karibuni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Sina Million 30

    Picha Za Wakimbizi zilizotrend miaka ya hivi Karibuni

    Kazi ya UN JF Kati ya Watu Milion 60 «Kuna kitu unakijua HAPO unataka wenzako tuwe wakimbizi Kukijua" Fatima Adam Muhammad fled El Geneina in June 2023 after her teenage son was killed. She and her four surviving sons have found refuge at Aboutengue refug
  2. M

    Karibuni kwenye tafrija fupi ya kusherehekea ushindi wa Lissu na Heche.

    Tumeandaa tafrija fupi ya kuwapongeza waheshimiwa Tundu Lissu na John Heche kwa ushindi wao katika uchaguzi Mkuu wa CHADEMA uliofanyika jana/leo. Lakini pia katika tafrija hiyo tutampongeza Freeman Mbowe kwa kukiongoza chama kwa muda wote huo. Tafrija itafanyika kesho tarehe 23.01.2025 kuanzia...
  3. Financial Analyst

    Hizi pete ambazo baadhi ya watu huvika vidoleni huwa ni za asili na kazi gani? Karibuni tujuzane

  4. A

    Karibuni DAR ES SALAAM

    Hawa wanaoajiriwa kuangalia afya wako wapi au ndio kuchaguana
  5. Kabende Msakila

    Waliokatwa ugombea CDM 2025 poleni; lkn karibuni CCM (Mama atawapokea)

    Nimesikitika sana na vitendo viovu na hujuma mnazosema mmefanyiwa. " Wote mliokatwa majina, Wote mlioenguliwa, Wote mtakaodhihakiwa, Wote mnaopenda demokrasia pana, Kwa mikono miwili na kwa upendo wa hali ya juu mnakaribishwa ktk chama kizuri cha CCM. Ulizeni waliokuja i.e Msigwa, Mtatiro...
  6. stabilityman

    Uzi wa kutaja Ni biashara gani umesikia mtu katajirika nayo siku za hv karibuni?

    Habari Kiukweli tunatoka sehem mbali mbali tunakutana na watu mbali mbali.Naomba toa fursa kwa waTz wenzio biashara gan umesikia au unamjua mtu imemtajirisha cku za karibu hz
  7. Miss Natafuta

    Wenye uzoefu Bima ya afya ya Vodacom

    Wenye uzoefu tunaomba mwongozo Naona wako cheap January hii bima ya afya muhimu wadau Watoto wa kiume WA 2000 naomba msije hapa.
  8. Li ngunda ngali

    Lema awaandikia Waraka mzito Mbowe na Lissu. Kuongea hivi karibuni

    Hakika ni Waraka wa kutisha wa Mtume Lema kwa Mbowe na Lissu. Muhimu nilichoelewa mimi, Lema amesema ana muunga mkono Tundu. Jisomee mwenyewe;
  9. Pinda Nhenagula

    Karibuni sana simba na yanga na wana michezo wote

    Naomba tujiunge group letu pendwa la watani wa jadi Tanzania wewe ukitaka kujiunga gusa hapa tu : SIMBA VS YANGA utakuwa umeungana na wana michezo wenzako karibu sana mdau wa soka unakaribishwa kutoa hoja kuhusu Soka
  10. T

    NDUGU ZETU, KARIBUNI TUINGIE KKWA MLANGO HUU .... TUNAWAPENDA!

    https://youtu.be/BtJKuCfA0pE?si=CM2pbLwJ3Ki3uPQ1
  11. Nigrastratatract nerve

    Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani. Yaani kumbuka sasa hivi...
  12. Mwanadiplomasia Mahiri

    Huu mchoro unamuhusu mchezaji gani? Wakongwe karibuni

  13. MEK_TZ

    Naomba Ushauri katika ufugaji wa nguruwe

    Habari ya leo wana JF matumaini yangu tu wazima kwa uweza wa muumba atutiaye nguvu na uzima. Naomba kurejesha ombi langu juu ya kupata msaada namna gani naweza fanikiwa katika ufugaji wa nguruwe. Niliwahi andika uzi juu ya kutaka ushauri wa biashara ipi itanifaa kupitia mtaji/kiasi nilicho...
  14. Rozela

    Karibuni Machame wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro tusherehekee ushindi wa kukomboa mali yetu

    Ndugu zangu, hapa nilipo nabubujikwa na machozi ya furaha baada ya mjomba wangu kufanikiwa kukomboa kikoba cha ukoo kilichokuwa kwenye hatihati. Wanachama wa kikoba tafadhali malizieni ada zenu za uanachama ili wajanja tuje kuzisasambua hapa machame. Christmass hii itakuwa bomba sana.
  15. Rorscharch

    Wanawake njooni hapa mfahamu wanaume tunataka mwanamke wa aina gani

    Tumekaa Wakataa Ndoa na tulio ndani ya Ndoano, tumekuja na Ukweli Mchungu kwa Faida yenu wanawake Ndoa sio lelemama, sio karata za Bahati Nasibu, na kwa hakika sio safari ya majaribio. Hii ni safari ya milele inayohitaji maarifa, uvumilivu, na upendo wa kweli. Tukiwa tumejifunza mengi kupitia...
  16. FRANCIS DA DON

    Je, Tanzania inataka kuchapisha pesa mpya hivi karibuni? Instagram Algorithm imetushtukia

    ‘Instagram Algorithm’ ni mfumo wa unaotumika kwenye matangazo mbali mbali ya kibishara amabpo mtumiaji huwa analetewa matangazo yale yanayomusu kwankiwango kikubwa kulingana na viashiria mbalimbali (data collection) inavyovipata mtandaoni. Sasa Tanzania tunaletewa hili tangazo la mfumo wa...
  17. T

    Karibuni Wabunifu na Watengenezaji wa Multimedia - Tunapenda Kufahamu na Kutambua Kazi Zenu

    Habari za siku, wabunifu na watengenezaji wa multimedia! Huu uzi ni maalumu kwa kuwakaribisha nyote wenye ujuzi na ubunifu katika usanifu na utengenezaji wa michoro ya kidijitali (digital graphics), video fupi, na sauti (audio) kwa ajili ya utambulisho (branding) na utangazaji wa biashara...
  18. Mr nobby

    Tupeane update kuhusu ajira za uhamiaji zilizotangzwa hivi karibuni

    Wakubwa habarii za wakati huuu! Huu ni Uzi maalumu juu ya ajira zilizo tangazwa na idara ya uhamiaji hivi karibuni. Binafsi nafanya application lakini sijafanikiwa kufika mwisho, nikisha log in tu sion maelekezo mengne yanayofatia. Je Kuna miongoni mwetu/ ndugu/ mtu wake wa karibu...
  19. U

    Wataalam wa psychology na counseling karibuni tushauriane hapa

    Mwanzo kabisa, nikusalimieni, hope nyote ni wazima na wagonjwa mungu akuzidishieni wepesi katika afya zenu ili muendelee na majukumu yenu ya kila siku Pasi na kupoteza muda, niende kwenye lengo la andiko, japokuwa kuwa unaweza kuwa mrefu lakini nitajitahidi kulifupisha kidogo Wakuu niko njia...
  20. kigwenje

    Karibuni wapendwa

    Tunasafisha masofa pamoja na sity za magari, makpti(mazuria) Tunakufata ulipo(nyumbani, officine) kukufanyia kazi yako, kwamawasiliano call, 0655556426 ata whathp👉
Back
Top Bottom