kahawa

  1. D

    Mbolea gani inafaa kwa ajili ya kupandia kahawa/mibuni.

    Nahitaji kupanda miche ya kahawa/buni. Naomba kufahamu mbolea za kiwandani zinayotumika kwa upandaji. Naomba pia kufahamu kipimo kinachofaa kwa kupandia kwa kila mche/shimo moja. Soma Pia: Nimepanda kwa kutumia mbolea isiyofaa, hatua gani nichukue?
  2. BLACK MOVEMENT

    Nchi inapigwa, kutwa nzima ni Mada za Yanga na Simba

    Tanzania ni nchi ya Kipuuzi sana fikiria kutwa nzima,vituo vya Radio na Television maada ni Mpira yaani hata Brazili sio hivyo, Brazili wanao penda mpira bado hatujawafikia. Hakuna Maada nyingine utaisikia kwenye hivi vituo zaidi ya Yanga na Simba kutwa nzima, wanaanza kujadili mpira kuanzia...
  3. B

    Bei ya kahawa Kagera yafikia Tsh. 4,100, shangwe kila kona ya mkoa

    Na Bwanku M Bwanku Kagera ni moja ya mkoa wa kilimo na mazao mbalimbali yanalimwa. Kwasasa ni msimu wa zao la kahawa ambalo ni moja ya zao linalolimwa. Toka Tanzania ianze, bei ya zao la kahawa ilikua inagotea kuishia 1,100 kuzunguka hapo lakini leo chini ya Rais Samia Suluhu Hassan bei ya...
  4. Stephano Mgendanyi

    Bashungwa: Wakulima wa Kahawa Kagera ni Shangwe Tupu, Bei ya Kahawa Imepanda

    WAKULIMA WA KAHAWA KAGERA NI SHANGWE TUPU, BEI YA KAHAWA IMEPANDA: BASHUNGWA Waziri wa Ujenzi na Mbunge wa Jimbo la Karagwe, Innocent Bashungwa ameipongeza Wizara ya Kilimo kwa kusimamia vyema Maono ya Mheshimiwa Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuwainua Wakulima wa Kahawa na kuwezesha bei ya...
  5. Mohamed Said

    Wachagga na Kahawa

    Nimekuwa na kawaida siku hizi kuwa ninaposoma Makala ya historia basi huenda kwenye kazi zangu zilizopita na kuangalia nini nimeandika. Ndugu yangu Abdulkarim Ally ameandika makala (haipo hapa) iliyonivutia sana kuhusu siasa za Uchaggani wakati wa ukoloni. Imesadif kuwa mimi nilitafiti na...
  6. GoldDhahabu

    Kahawa ni moja ya nyara za Serikali

    Nani mmiliki wa kahawa Tanganyika? Serikali au mkulima? Kwa nini Serikali inatumia nguvu nyingi sana kuzuia wakulima kwenda kuuza kahawa yao Uganda, mahali wanakoamini kuwa watapata faida nzuri? Serikali ya Tanganyika inaionea Uganda wivu? Serikali haitaki raia wake "watajirike"? Ni mbinu za...
  7. Stephano Mgendanyi

    DC Ludewa Abeba Ajenda ya Kilimo, Aweka Mikakati Zao la Kahawa

    Mkuu wa Wilaya ya Ludewa- Victoria Mwanziva akiambatana na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Sunday Deogratias na Wataalam wa Idara ya Kilimo Wilaya ya Ludewa- wametembelea Kiwanda cha City Coffee kilichopo Mbeya- kwa ajili ya kikao kazi cha kuongeza tija kwenye zao la Kahawa...
  8. rajiih

    Kijana usidharau vijiwe vya kahawa kuna madini mengi sana pale

    Wana Jf kwa mara nyingine tena mwezi huu wa Pili nmeamua kuanzisha Threads hii ya kuhusu vijiwe vya KAHAWA kwa sababu ambazo zina faida nyingi kuliko hasara. Kwa muda sasa nilijiapiza kuzoea katika ya vijiwe vya kahawa ambavyo vitakua Jirani yangu au hata nikiwa katika safari ya ugeni ambao...
  9. Stephano Mgendanyi

    Usiku kama Mchana!, Mbunge Rohoro Agawa TV Bunge la Kahawa - Ngara

    USIKU KAMA MCHANA!, RUHORO AGAWA TV BUNGE LA KAHAWA - NGARA Mbunge wa Jimbo la Ngara Mh. Ndaisaba George Ruhoro anapenda kuujulisha umma na Wananchi wa Jimbo la Ngara kuwa anaendelea na Zoezi la ugawaji wa Television (TV) kwenye vijiwe/mabunge ya kahawa yaliyopo Wilayani Ngara. Lengo kubwa ni...
  10. matunduizi

    Vijana majobless muanzishe vijiwe vya kubadilishana mawazo kama wazee walivyoanzisha vijiwe vya kahawa kupigana fiksi

    Vuguvugu la maendeleo ulaya (the age of enlignment) lilianzia vijiweni na kwenye saloon ambapo watu walikutana kujadili ideas. Kwenye vijiwe vya kimasonic (Masonic Clubs ) pia ilikuwa ninsehemu walipokutana kupeana updates. Muachane na vijiwe vya betting. Vijiwe wa unywaji bia, na ulaji wa...
  11. Tlaatlaah

