JULIUS NYERERE, JULIUS CAESAR, SAHIB NA VITABU VIJAVYO VYA SHEIKH PONDA
Kuna rafiki yangu kaniambia kuwa wakati alipokuwa anafanyakazi katika shirika moja kubwa la kimataifa linaloshughulika na Afrika ndipo alipomjua Mwalimu Nyerere vizuri sana.
Anasema hakuna kilichokuwa kinampita...
At the invitation of the President, Mr. Fletcher-Cooke, special representative of the Administering
Authority for the Trust Territory of Tanganyika, Marealle II, Paramount Chief of the Chaggas, and Mr. Julius K. Nyerere, President of the Tanganyika African National Union, took places...
KISA CHA YUSUF ATHUMANI MARSHA, PETER MBWIMBO NA JULIUS NYERERE MWANZA 1950s
Tuanze na Peter Mbwimbo.
Peter Mbwimbo ameandika kitabu, ''Peter D. M. Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere.''
Wakati TANU inaundwa na harakati za kupigania uhuru wa Tanganyika zinaanza Peter Mbwimbo alikuwa katika...
4 Land Surveyors
Morogoro, Dar es Salaam
JVACEE, Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP)
In joint venture with The Arab Contractors of Egypt (Osman A. Osman & Co.), ELSEWEDY ELECTRIC is entrusted by the people and government of Tanzania to execute, The Julius Nyerere Hydropower Project.
JOB...
BIOGRAPHY YA BABA WA TAIFA MWALIMU JULIUS KAMBARAGE NYERERE
Ndugu zangu nimepokea ujumbe huo hapo chini:
"Jana nilihudhuria Seminar juu ya Biography ya Mwalimu Nyerere pale Council Chamber Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam.
Jina lako limetajwa miongoni mwa waliotoa mchango mkubwa wakati wa...
J-V-A-C-E-E, Julius Nyerere Hydro Power Project (JNHPP) is Urgently Looking for the Following Candidates to fill the available below Positions :-
Motor Grader Operator — 22 positions
Excavator Operator — 26 Positions
Soil Compactor Operator — 10 Positions
Soil Reclaimer Operator — 06...
Mwalimu Nyerere hakupenda rushwa na Watanzania wengi hawapendi rushwa japo kuna taasisi za serikali zimeendekeza rushwa.
Kwa kuwa JF ipo kwa ajili ya mawazo huru, naomba kwa uhuru wa mawazo yetu kwa uzoefu wa kila mtu tuzijadiri taasisi zetu kwa point mbili.
Moja unadhani ni taasisi ama...
Mkuu wa nchi ambae ndio ndio custodian wa mali za taifa la watanzania kudai kuwa hawezi kufokea mtumishi wa umma ni kushangaza umma wa watanzania.
Kwamba watumishi wa umma wakiharibu atawabembeleza?
Nimekaa na wazee wengi waliofanya kazi na hayati Julius Nyerere wanasema wazi kuwa Mwalimu...
KURASA DARASA TBC1: UCHAMBUZI WA MAGAZETI, MAJARIDA KATIKA HISTORIA YA TANGANYIKA
Leo nilikuwa na matembezi ndani ya mitaa na vichochoro vya Maktaba nikimzungusha Mtangazaji wa kipindi cha ''Kurasa Darasa,'' Bi. Maureen Minanago.
Bi. Maureen alitaka kujua sababu za mimi kuhifadhi baadhi ya...
Nimesafiri kwa ndege kwa kutumia uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kwa kupitia terminal two.
Wakati nikisubiri kuingia kwa ajili ya safari nilibanwa na nikabidi niende msalani. Nilichokikuta pale kwenye vyoo vya nje terminal two sikuamini macho yangu.
Kwa kweli vyoo ni vichafu na...
Wakuu Mama Amesema Hakuna Kupoa Wala Kutulia Chini.
.
Rais Samia Kesho Jumatano atafungua ujenzi wa Chuo cha Uongozi cha Julius Nyerere kilichopo Kibaha mkoani Pwani.
.
Viongozi mbalimbali wa chama tawala na Serikali wameshiriki Ufunguzi huo, wakiwemo viongozi mbalimbali wa vyama vya ANC (Afrika...
A giant of the African independence struggle, he retained his worldwide moral authority even after his vision of rural socialism faltered
Thu 14 Oct 1999 21.02 EDT
In his heyday as president of Tanzania - which he ruled from 1961 to 1985 - Julius Nyerere, who has died from leukaemia aged 77...
ABDULKARIM HAJJ MUSSA, MWINYI MCHENI OMARI NA JULIUS NYERERE KATIKA KUIJENGA TANU KILWA
Abdulkarim Hajj Mussa Jamadar akifahamiana vyema na Julius Nyerere.
Abdulkarim Hajj Mussa Jamadar na Mwinyi Mcheni Omar ni kati ya ya watu waliomuunga mkono Nyerere na kasaidia sana katika kuiingiza TANU...
Mbunge wa Jimbo la Mkuranga, ambaye pia ni Waziri wa mifugo na uvuvi, Abdallah Ulega ametoa rai kwa jamii kuuendeleza mchezo wa bao ili kumuenzi Muasisi wake, Baba wa Taifa ,Hayati, Mwl.Julius Kambarage Nyerere aliyefariki dunia 14,oktoba 1999.
Akimkaribisha mgeni rasmi katika fainali ya...
ABDULWAHID KLEIST SYKES ANAMKABIDHI JULIUS KAMBARAGE NYERERE CHAMA CHA TANU 1954
''Chama cha TANU kama vuguvugu la siasa kilikuwa katika fikra za Abdulwahid kwa miaka mingi na alijitahidi sana kufanya bidii kuona kuwa TANU inaundwa.
Chama ambacho kitawaunganisha wananchi wote bila ya kujali...
UCHAGUZI WA RAIS WA TAA: ABDUL SYKES NA JULIUS NYERERE UKUMBI WA ARNAUTOGLO 1953
Kumekuwa na mwamko mpya wa kutaka kuijua historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.
Wadau wengine wa historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika wamenitembelea kwa nia ya kujua vipi Julius Nyerere alichaguliwa kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.