Kwa Heri John Magufuli, Buriani Tingatinga
Zitto Kabwe
Imenichukua karibu wiki nzima kuandika, japo kidogo, kukuaga Rais Magufuli. Unajua kwanini ninapata ugumu kuandika japo napenda sana kuandika tanzia kiasi huwa nawaza nani ataandika tanzia yangu na ataandika nini.
Lakini pia imenichukua...