Dear Mama Samia,
Pole na majukumu ya kulitumikia taifa letu. Kwa heshima na taadhima, naomba kukufikishia kilio cha askari kadhaa wa Jeshi la Polisi ambao wamehamishwa hivi karibuni lakini bila kupewa senti tano ya uhamisho.
Kwa upande mmoja, uhamisho huo wa ghafla na usio na posho za uhamisho...
Wadau hamjamboni nyote?
Kwa furaha kubwa nawajulisha kuanza Kwa makambi hapa Kanisa la Waadvetista Wasabato salasala
Nyote mnakaribishwa sana
Vipindi vizuri vyenye kutoa elimu zote za kiroho na kidunia pia
Kwaya za kutosha zitahudumu
Usipange kukosa mtu wa Mungu
Mtaarifu mwenzako
Mungu...
Nitataja watu au matukio yaliyotrend Tanzania. Sitaweza kuweka kwa mpangilio.
Tabiri mtu atakayetrend , tukio au msemo utakaotrend hivi karibuni.
Komando madafu
Miso Misondo
Konki master
Lizer wa Tanzanite
Mandonga mtu kazi
Liquid piere
Aslay na Binti kungwi
Mwanachuo na Mirinda
Bashite na...
Habari
Katika mwili wa binaafamu Huwa Kuna viashiria vingi vinavyotokea kutokana na baadhi ya viungo kucheza....mfano wa viungo kucheza ni kama..
1.Pua kucheza
2.kung'ata ulimi
3.ngozi juu ya jicho kucheza
4.na viungo vinginevyo..
5...
6...
Asante.
Je yote haya yanaashiria nini sana sana...
Natoa ushauri kwenu kwa nia nzuri tu, mkitaka chukueni msipotaka endeleeni na harakati zenu, mimi nimeanza kufuatilia siasa za nchi hii wakati nikiwa form 2 mwaka 1992, enzi hizo ndio kumepamba moto siasa za vyama vingi yaani democratization process.
Hali ilikuwa moto kipindi kile, chama chenye...
Habari mdau wa jamvi hivi unafikiri ni kwann matukio ya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia yameongezeka sana kwa sasa
Je ni hatua gani stahiki zinapaswa kuchukuliwa kutatua janga hili
Hizi tetesi tu, inasemekana mauza uza yamekuwa mengi ndani ya club siku chache zilizopita. Njiwa wamekuwa wakionekana ndani ya ofisi ya idara japo madirisha na milango imefungwa. Bundi, na wakati mwingine kuku imechinjwa halafu inakutwa ndani ya meza ya Ally pamoja na madawa ya kishirikina
Kampuni ya kutengeneza magari kutoka China Build Your Dream (BYD) wametangaza kua wale wote waliolipia (nunua) supercar yao YangWang U9, wakae mkao wa kula, sio muda zinawafikia.
Kama haitoshi, kila owner ataona expected delivery date aliyopangiwa katika official App ya YangWang na ikitokea...
Weekend tunapumzisha vichwa na vodka kubwa Kidogo
We weekend imekukuta wapi ?
Missing rhumba kipindi Niko na Marehemu Akukweti, na Magufuli! Japo nilikuwa mdogo kwao! Masilingi upo Powa?
Britanicca
ELie Mpanzu miaka 22 kutoka congo atatambulisha hivi karibuni mitaa ya msimbazi
Elie Mpanzu alikuwa mchezaji wa As Vita club ambaye mkataba wake umetamatika msimu huu,Kwa mujibu wa manager wa Mpanzu na taratibu za Congo mkataba ukitamatiki mchezaji ni mali ya club yake ya kwanza ambayo pia...
Shalom,
Ile namba ya call forwarding ya Vodacom Tz siku hizi haonekani
Nimekuwa na utamaduni wa kuchunguza hatari ya calls tracking kwenye simu yangu mara kwa mara, hivyo huwa nabonyeza *#62#OK, upande wa Airtel na tigo sijawahi kuona hatari, Vodacom wao walikuwa na namba inaanza na...
Watanzania,
SALAAM!
Ifahamike kuwa siasa haina adui wala rafiki wa kudumu. Niliowataja hapo nafahamu uwezo wao wa kisiasa. Ni dhahili kuwa huko waliko hawathaminiwi hata kidogo - nguvu wanayoitumia wakiwa CDM ni kubwa sana ukilinganisha na rewards wanayopata.
Hawa wanafaa kuja kusaidia...
Habari zenu
Karibuni seti ya TV show case na coffee table yake. Zimefka full seti n 370,000 Tu bei ya jumla. Tv show case pekee au meza pekee n 230,000. Zpo chache. Nafanya Delivery dar na mikoani. watsup/call 0767709486
Habari zenu boss zangu.
Karibuni sana, hapa utajipatia bidhaa kama vile mashuka, mapazia, mazulia, neti, mataulo, saa, picha za ukutani, coffee table, d, vyombo kama sufria, hotpot, dinner set n.k, bidhaa za umeme kama vile pressure cooker, air fryer, oven, mabegi ya safari n.k 🧳🛍️🛒 .Dar maeneo...
Karibuni sana hapa Banana, Tumefungua ofisi mpya kwa huduma zilizopo hapo juu; Licha ya hayo, pia;
1. Tunasajili Kampuni, jina la biashara
2. Tunasajili Miradi ya uwekezaji (TIC)
3. Tunafuatilia leseni, TIN, number
4. Maandalizi ya Business strategic plans Business Proposal
5. Maandalizi ya...
Je, wataanza kuonesha Ligi Kuu ya Uingereza na au Ulaya hata kwenye nchi za Commonwealth?
Kwa mujibu wa Mtandao wa Mtandao wa SP ni kwamba Mmiliki wa SuperSport, Multichoice, amekubali ombi la ununuzi la Canal+ ununuzi wenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 2.9. na kwamba Kampuni hiyo kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.