kampuni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Ianzishwe kampuni ya mieleka(wrestling) nchini Tanzania

    Jamani najua Kuna watu wengi bongo wanapenda mchezo wa mieleka maarafu kwa kampuni ya WWE, Ila mnaonaje na Tanzania ikaanzishwa kampuni ya mieleka.
  2. BigTall

    Chalinze Cement yatoa tamko kuwa kampuni yao si ya mfukoni na sio matapeli

    Kupitia kwa Wakili wa Chalinze Cement Company Limited, Melchisedeck Lutema ambaye pia ni Wakili wa Chama cha Kutetea na Kusemea Walaji Tanzania amesema kuwa Chalinze ni Kampuni ambayo ilisajiliwa Mwaka 2021. Akizungumza na Waandishi wa Habari, leo Mei 8, 2023 Jijini Dar es Salaam amesema...
  3. Raia Fulani

    Kampuni inayohusika na 'wrong parking' iangaliwe vizuri

    Ni hawa jamaa ambao yard yao ipo pale jirani na bohari ya msd. Utawakuta mjini wamevaa sare za suruali yeusi na shati jeupe. Wengine wana tshirt nyekundu. Na usafiri wao mkubwa ni bajaji. Kiukweli watu hawa ni janga la jiji. Kwanza wana hasira hao! Wengi ni kanda maalum. Wakishashika gari yako...
  4. JanguKamaJangu

    Marekani: Kampuni ya Meta yashutumiwa kuwaweka Watoto hatarini

    Mdhibiti Mkuu wa Faragha wa Data Nchini Marekani ameshutumu kampuni hiyo inayomiliki mitandao ya Facebook na Instagram kuwa haiweki udhibiti mzuri kwa ajili ya kuwalinda Watoto wanaotumia mitandao hiyo. Tume ya Biashara ya Shirikisho (FTC) pia imesema Meta inapaswa kupigwa marufuku kutengeneza...
  5. MwananchiOG

    Simba yapewa odds mlima kwenye kampuni za betting! Mhindi hajawahi kuliwa.

    Mhindi hajawahi kubahatisha pale linapokuja swala la betting, Simba Sc kupewa odds kubwa dhidi ya mpinzani wake Wydad AC ina maana gani? Ni mtego au? Mliosoma Cuba tuna mtudadavulie tafadhali
  6. ChoiceVariable

    Kampuni Kutoka China Kujenga Daraja la Dar- Zanzibar

    Kampuni ya China Overseas Engineering Group imeonesha Nia ya kujenga Daraja la km 80 Kati ya Dar na Zanzibar,Naibu Waziri Kasekenya amesema Bungeni.. My Take Kama Daraja hili litajengwa linaweza kutumia zaidi ya gharama za Kujenga SGR. Swali Je Tunalihitaji Kwa Sasa? Kama Kuna ulazima wa Hilo...
  7. Zakaria Maseke

    Sifa (qualifications) za kuwa mkurugenzi (director) na secretary wa kampuni

    1: QUALIFICATIONS ZA KUWA MKURUGENZI WA KAMPUNI (DIRECTOR): Sifa (qualifications) za kuwa director wa kampuni zinapatikana kwenye Sheria ya Makampuni ya Tanzania (the Companies Act), ya mwaka 2002. Ukisoma kifungu cha 194. (i): Kwanza ni kigezo cha umri: Je, director anatakiwa kuwa na umri...
  8. Mtenzeli

    Msaada wa ufahamu juu ya kampuni ya kuuza magari ya gloauc ya nchini Japan

    Wakuu, Amani iwe nanyi nyote! Kama mada inavyojieleza, nimejikusanya kidogo nikaona ni wasaa mzuri wa kupata chombo cha usafiri ili kurahisisha mizunguko yangu ya kila siku. Katika pitapita zangu mtandaoni miongoni mwa makampuni ya uuzaji wa magari niliyokutana nayo ni kampuni ya GloAuc. Kwa...
  9. profesawaaganojipya

    Nataka kununua gari,kwa mtu aliyeuziwa na kampuni,hakubadili umiliki.

