joe biden

Joseph Robinette Biden Jr. (; born November 20, 1942) is an American politician who served as the 47th vice president of the United States from 2009 to 2017 and represented Delaware in the U.S. Senate from 1973 to 2009. A member of the Democratic Party, Biden is the Democratic nominee for president in the 2020 election. He unsuccessfully sought the Democratic presidential nomination in 1988 and in 2008.
Biden was raised in Scranton, Pennsylvania, and New Castle County, Delaware. He studied at the University of Delaware before receiving his law degree from Syracuse University. He became a lawyer in 1969 and was elected to the New Castle County Council in 1970. He was elected to the U.S. Senate from Delaware in 1972 when he became the sixth-youngest senator in American history. Biden was reelected six times and was the fourth-most senior senator when he resigned to assume the vice presidency in 2009.As a senator, Biden was a longtime member and eventually chairman of the Foreign Relations Committee. He opposed the Gulf War in 1991 but advocated for U.S. and NATO intervention in the Bosnian War in 1994 and 1995, expanding NATO in the 1990s, and the 1999 bombing of Serbia during the Kosovo War. He argued and voted for the resolution authorizing the Iraq War in 2002 but opposed the surge of U.S. troops in 2007. He has also served as chairman of the Senate Judiciary Committee, dealing with issues related to drug policy, crime prevention, and civil liberties, as well as the contentious U.S. Supreme Court nominations of Robert Bork and Clarence Thomas. Biden led the efforts to pass the Violent Crime Control and Law Enforcement Act and the Violence Against Women Act.
In 2008, Biden was the running mate of Democratic presidential nominee Barack Obama. As vice president, he oversaw infrastructure spending to counteract the Great Recession and helped formulate U.S. policy toward Iraq through the withdrawal of U.S. troops in 2011. His negotiations with congressional Republicans helped the Obama administration pass legislation including the Tax Relief, Unemployment Insurance Reauthorization, and Job Creation Act of 2010, which resolved a taxation deadlock; the Budget Control Act of 2011, which resolved that year's debt ceiling crisis; and the American Taxpayer Relief Act of 2012, which addressed the impending fiscal cliff. Obama and Biden were reelected in 2012.
In October 2015, after months of speculation, Biden announced he would not seek the presidency in the 2016 election. In January 2017, Obama awarded Biden the Presidential Medal of Freedom with distinction. After completing his second term as vice president, Biden joined the faculty of the University of Pennsylvania, where he was named the Benjamin Franklin Professor of Presidential Practice. He announced his 2020 candidacy for president on April 25, 2019, joining a large field of Democratic candidates pursuing the party nomination. Throughout 2019, he was widely regarded as the party's frontrunner. After briefly falling behind Bernie Sanders after poor showings in the first three state contests, Biden won the South Carolina primary decisively, and several center-left candidates dropped out of the race and endorsed him before Super Tuesday. Biden went on to win 18 of the next 26 contests. With the suspension of Sanders's campaign on April 8, 2020, Biden became the Democratic Party's presumptive nominee for the presidential election.

View More On Wikipedia.org
  1. Replica

    Joe Biden amuunga mkono Kamala Harris kuwania Urais, Marekani kupata Rais wa kwanza mwanamke?

    Hesabu za kisiasa zimechezwa na Rais aliyetakiwa kutetea kiti chake amejiengua na badala yake amemuunga mkono makamu wake, Kamala Harris kuchukua nafasi yake ya kuwania kiti cha Urais kupitia chama cha Democrats! Atatoboa kwenye chama? Atauweza mfupa uliomshinda Hillary Clinton? Pia, soma=>...
  2. Ritz

    Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024

    Wanaukumbi. MAREKANI: Rais Joe Biden ametangaza kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kuwania Urais kwa awamu ya pili Kwa hatua hiyo, Chama cha Democrats kitatakiwa kuchagua Mgombea mwingine. ===== Rais wa Marekani Joe Biden ametangaza kuwa hatagombea tena urais, akisema "ni kwa manufaa ya...
  3. Escobber pablo

    Joe Biden akutwa UVIKO-19

    Rais wa Marekani, Joe Biden (81) yuko karantini kwa muda baada ya kupimwa na kugundulika kuwa na ugonjwa wa UVIKO-19, kwa mujibu wa taarifa kutoka Ikulu ya Marekani, White House. Ugonjwa huo unakuja wakati ambao Biden anakabiliwa na shinikizo kubwa la kujiondoa kwenye kinyang'anyiro cha urais...
  4. Nigrastratatract nerve

