MATOKEO RASMI YA JUMLA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Idadi ya wapiga kura waliojiandikisha ni 29,759,699
Wapiga kura waliojitokeza Kura ni 15,910,950
Idadi ya kura halali ni 14,830,195
Idadi ya Kura zilizokataliwa ni 261,755
Kura Walizopata Wagombea
Dkt John Pombe Magufuli wa...
Wana JF,
Maadam JF ni ukumbi wetu, na sisi humu JF, tuko members wengi, na tumefanya mengi, hivyo mimi member mwenzenu Pascal Mayalla, naomba niwe wa kwanza, kuwajulisha wana JF wenzangu, ili kuwapa ile JF advantage ya wewe kama Mwana JF, be the first to know kuwa CCM ndio inakwenda kushinda...
Wapendwa,.
Naombeni kwa zinapopatikana hair dryer za mkono kwa bei ya jumla.
Nataka kwa hapahapa Dar na si mpaka niweke order kutoka China.
Kwa mwenye kufahamu.naomba anielekeze.
Kenya imetangaza watu 4 zaidi kufariki kutokana na CoronaVirus na kufanya idadi ya vifo kufikia 487
Aidha watu 271 wamethibitishwa kuwa na maambukizi ya CoronaVirus kutoka kwa sampuli 4,019 na kufanya nchi hiyo kuwa na jumla ya 30,636 waliothibitika kuwa na maambukizi
Katika waliothibitika...
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ( NEC) mh Jaji Kaijage amesema baada ya kuhakiki daftari na kuondoa majina yanayojirudia sasa wamebakia wapiga kura 29,188,347
Source East africa radio
My take; Kumbe nyomi ya Tundu Lisu si chochote si lolote.
Maendeleo hayana vyama!
======
Daftari la wapiga...
Habari ndugu zangu, nauza duka langu lililopo Tandika double kibin sokoni, duka ni la vyakula na vitu mbali mbali mfano sukari, ngano, mafuta, sabuni na nk lenye mtaji wa sh 20,000,000.
Biashara Ni nzuri Sana na ofisi ni nzuri ila mimi nahama makazi; nahamisha familia namfuata mume wangu...
Babari ndugu zangu,nauza duka langu lililopo tandika dable kibin sokoni,duka Ni la vyakula na vitu mbali mbali mfano sukar,ngano,mafuta,sabuni na nk lenye mtaji wa sh 20,000,000.
Biashara Ni nzuri Sana na ofisi Ni nzuri ila Mimi nahama makazi; nahamisha familia namfuata mume wangu.
Hutojuta...
1 Dr Mazima
huyu jamaa anaelimu ndogo yaani ni AMO lakini ni mbinafsi na roho ya ujuha sana nilikula laki mbili yake baada ya wapambe wake watatu walio nifata kwa nyakati tofauti na kunigea kitita hicho. Ila tabia zake za kudharau watu, shule ndogo kichwani na ujuha ndo vilisababisha nikaitafuna...
Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wa CCM, ameagiza kwamba kura za maoni za Ubunge, uwakilishi na udiwani zinazoanza leo zihesabiwe hadharani kama ilivyokuwa wakati kuhesabu kura za Wagombea Urais wa Zanzibar.
Serikali ya Kenya imetangaza visa vipya 59 vya maambukizi ya virusi vya corona. Hayo yalisemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini Kenya Dr. Mercy Mwangangi ambapo alifananua kuwa idadi hiyo imepatikana baada ya kupima sampuli 2354 na kupungua kwa idadi ya visa vipya haimaanishi kuwa ugonjwa...
Habari ndugu zangu,
Ninawasalimu kwa jina lake bwana wetu
Nimejaliwa kukusanya shilling 5M kutokana na nilivyokuwa najikusanya kwenye kimshahara changu kwa mwaka sasa,
Naona maisha ya kuajiriwa siyo,
Nikaamua niwaze kuanza uuzaji wa mchele kutoka mbeya au Ifakara,
Nataka niende Jumamosi...
Niaje wakuu.
Naomba kujuzwa kama kuna anae jua pilipili hoho kwenye soko la jumla inauzwaje na kwa kipimo kipi either kwa gunia kwa kilo au kwa kuuza hoho moja moja kama ilivo soko la machungwa ya jumla?
Habari zenu wadau wa jukwaa la biashara.
Mdau mwenzenu nimewaza sana biashara ya kufanya baada ya kudunduliza kwa mda mrefu sana Tsh 10 millions na nikakopa 10 million jumla nna 20 million, nimeona nifanye biashara ya kuuza simu.
Mpango wangu ni huu.
Soko/Frame: Arusha mjini.
Brand: Samsung...
Wizara ya Afya Uganda imetangaza ongezeko la Wagonjwa 21 wote wakiwa raia wa Uganda na wamepatikana baada ya sampuli 1,071 kupimwa katika mipaka ya nchi hiyo
Wagonjwa hao wamepatikana katika mipaka ya Elegu (Visa 17) na Mutukula (Visa 3) na Malaba (Kisa 1). Pia, sampuli 253 za kutoka katika...
Jana, Mei 16, 2020 Uganda imetangaza visa vipya 24 vya COVID19 vimeongezeka na vyote vikiwa ni vya Madereva wa Malori na kufanya jumla ya visa kufikia 227
Wizara imesema jumla ya sampuli 2,598 zimepimwa kati ya hizo; 2,044 ni za Madereva wa malori na 554 ni za Wakazi wa Uganda ambapo zote 554...
Habarini za asubuhi wakuu.
Ni desturi iliyopo kwa baadhi ya makabila na hata wazazi kuwapa wanao majina ya asili ,naweza kuita majina ya kiukoo..
Wale wote wenye majina ya asili naomba mtupe pamoja na Maana ya Hilo jina uliloitwa au ulilompa mtoto wako..japo baadhi huwa yanaleta ukakasii...
Jana nilishangaa kumsikia mtangazaji wa BBC akitangaza Tanzania sasa ina wagonjwa 299 wa Corona.
Nikajiuliza idadi hiyo imefika lini wakati waziri Ummy Mwalimu mara ya mwisho alitutangazia idadi ya wagonjwa 284 kama sikosei. Msamaria mwema akaniambia idadi ya wagonjwa 299 imeinclude wagonjwa...
Habari wana JF.
Leo nilikuwa kwenye daladala asubuhi nikasikia mama mmoja analalamika kuwa mwanae amesajiliwa kama private candidate kwenye mtihani wa form six. Sababu anasema kuwa mwanaye hajafikisha points 25 kwa matokeo yake ya form four pamoja na kurisiti, kurisiti, yaani ukichukua jumla...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.