    Kwenye vijiwe vya kahawa, kashata kachori na pweza hivi sasa stori kubwa ni Rais Samia

    nikiwa kiraia zaidi, nimejumuika na wananzengo vijiwe vya kahawa, kashata, kachori na pweza. Stori na hadithi nyingi zimetekwa na jina la Rais, Dr Samia Suluhu Hassan. Kwamba huyu mama ni hodari, anajali sana, ana bidii mno ya kazi, anaskiza sana maoni ya wananchi, ni mahiri na makini sana...
  12. Funa the Wild

    Kijiji cha Materuni na utalii wa kahawa, Moshi Kilimanjaro

    Kahawa ni miongoni mwa zao la biashara linalolimwa ukanda wa Afrika Mashariki ikiwemo na Tanzania. Mkoa wa Kilimanjaro ni miongoni mwa mikoa ambayo zao la kahawa linapatikana hususani kahawa aina ya ARABICA. Mnamo tarehe 16/10/2023 nilipata nafasi ya kuwapeleka watalii kijiji cha Materuni...
  13. D

    Kuna siri gani katika vijiwe vya kahawa kwa viongozi wa CCM?

    Kuna mambo ukiona yanajirudia ni vizuri kujiuliza ili kujifunza. Wana JF tusaidiane. Enzi za uhai wake tulimwona Hayati John Pombe Magufuli akinywa kahawa na vijana wake huko Chato. Hivi majuzi akiwa ziarani Singida tukaoneshwa picha Rais Samia Suluhu Hassan naye akiwa na kina mama katika...
  14. Mhaya

    Mmeshawahi kuona kijiwe cha wanywa kahawa wanawake?

    Ebu jaribu kutofautisha picha mbili hapo chini kwenye kila angle. MAGUFULI akiwa Soko la Ferry, Dar es salaam SAMIA akiwa Soko la Wamachinga parking, Nzega, Tabora. BINAFSI: Nimeshangaa kijiwe cha wanywa kahawa wanawake, sijawai kuona kijiwe cha kahawa cha wanawake. Pili utofauti niliouona...
  15. Mwanadiplomasia Mahiri

    Toka nizaliwe sijawahi kuona kijiwe cha kahawa cha wanawake

    Pengine ni ushamba wangu au kukosa exposure, lakini tangu nizaliwe sijawahi kuona kijiwe cha kahawa kinachokaliwa na wakina mama (wanawake). Tumezoea muda mwingi kama sio muda wote vijiwe vya kahawa ni akina baba huku wakiendelea na mijadala mbalimbali. Wenzangu vipi mshawahi kukiona?
  16. The Burning Spear

    Kwa mara ya kwanza leo nimeona kijiwe cha kahawa cha wanawake

    Great thinker Shuhudia na wewe usingoje kusimuliwa.
  17. Stephano Mgendanyi

    Kagera: Mbunge Ndaisaba Ashiriki Zoezi la Ugawaji wa Miche Takriban Milioni Moja ya Kahawa

    Mbunge wa Jimbo la Ngara, Mhe. Ndaisaba George Ruhoro alishiriki zoezi la ugawaji wa Miche ya Kahawa lililofanyika Octoba 4, 2023 katika Kijiji cha Kashinga - Nyakisasa. Miche hii ni matokeo mazuri ya Jitihada za Mhe. Mbunge katika kulikuza zao la Kahawa ili kuongeza mapato kwa Mkulima mmoja...
  18. Kamanda Asiyechoka

    CHADEMA sio chama cha kuwasaliti Watanganyika kwa biskuti , kahawa na Ubwabwa

    Sisi ni Chama makini sana. Tunajua nini maana ya maslahi ya taifa. Hatuwezi kuwa na fikra potevu kudanganya dunia kuwa kuna Demokrasia nchini Wakati hakuna. Zaidi ya CCM Kandamizi iliyojisahau na sasa inawakandamiza Watanzania kwa kila namna ya ufisadi. Hatuwezi kuwa sehemu ya wasaliti wa...
  19. ashurabakari272

    Mtengeneza kahawa

    Habari zenu. Leo ngoja nishee story yangu kwa ufupi Nakumbuka mwaka 2010 nikiwa na rafiki yangu tulishauriana kwenda South Afrika kutafuta maisha tukiamini kwamba huko maisha ni marahisi sana, basi ikabidi tuanze kutafuta nauli kipindi hicho ilikuwa nafanya biashara ya kuuza nguo za mtumba...
  20. benzemah

    Taarifa ya balozi wa Tanzania nchini Japan na fursa katika zao la kahawa kutoka Tanzania

    "Jina langu ni Baraka Luvanda, Balozi wa Tanzania nchini Japan, nikiwa na dhamana ya kuiwakilisha pia nchi yetu katika nchi za Australia, New Zealand na Papua New Guinea. Leo tumekusanyika hapa katika mojawapo ya makampuni makubwa nchini Japan yanayojishughulisha na biashara ya chakula Japan na...
Back
Top Bottom