jumla

  1. cantona55

    Fursa ya kuuza magazeti kwa kilo

    ......
  2. Corticopontine

    USA: COVID-19 Update 3/3/2020; Jumla ya wagonjwa 272,998, maambukizi mapya 28048, waliokufa Leo +934 Jumla ya Vifo 7004

    Kwa tathmini ya Taifa kubwa LA Marekani lililoelemewa na CORONA Sisi mataifa machanga tunahitaji maombi ya mwenyezi Mung u Nawapa pole Sana Binadamu wenzangu Wamarekani nawaombeni sasa binadamu wenzetu mjifunze kuwa adui yetu si sisi kwa sisi binadamu adui yetu ni yule asiyeonekana Marekani...
  3. Johnyy

    Natafuta masoko ya jumla

    Hlw wana jf, natanguliza shukrani kwa mwenyezi Mungu kwa nafasi ya uhai, mimi ni kijana mkulima wa papai za kisasa mbegu ya karina na malkia miche 400 shamba lipo Tanita Kibaha. Kwa mawasiliano waweza nichek Whatsapp au kunipigia kwa namba 0686301689 mbarikiwe sana
  4. Premij canoon

    Nina milioni 20. Nahitaji kufanya biashara ya spare za pikipiki kwa jumla na rejareja

    Salaam wanajukwaa, Pole na mitikasi na mihangaiko ya kila siku, natumai sote ni wazima wa afya njema. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, katika uhangaikaji nimefanikiwa kufikisha kiasi cha milioni ishirini (20,000,000), nahitaji kufanya biashara ya spare za pikipiki kwa jumla na reja reja...
  5. Pilato2006

    Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

    Wana JF, nataka kufanya kilimo cha mapapai ila nahitaji mbegu za muda mfupi kuzaa ili nianze kuvuna mapema. Naomba msaada wa yafuatayo 1 Wapi nitapata mbegu fupi za muda mfupi kuanza kuzaa? 2. Nikitaka kupanda spacing iwe kiasi gani toka mche hadi mche? Asanteni sana hii ni katika kuhangaika...
  6. Cleverman324

    Natafuta wanunuzi wa jumla wa ream paper

    Wadau natafuta wanunuzi wa ream paper mond 1 kwa jumla bei ni 42000 per carton. Ninauza ream paper mond 1 kwa bei ya jumla..mawasiliano 0787699766.
  7. SaidMuhama

    Natafuta wauzaji wa mchele wa jumla

    Natafuta wauzaji wa mchele wa jumla kati ya Mbeya, Ifakara. Tuwasiliane kupitia +255 625 490 405.
  8. B

    Naturals Butters and Oils

    Raw Shea Butter, African Black Soap, Cocoa butter, Mango butter etc ( jumla na rejareja) karibuni. WhatsApp 0752555223
  9. Miss Zomboko

    Wanafunzi wa kidato cha 4 waanza mtihani wa taifa leo ukiwa na jumla ya watahiniwa 485,866 nchi nzima

    Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne umeanza kufanyika leo nchi nzima huku kukiwa na jumla ya watahiniwa 485,866 waliosajiliwa kufanya mtihani huo kwa mwaka 2019 na kati yao wa shule ni 433,052 na 52,814 wa kujitegemea Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), Dk Charles Msonde...
Back
Top Bottom