    Wazoefu naomba msaada,nataka kununua gari kwa jamaa,lakini yeye aliuziwa na kampuni,ila hakubadili jina,linasoma la kampuni,,documents za mauziano anazo,naomba kujua taratibu za kufuata wakuu.
  10. B

    Rais Samia kushuhudia utiaji saini mikataba ya madini na kampuni 3 za Australia - Aprili 17, 2023

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu Aprili 17, 2023 anatarajia kuwa mgeni rasmi na kushuhudia utiaji saini wa mikataba kati ya Serikali na kampuni 3 za madini kutoka nchini Australia. Hafla hiyo itafanyika katika Ikulu ya Chamwino mkoani Dodoma kuanzia...
  11. GP Logistics Company

    Kenya yafanikiwa kurusha Satelite yake kwenye mzingo wa Dunia kwa kutumia Roketi, Tanzania kufanya hivyo mwaka 2025

    Nchi ya Kenya wamefanikiwa kurusha satellite yao kwenda anga za mbali muda mchache uliopita ikiwa imesafirishwa ndani ya rocket ya Falcon 9 kutokea huko katika kambi ya Vendeberg space center Mara baada ya majaribio matatu kushindikana siku chache za nyuma kutokana na hali mbaya ya hewa ambayo...
  12. daydreamerTZ

    Fahamu kuhusu hisa za kampuni binafsi (shares of private company)

    HISA ZA KAMPUNI BINAFSI Hisa za kampuni binafsi ni hisa zinazomilikiwa na watu wachache ambao wamealikwa na kampuni kushiriki katika umiliki wake. Kampuni binafsi mara nyingi hazina nia ya kuorodheshwa kwenye soko la hisa na kuuza hisa zao kwa umma. Kwa kawaida, hisa za kampuni binafsi...
  13. BARD AI

    Profesa Kapuya alitapeliwa na kampuni ya Kilimo cha Vanilla Njombe

    Matukio ya watu kutapeliwa kwa njia ya Upatu yamekuwa yakishamiri nchini na hii inahusishwa zaidi na ndoto za baadhi ya watu kutaka kutajirika kwa haraka huku wanaotajwa kuwa wasimamizi wa miradi hiyo wakitumia mbinu za ushawoshi
  14. D

    Natakiwa kumfukuza kazi muajiriwa aliekuwa kwenye kampuni kwa miaka 17, Nifanyeje?

    Habari wana JF, Mimi ni HR wa kampuni fulani kwa miaka 2 sasa. Nimepewa order na maboss zangu kumfukuza mfanyakazi ambae amefanya kazi kwenye kampuni hii kwa miaka 17. Amefanya kosa ambalo ni la kusamehewa tu ukiangalia na muda aliojitoa kwenye kampuni hii. Bado hajui chochote na kwangu imekua...
  15. JanguKamaJangu

    Bayern Munich yamsimamisha kazi kwa muda Sadio Mane kwa kumpiga Leroy Sane

    Uamuzi huo umetokana na tukio lililotokea vyumba vya kubadilisha nguo wakati timu hiyo ikifungwa 3-0 na Manchester City, ikidaiwa kutokana na wawili hao kupishana kauli ndipo Mane akampiga ngumi ya uso Leroy Sane. Mane hatakuwa sehemu ya kikosi kitakachocheza dhidi ya Hoffenheim katika...
  16. JanguKamaJangu

    Kampuni ya Australia iliyofutiwa leseni yatishia kukamata ndege ya Tanzania

    Kampuni ya Indiana Resources ya Australia imetishia kuikamata ndege ya Tanzania endapo itashindwa kulipa fidia kufuatia kesi iliyofunguliwa katika Mahakama ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Uwekezaji (ICSID) Nchini Marekani Kampuni hiyo imeishtak Tanzania baada ya kutaifisha leseni ya uchimbaji...
  17. aka2030

    Kampuni ya ndege flightlink hakika inaenda kuuwa soko la Air Tanzania

    Hawa jamaa kutokea dsm to arusha ni USD 52 tu na hamna mbambamba na wanandege kubwa kabisa.
Back
Top Bottom