Kutokana na ongezeko la watu duniani na shughuli za kiuchumi na kijamii, kelele zimeendelea kuongozeka kwenye makazi ya watu na maeneo ya biashara na hivyo kusababisha madhara mbalimbali kwa binadamu na mazingira. Madhara hayo ni pamoja na kupoteza usikivu (hearing loss); kuondosha utulivu...
Siku hizi kila muda ni maadili! maadili! lakini wengine hawajui kuwa wanapiga kelele tu zisizo na tija. hebu hizo juhudi za kujenga maadili mema changanyieni na hizi
1.Azam achieni ile chaneli ya ZBC2 iruke watu waangalie bure hata bila kulipia. kama nakosea mtanirekebisha lakini nijuavyo ile...
Binafsi natoa pongezi nyingi kwa Baraza la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kwa uamuzi wao walioufanya hivi karibuni, inawezekana ukaonekana kama wamekosea lakini siku zote binadamu huwa si rahisi kukubali mabadiliko.
Mabadiliko yoyote yale huwa yanaambatana na changamoto kadhaa...
Wale ambao hamukerwi na kelele endelei kunyamaza hivyohivyo!
Juzi niliwashauri NEMC kupitia Uzi
https://www.jamiiforums.com/threads/hongereni-sana-nemc-kwa-kuanza-udhibiti-kelele-kwenye-bar-lakini-fanyeni-haya-kuboresha-zoezi.2094376/
Kwamba; Walipaswa kuenenda kwa umakini sana kwenye zoezi...
NEMC wamekazana kukamata wenye baa kwa sababu huko kumenona, bodaboda nyingi zina muziki wenye sauti kali sana ya juu ambayo huumiza masikio.
Pamoja na kutokunona lakini itakuwa jambo jema kukomesha kelele hizo.
Mhe. Waziri WA Fedha Bila kujali kesi zilizowahi kufunguliwa na kuamuliwa kwenye mabaraza mbalimbali amegongelea msumari kuunganishwa Kwa Tanga cement na Twiga cement Kwa maelezo kwamba serikali inaziona dola milion Mia NNE siyo zakuacha hivihivi.
Nawakumbusha Tu maana mambo NI mengi uchaguzi...
Nawapa pongezi sana kwa mwanzo huu!
NEMC Mkiamua mnaweza!
Mmefanikiwa kufungia bar chache zinazopiga miziki mikubwa! Ni jambo jema sana!
Naomba kushauri jambo moja ndugu zetu NEMC!
Kuna msemo Wataalam wanasema "Good approach, Bring best Result"
Hakika mmethubutu kuwaonya hawa watu wanakela...
Nafaham upo ugumu mkubwa wa kushughulika na watu wanaoamini KERO ni haki yao!
Yaani kuna watu wanajimilikisha haki ya kuwakera wengine!
Na wanaoamini wako sahihi!
Zamani kukuta spika ya disco kanisani ilikuwa HAKUNA! Na watu waliogopa kucheza sebene kanisani lakini hivi Leo ni kawaida sana...
Mahakama ya Wilaya ya Kilwa masoko mkoani Lindi imemuhukumu Muharami Ngayoma maarufu Kibwege (30) kwenda jela miaka 30 kwa kosa la kuruhusu watu kumwingilia kinyume na maumbile.
Hukumu hiyo ya kesi namba 27 ya mwaka 2023 imetolewa Aprili 17,2023 na hakimu mkazi wa mahakama hiyo Carolini Mtui...
Rais Mwinyi amekuwa akipigiwa kelele sana kwamba ananyang'anya wananchi ardhi anawapa wageni kwa kisingizio Cha kukodisha. Baadhi wanasema, anachukua ardhi hiyo yeye mwenyewe kwa mlango wa wawekezaji.
Anahamisha mashule, maeneo ya shule anawapa wawekezaji, anakodisha visiwa kwa bei ya kutupa...
Bwana Yesu asifiwe wakuu, wasalaam waleikum
Uzi huu kwa namna yoyote sihamashi ndoa za mabinti wadogo bali ni kuwekana sawa tu kwamba katika zama za kale tamaduni hazikuruhusu tu upande wa Mohammed kwa kiasi kikubwa waarabu kuoa mabinti wadogo bali ni hata kwa waisrael na mababu zetu wa hapa...
Jamani Waislamu na Wakristo sio Watanzania wote tupo kwenye izo Dini zenu na wengine pia hatuna kabisa. Huu ukorofi wa ma-loudspeaker misikitini adhana utadhani hadi Msumbiji wasikie sio.
Hadi Saudi Arabia wamepiga marufuku kelele za maspika makubwa kama usumbufu na nchi nyingi tu za kiislam...
Sasa kama Wewe Abiria Mwenzangu umeshika Simu ya Gharama (ya Kitajiri) ya Tsh 1,700,000/= na Unaidai Chenji yako ya Tsh 100/= kwa Kondakta tena kwa Kelele nyingi Daladalani Mimi GENTAMYCINE Choka Mbaya mwenye Simu yangu hii ya Phillips Kitochi nifanyeje?
Najua kuwa Hela yoyote ni Halali ya...
MEYA wa Jiji la Arusha, Maximilian Iranghe amewataka wamiliki wa Makanisa na Misikiti mjini hapa,kufuata sheria za utunzani wa Mazingira na kuacha kuzalisha kelele chafuzi zinazobughudhi na kuleta athari kwa wananchi.
Iranghe ametoa kauli hiyo mapema leo wakati akifungua semina kwa viongozi...
Na hiki ndio huwa kinawafanya wanaangukia pua, puuu.
Uraiani hawakubaliki kabisa maana ndio kwenye uhalisia.
Lakini wao wanakomaa kueneza propaganda njaa kwenye mitandao ya kijamii.
Kura zikijakupigwa kiuhalisia wanabaki kusema wameibiwa.
Sijui ni ubunifu au ni kitu Gani. Stand ya Mabasi ya Magufuli ni stand ukiwemo huwezi mpigia mtu simu akakuelewa..yaani ni makelele ya spika na matangazo mwanzo mwisho, Kariakoo Kuna uafadhali. Najiuliza kwani uongozi wa hii stand hawalioni hili?
Kama ni wao ndiyo Wana regulate haya matangazo...
Habari wadau,
Kuna hoja nimeisikia kwamba panya yeyote hawezi kutembea wala kukimbia juu ya gypsum board. Anateleza.
Je, mtoa hoja anasema ukweli ama anadangaya?
Kwa watu mnaoishi kwenye mazingira yenye gypsum board Je, mmewahi kusikia panya juu ya hizo board anakimbia ama anatembea kama...
1. Hivi Simba SC haijawahi Kufungwa Chama akiwemo?
2. Hivi Simba SC haijawahi kutoka Sare Chama akiwemo?
3. Hivi Simba SC ilipofika hatua ya Robo Fainali ya CAFCL mwaka Chama alikuwepo?
Na kupitia hili la Chama GENTAMYCINE nimegundua kuwa 85% ya mnaolishadadia nje ya kuwa ni Wapuuzi na...
Hili ndo gari langu la Kwanza kununua, lakini nikiri kusema nilibahatika muuzaji alikua na njaa sana
Ni land cruiser prado sx5.0 turbo nilipata Kwa million 7.5
Body ni station wagon
Sasa kwanzia jumapili gia zinaingia Kwa tabu sana hasa namba Moja na reverse na niligundua Hilo pindi nimetoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.