jumla

  1. v0il0r

    INAUZWA Asali ya jumla inauzwa

    .
  2. S

    INAUZWA Tunauza Samaki Sato kwa bei ya jumla, karibu kwa order

    Tunauza samaki aina ya sato kutokea Ziwa Victoria.. Usafiri kutoka Mwanza hadi Dar juu yetu. Tunauza kwa bei ya jumla tu, kuanzia kilo 50. Bei: Bei kwa kilo moja ni Tsh 8,500/- Malipo: Utalipia mzigo ukifishakufikia ulipo. Location: Tunapatikana, Banana Dar esalaam. Delivery: Tunafanya...
  3. Regent

    Printed ID Holders: Wanauzaje jumla na Ku-Print

    Salaam Familia Napenda kuuliza hizi ID Holders zinapatikana bei gani kwa jumla. Wana Print kwa bei gani kwa jumla wanao Print. Wauzaji wa rejareja wanuzaje. Maswali Wananunuaje Kwa jumla Wana Print beigani jumla Wanauzaje wauzaji wa rejareja NB: UDSM...
  4. Mowwo

    Ushauri, natarajia kuanza biashara ya vitu vya jumla vya dukani kutokea Dar es Salaam kuja mikoani

    Nawasalimu wote. Mimi ni kijana mjasiriamali ninaetarajia kufanya biashara ya jumla ya vitu vya dukani(Arusha&Moshi) lakini ningependa kupata mawazo na ushauri namna ya kuagiza vitu hivyo kutokea Dar kuja mkoani. Uzoefu wa biashara hii ningeupata kutoka kwenu ningeshukuru pia. Vitu...
  5. The Assassin

    Lipumba amekua Mwenyekiti wa CUF miaka 26, Mbowe wa CHADEMA miaka 17, Zitto wa ACT Wazalendo miaka 7, Jumla miaka 50

    Vyama vya upinzani tunapokua tunalilia demokrasia hapa Tanzania huwa tuna maana gani iwapo kwenye vyama vyetu tu hatuna demokrasia. Leo viongozi wa vyama vya siasa Tanzania wana combined leadership period of more than 50 years. Kama nilivyoeleza kwenye kichwa cha mada hapo juu, Lipumba alipewa...
  6. laurentie

    Tunanunua Mayai ya Kuku wa kisasa (Arusha)

    GREAT DISTRIBUTION AND MARKETING SERVICES iliyopo Arusha inanunua mayai kwa bei ya 5500 kuanzia trei 100. Tupo Arusha Mjini Kama una mayai wasiliana kwa namba zifuatazo 0622887399 au 0622115570 Karibuni
  7. benjamathayo

    Wauzaji wa Jumla: Naomba kufahamu bei ya hivi vitu nataka niviongezee dukani kwangu

    Wauzaji wa vifaa vya umemekwa jumla na rejereja naomba kufahamu bei ya vitu hivi nataka niviongeze dukani kwangu. 1-Majiko ya umeme. 2-Pasi 3-Hita 4-Blenda zakusagia juisi. Mwenye kuuza hivi vitu kwabei ya jmla naomba anipe mawasiliano na bei zake.
  8. TEAM 666

    Ni zipi mbinu za kudhibiti wizi kwenye duka la jumla?

    Hello JF, Moja kwa moja kwenye bandiko Mimi ni mmoja wa wamiliki wa Duka la Jumla kiukweli hi biashara inalipa sana hasa inalipa faida ya milion 1.5 kwa mwezi kabla ya kutoa malipo ya wafanyakazi na Kodi ya pango nabaki na 600k au 700k Kama faida, kwa Duka moja. Hivyo kutokana na biashara...
  9. Wu-Ma

    Nataka kuwa wakala wa vifaa vya usafi, wapi wanauza kwa jumla?

