kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Benni McCarthy's Kenya all the way to CHAN glory? Revealed! Millions of Rands Harambee Stars will get if he helps them win the tournament

    Kenya's Harambee Stars were placed in Group A alongside Morocco, Zambia, DR Congo, and Angola, which is a tough pool. Being the first time competing in the biennial competition was definitely not going to be a walk in the park for Benni McCarthy's men. Co-hosting the competition alongside...
  2. KENYA: Unregistered Kisii orphanage shut down after defilement of a seven-year-old girl

    Kenya Government has shut down an orphanage in Lusaka's Chudleigh area, following allegations of sexual abuse and defilement involving a clergyman who is running
  3. Kundi la Camp Mulla kilitokea nini mpaka wakavunjika?

    Kuanzia mwaka 2009 mpaka 2018 walituburudisha sana, vipaji vikubwa sana kutoka kwa Marcus Kibukosya, Benoît Kanema, Matthew Wakhungu pamoja na kadada karembo Karungari Mungai. Kwa wale ambao walikuwa mashabiki wa kundi la Camp Mulla, je, kwa nini walipotea ghafla? Ni masuala ya biashara? Au...
  4. W

    Zaidi ya Degree 100 zimefutwa baada ya vyuo 15 kufanya kazi kinyume na Sheria Kenya

    Nimewaza tu kwa sauti kwamba mtu umepigika zako miaka mitatu ya kutafuta digrii alafu unakuja kufutiwa kwamba ni feki. =================================== Tume ya Elimu ya Vyuo Vikuu imetaja vyuo 15 vinavyofanya kazi kinyume cha sheria nchini Kenya na kuwaonya Wakenya kwamba vyeti vya kimasomo...
  5. Bien wa Kenya alivyomfunika Marioo kwenye Trace Music award

    Star muziki kutoka kenya Bien aliouwa vibaya kwenye tamasha la tracemusic award huko zanzibar. https://youtu.be/HNGUzeFNfNQ?si=LJRX1bjiWJqWwAlu
  6. Hii clip ime trend Kenya. Watu wanajua kupendana

    Video inaonyesha wanaosadikika kuwa ni wapenzi wakishirikishana mambo. Kilichofurahisha ni namna walivyokuwa wanaonekana ku bubujikwa na upendo hadharani. Wabongo mnaweza haya mambo? Au ndio undava undava tu.
  7. My Tribute to Samia Suluhu Hassan! Kenya inaisifu Tanzania!

    Nimejionea hii taarifa nikasukumwa kuandika huu uzi kuhusu serikali ya Tanzania ya sasa! Kwa muda mrefu nimekua mkosoaji nguli wa serikali za CCM kuanzia kwa JK hadi kwa Samia! Kwa hivi karibuni trend ya uchumi wa Tanzania, mapambano dhidi ya Rushwa, harakati za matumizi ya nishati safi, ujenzi...
  8. Kenya: Wizara ya afya imeanza kupambana na mlipuko wa ugonjwa usiojulikana na ambao umeathiri zaidi ya watu 200

    Wizara ya afya nchini Kenya imesema ipo mbioni kupambana na mlipuko wa ugonjwa usiojulikana na ambao umeathiri zaidi ya watu 200 katika vijiji vitatu vya jimbo la Kisii eneo la Nyanza Magharibi ya Kenya. Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya anayehusika na afya ya umma Mary Muthoni anasema tayari...
  9. Kumbe Waziri wa Ulinzi wa Kenya ni Mwanamke kama ilivyo huku Tanzania

    Anaitwa Soipan Tuya, ndiye Waziri wa Ulinzi wa Kenya. Ni mwanasheria kitaaluma akiwa na miaka 46 aliteuliwa mwaka jana mwezi wa 8 na Rais William Ruto kuwa Waziri wa Ulinzi. Kabla ya uteuzi huo, Soipan Tuya alikuwa Waziri wa Mazingira.
  10. Unpopular Opinion: Msanii mkali wa East Africa kwa sasa ni Bien wa Kenya.

