Gidori

    Bunge la Marekani lamthibitisha Joe Biden kuwa Rais wa Marekani

    Baada ya kikao kilichochukua muda mrefu, hatimaye Bunge la Congress limemthibitisha Joe Biden kuwa Rais wa Marekani na Kamala Harris kuwa Makamu wa Rais kwa muhula unaotarajiwa kuanza rasmi Januari 20, 2021 kwa kura 306 dhidi ya Donald Trump aliyepata kura 232. Hatua hii inaashiria kukamilika...
  15. Barbarosa

    Joe Biden ashukuru ,,thanks for voting '' !

  16. Miss Zomboko

    Donald Trump aridhia kuanza kwa mchakato wa kumkabidhi madaraka Joe Biden

    Donald Trump ametangaza mapema Jumatatu jioni, Novemba 24, kwamba ameridhia ufunguzi wa mchakato wa kumkabidhi madaraka mrithi wake Joe Biden kutoka chama cha Democratic, zaidi ya wiki mbili baada ya kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais. Idara ya serikali ya Marekani inayoratibu shughuli ya...
  17. U

    Rais Mteule wa Taifa la Marekani Joe Biden leo Ijumaa ametimiza umri wa Miaka 78 ya kuzaliwa kwake

    Happy birthday to him Happy anniversary to the family Kwa niaba ya Makada wote Wazalendo Nchini Tanzania Namtakia kila la kheri Rais Mteule anaposherehekea siku yake muhimu ya kuzaliwa Tunampongeza pia kwa ushindi wa kishindo
  18. E

    Hotuba ya Joe Biden mara baada ya kuchaguliwa kuwa Rais wa 46 wa Marekani

    Habari za leo wana JamiiForums, Natumai muwazima wa afya njema. Leo nilikua naangalia hotuba ya Rais wa U. S aliyechaguliwa bwana Joe Biden. Kwakweli ukimsikiliza kwa umakini Joe Baden unaweza mfananisha na Obama kwa jinsi anavyo hutubia. Mimi nadhani tutarajie yale aliyoyafanya Obama ndio...
  19. Stephano Mgendanyi

    Hotuba ya Rais mpya wa Marekani Joe Biden baada ya ushindi kwa Kiingereza na Kiswahili (Biden-Harris)

    HOTUBA YA JOE BIDEN BAADA YA USHINDI My fellow Americans, the people of this nation have spoken. They have delivered us a clear victory. A convincing victory. A victory for “We the People.” We have won with the most votes ever cast for a presidential ticket in the history of this nation -- 74...
  20. James Martin

    Joe Biden akichaguliwa anaweza kusaidia kuleta mageuzi ya kisiasa Tanzania baada ya "uchaguzi"

    Tofauti na Donald Trump Joe Biden anaamini kuwa Marekani inatakiwa kuhamasisha dunia kwenye mambo mbalimbali ikiwepo mambo ya mazingira na demokrasia. Baada ya huu "uchaguzi" nategemea "rais" atajaribu kuwarubuni wapinzani kwa kuwapa ajira ili wahamie CCM. Hiyo itakuwa ni propaganda kuwa yeye...
Back
Top Bottom