    Lissu ajifunze kwa Trump. Pamoja na tofauti za kisiasa na Biden, hajamnyooshea kidole

    Tundu Lissu aliposhambuliwa na blankons alitoka kifua mbele akailaani Sserikali akamlaani Hayati Magufuli bila kujua kuwa waliojifanya kuwa karibu naye ndio waliratibu hayo mashambulizi ya Blancons lkn Trump kashambuliwa hajailaumu Serikali wala hajamlaumu Biden. Hili ni fundisho kwa Lissu na...
  5. Davidmmarista

    Je, haya yanayozungumzwa kuwa Joe Biden si mwanadamu ni kweli?

    Kumekuwa na tetesi kuwa Biden si mwanadamu kwani ameonekana mara kwa mara akifanya vitu kiroboti na pia network zake zimeonekana hazipo vizuri je haya yote ni ya kweli au uzushi tu.
  6. Yoda

    Mashabaki na wafuasi wa Urusi wanazidi kushuhudia uongo wao wa kupendwa na raia wengi Ulaya

    Mojawapo ya mafunzo makubwa kabisa katika chaguzi za karibuni za Ulaya ni kwamba kwa raia wengi wa bara hilo Urusi bado sio nchi muhimu kwao na haina uwezo wa kushawishi kupendwa ndani ya nchi nyingi za Ulaya kama viongozi wake walevi na mashabiki wake wengi walivyokuwa wanajiaminisha. Wakati...
  7. W

    Baadhi ya Makada wa Chama cha Democrats wataka Biden Asigombee Urais

    Mtandao wa CNN umeripoti kuwa Baadhi ya Makada wa chama cha Democrats wametaka Rais Joe Biden ajiondoe kama mgombea wa Urais wa chama hicho Wanachama hao wameonesha kutokuwa na imani nae baada ya kushindwa kutetea hoja zake kuonesha hali ya kusita na sauti kukwama mara kwa mara na kushindwa...
  8. Cute Wife

    Joe Biden ajichanganya, asema anajivunia kuwa mwanamke mweusi

    Joe Bide mwenye umri wa miaka 81, alijikanyaga wakati wa mahojiano jana 4/7/2024 Alhamisi na WURD ya Philadelphia, akionekana kujichanganya na Makamu wake Kamala Harris. '.... hata hivyo, ninajivunia kuwa, kama nilivyosema, makamu wa kwanza wa rais, mwanamke wa kwanza mweusi ... kuhudumu na...
  9. Observer

    2024 USA Presidential Debate: Joe Biden avaana na Donald Trump kwenye mdahalo wa kwanza kabla ya uchaguzi November 2024

    Wanabodi, Leo kutakuwa na mdahalo wa kwanza kuelekea uchaguzi mkuu wa Marekani, November 2024. Mdahalo huu utawahusisha mgombea wa urais kwa ticket ya Democrat, rais Joe Biden na mpinzani wake Donald Trump kutokea chama cha Republican Mdahalo huu unatabiliwa kuwa wa moto kutokana na mambo...
  10. GENTAMYCINE

    Rais wa Marekani Joe Biden, ameiteua rasmi Kenya kuwa mshirika mkuu wa taifa hilo asiye mwananchama wa NATO

    Rais wa Marekani Joe Biden, ameiteua rasmi Kenya kuwa mshirika mkuu wa taifa hilo asiye mwananchama wa NATO. Hatua hii ina maana kwamba licha ya Kenya kutokuwa katika sehemu ya Jumuiya ya Kujihami ya NATO, ina ushirikiano wa kina wa kimkakati na usalama na Marekani. Uteuzi huo unafanyika wiki...
  11. Tlaatlaah

    Ni Rais Joe Biden au Donald Trump kumnyong'onyeza mwenzake kwenye mdahalo wa kwanza kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Marekani Novemba 2024?

    Alhamisi ijayo June,27 dunia itashuhudia miamba ya siasa za Marekani ikifanya mdahalo wa kwanza wa wazi kuelekea Uchaguzi mkuu mwezi November mwaka huu 2024. Wakati Rais Joe Biden, mwenye umri wa miaka 81, akikita kambi yake ya siri ya maandalizi ya kujifua na mdahalo huo muhimu huko Camp...
  12. B

    Joe Biden anaposhutumiwa kuwaunga mkono HAMAS, nani yuko salama?