    Habarini wakuu, nahitaji kuwa wakala wa vifaa vya usafi majumbani, wapi wanauza Kwa bei ya jumla Kwa DSM? Ahsanteni
  10. R

    Naomba mawasiliano ya wauzaji (wholesellers) wa bia Dodoma

    Wakuu natumaini mu wazima. Natafuta mawasiliano na wauzaji wa bia kwa jumla pale Dodoma mjini. Kama yupo yeyote humu au kuna mtu anaweza kuniunganisha na muuzaji yeyote tafadhali nitumie namba ya simu niweze kuwasiliana nao kibiashara. Unaweza kuituma hapa au kwenye PM. Natanguliza shukrani...
  11. emavalery

    Msaada mafuta ya kupikia/Alizeti Kwa jumla tokea Singida/popote

    Hello JF Members, Natumaini mnaendelea vizuri, naomba msaada kama kichwa cha habari kinavyojieleza nahitaji connections ya kupata mtu anayeweza niuzie mafuta ya jumla/alizeti au kuniunganisha pia, napatikana Dar. Nitafurahi kwa mchango wenu kwangu, najua nitapata msaada. PM ipo wazi,
  12. I

    Chimbo la spea za Jumla za pikipiki

    Naomba kujuzwa chimbo la spea za pikipiki za jumla
  13. MEGATRONE

    Nahitaji Dawa za Mseto za Malaria kwa bei ya jumla

    Anayeuza Dawa za Mseto wa Malaria kwa bei ya jumla anicheki kwa no 0788364580
  14. Babu Kijiwe

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Baadhi ya mahitaji ya wadau: Naombeni kupewa orodha ya maduka ya suti za kiume (za kisasa) yaliyopo Kariakoo. Nahitaji kuyazungukia. Kwasababu ya muda siwezi ku-design kwa fundi ndo maana nataka kuitungua dukani. Shukrani. Kariakoo au Dar ni wapi tutapata pochi, vitenge na viatu vya kike bei za...
  15. N

    Wenyeji wa Kahama naomba kufahamu kuhusu soko la vitunguu kwa muuzaji wa jumla lipoje

    Habari wakuu poleni na majukumu ya kujenga Taifa Mana wazee tunapambana paka inafikia muda unasema sijui niende kigoma kucheki nyota kwanza[emoji16] By the way nilikua na mission za kununua samaki na kwenda kuuza pale makambako samaki nawatoa bonde la mto kilombero sehemu moja inaitwa gundu...
  16. Replica

    Serikali: Walimu wa Shule za Sekondari na Msingi walioajiriwa ni elfu nane pekee

    Serikali imesema idadi ya walimu wa shule za msingi na sekondari walioajiriwa ni 8,000 pekee tofauti na 13,000 inayolalamikiwa na wadau. Katibu Mkuu,Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Dkt Laurean Ndumbalo amefafanua kuwa katika kibali cha ajira za walimu elfu 13 alichotoa Rais...
  17. Mbayo wa Giika

    Nitapata wapi samaki wabichi kwa bei ya jumla kwa jiji la Dodoma?

    Wadau wa biashara ya samaki naombeni msaada wenu. Ninataka kuanzisha bucha la samaki lakini kuna mambo kadhaa sijapata taarifa zake kamili hivyo naombeni msaada wenu. 1. Ninaweza kuwapata wapi kwa jiji la Dodoma? 2. Ni vibali (nyaraka) gani natakiwa kuwa nazo kufungua bucha hili? Ahsanteni...
  18. Lagrangian

    Sabuni za kuogea aina ya ALFA kwa bei ya jumla zinahitajika

    Wasalam wapendwa wa Jf. Nahitaji sabuni za kuogea aina ya ALFA kwa bei ya jumla. Muuzaji wa jumla wa sabuni hizo alieko Dar naomba ani dm tufanye biashara. Au kama unafahamiana na muuzaji wa jumla wa sabuni hizo tafadhali niunganishe nae. Niko Moro. Shukrani.
  19. joto la jiwe

    Wakenya 23 wafariki ndani ya saa 24 kwa Corona, Jumla ya waliokufa ni zaidi ya 1,200

    Poleni sana majirani, ila hii Corona imewaonyesha uwezo wenu na udhahifu wenu kama nchi katika kukabiliana na majanga, sasa ninadhani kwa wakenya wengi wanajua kwamba kwa kipindi kirefu walikua wanadanganywa na viongozi wao kuhusu uwezo wa Kenya ukilinganisha na majirani wake.
  20. Analogia Malenga

    Kenya: Jumla ya watu 1,013 wafa kwa covid19

    Watu 17 wamathibitishwa kufariki kwa #COVID19 na kufanya idadi ya waliofariki kufikia 1013 nchini humo Wizara ya Afya ya Kenya imesema watu 685 wamekutwa na maambukizi ya #CoronaVirus na kufanya walioambukizwa kufikia 55,877 Watu 1,271 bado wapo hospitalini wakipatiwa matibabu huku wengine...
Back
Top Bottom