    1. Marekani haijawahi kuwa na rais pro Israel kuliko bwana Joe Biden aliyeko madarakani sasa. 2. Yupo kwenye rekodi Joe Biden akisema commitment yake kwa Israel ni unconditional, iron clad na vya namna hiyo; kuwa atasimama nao hata iweje! 3. Kwamba hapo #3 atakuwa nao hata wamtie vidole...
  13. T

    Rais Joe Biden: Ndoa yangu umejengwa kwenye ' Good Sex'

    Rais Biden wa Marekani anasema msingi wa ndoa yake ni mapenzi motomoto na mkewe, good sex. Biden anasema huwashauri wasaidizi wake wasiache kufanya mapenzi kadri wawezavyo. Biden ana miaka 81, kikongwe kabisa lakini bado anapeleka moto ajuza wake, cha ajabu unakuta kijana mdogo wa miaka 20-40...
  14. ward41

    Biden ana uzoefu mkubwa sana wa siasa za Marekani

    Huyu raisi amebahatika kupita kwenye vyeo vyote vikubwa vya maamuzi. Amekuwa senator wa Delaware kuanzia 1972 - 2009. 2009 -2016 makamu wa raisi wa Marekani 2021 - present: Rais wa sasa wa Marekani Biden ana uzoefu mkubwa sana wa siasa za Marekani Apewe hongera
  15. Mhaya

    Joe Biden kwenda Israel kesho

    Rais wa Marekani Joe Biden anatarajiwa kutembelea Israel kesho Jumatano katika kile kilichoripotiwa kuwa ni kuthibitisha kujitolea kwa Marekani kwa usalama wa Israel, hatua hiyo inakuja huku Israel ikipewa wito wa kufungua njia kuruhusu misaada kuingia Gaza. Kwa mujibu wa majasusi nilionao...
  16. K

    Msikilize Rais Joe Biden kuhusu mpango wa Israel 1986

    Wengi tunatazama mgogoro wa Palestine na Israel katika sura ya kidini,ila ukweli ni kua kinavhogombaniwa hapo ni ardhi na pia maslahi ya nchi kama Marekani na wabia wake kwenye kulinda maslahi yao mashariki ya Kati. Ukienda kidini, wakrsito wengi wanasapoti Israel wakifikiri ndio mzizi na...
  17. JanguKamaJangu

    Rais Biden asema Trump ni tishio kwa Demokrasia

    Rais wa Marekani, Joe Biden, amezidisha mashambulizi yake dhidi ya rais wa zamani Donald Trump, Alhamisi, katika hotuba kali ambayo amewahi kutoa hadi sasa, kwamba rais huyo wa zamani na mgombea anaeongoza katika chama cha Republikan, ni kitishio kwa desturi na taasisi za kidemokrasia za nchi...
  18. Webabu

    Ni lazima sasa Ukraine iipige Urusi ndani kabisa-Biden

    Hapo juzi waziri wa mambo ya nje wa Urusi ,Lavrov akiwa New York alikumbusha kwa masikitiko mengi kuwa Marekani wakisaidiwa na Uiengereza sasa hivi wako vitani rasmi na taifa lake la Urusi. Kauli yake hiyo inazidi kuungwa mkono na misimamo ya Marekni pamoja na matamshi yao ambapo Rais Biden...
  19. HERY HERNHO

    Rais wa Marekani, Joe Biden ajikwaa na kuanguka katika hafla ya Colorado

    Rais wa Marekani Joe Biden amejikwaa na kuanguka alipokuwa akikabidhi cheti cha diploma katika sherehe ya kuhitimu kwa Chuo cha Jeshi la Wanahewa la Marekani huko Colorado. Biden, ambaye ndiye Rais mkongwe zaidi wa taifa hilo anayehudumu akiwa na umri wa miaka 80, alisaidiwa kusimama na...
  20. jastertz

    Hoja ya umri inaweza kuwa kikwazo kwa kampeni ya Joe Biden?

    Msemo unasema, muda haumngoji mtu, na kwa Joe Biden mwenye umri wa miaka 80, hilo linaweza kuwa tatizo. Je, rais wa Marekani anaweza kuwashawishi wapiga kura kwamba umri wake si hoja? Bw Biden alitangaza Jumanne kwamba anataka kuhudumu kwa miaka mingine minne katika Ikulu ya White House...
Back
Top Bottom