    Najua wazee wa prokotoo, ibanie ndani, imeloa nyau, sijui chumvi sugar chumvi etc mtaanza kunikaba koo Kula kwanza hicho chuma https://youtu.be/F1kCWrem5RU?si=Uw7K0stk3hPP3D8z
  11. Queen Elizabeth II's 1972 Kenya Stopover: A Pivotal Moment in Post-Colonial Diplomacy

    Queen Elizabeth II's 1972 Kenya Stopover: A Pivotal Moment in Post-Colonial Diplomacy Queen Elizabeth II's brief stopover in Kenya during March 1972 represented a critical juncture in Anglo-Kenyan relations, occurring exactly two decades after her historic accession to the throne at Treetops...
  12. Dah! Yaan Tanzania imekuwa ya kutumia nyanya kutoka kenya kweli?

    Aisee ilizoeleka kuwa wakenya huja Tanzania kununua mazao na kuyapeleka kwao Kenya ila Hali sio hvyo kwasasa. Wakulima wa Kenya wamejipanga na kuwezeshwa Sasa wameanza kuzalisha zaidi ya uwezo wao mazao kama nyanya, vitunguu na maharage kidogo kwenye mahindi wanashirikiana na wakulima wa...
  13. Diwani wa Ikanga kushtakiwa kwa kughushi nyaraka za gari na utapeli wa Ksh. 2.2 Milioni

    Diwani wa Wadi ya Ikanga, Cyrus Kisavi Musyoka, anatarajiwa kufikishwa mahakamani Ijumaa kwa tuhuma za kughushi nyaraka za ununuzi wa gari ili kulaghai Bunge la Kaunti kiasi cha Ksh. 2.2 milioni. Musyoka anadaiwa kuwasilisha stakabadhi za uongo za kurejeshewa fedha za ununuzi wa gari kwa lengo...
  14. T

    Kenya: Mbunge ashtakiwa kwa kugushi vyeti vya taaluma ikiwemo vya chuo kikuu

    Mwendesha Mashtaka wa umma nchini Kenya alitangaza Jumatano kwamba Mbunge, George Koimburi, ameshtakiwa kwa kughushi vyeti vya masomo. Koimburi, Mbunge wa eneo Bunge la Juja, anakabiliwa na Mashtaka sita, matatu kwa madai ya kughushi nyaraka za masomo na matatu kwa kuwasilisha vyeti hivyo...
  15. Tanzania is light years ahead of Kenya believe it or not!

    The difference starts right at Namanga. Check the trucks at the border. There are no Kenyan Trucks. But TZ Trucks are loaded bringing goods to Kenya and going back empty. 1-0 TZ TZ Roads are clearly marked. Milestones, lanes, speed limits. Which Roads have Milestones in Kenya. Zero. Lanes are...
  16. Raila karibu ubakie na siasa zenu za Kenya huku AU haupawezi hapakufai

    Niwapongeze sana wapiga kura wote walioshiriki kumkataa huyu bwana uchaguzi wa AU, Wengi walijiaminisha baba anakuwa mwenyekiti Ruto akamwingiza chaka eac wamejipanga na atashinda. Haha baadhi ya mambo yaliyomfanya asishinde ni 1.Nchi yake kuruhusu ofisi za RFS za waasi kuwepo huko kenya Src...
  17. A

    Kenya imetoa mwanya kwa Congo River Alliance's kufanya mipango ya mapinduzi Congo na RSF kuigawa Sudan

    Kenya katika EAC inaelekea kuwa kitovu cha mipango hasi dhidi ya serikali kadhaa za ukanda huu. Kabla ya vita kupamba moto DRC, viongozi wa makundi mbalimbali ikiwemo M23 walikutana Kenya na kuunda umoja wao yaani Congo River Alliance's baada ya hapo vita ikazuka ya nguvu sana DRC, mipango hii...
  18. U

    Mke wa Rais wa Kenya bi Rachel Ruto akutana na kufanya mazungumzo na mke wa Naibu wa Rais Dkt. Joyce Kithure

    Wadau hamjamboni nyote? Taarifa kamili hapo chini kwa kimombo: First Lady Rachel Ruto held a meeting with Dr. Joyce Kithure, spouse of the DP which focused on promoting sustainable school feeding in Kenya through food production on school grounds
  19. Kama mtanzania napataje fursa ya kwenda kufundisha nchi kama Shelisheli, Kanada, Norway au Kenya?

    Wakuu mimi ni mwalimu natamani nikafundishe kati ya Nchi tajwa hapo juu tafadhali mwenye miongozo anipatie hapa jukwaani mimi na wanajukwaa wenye shida kama yangu tutashukuru sana Ahsanteni
  20. Moja baada ya mambo yaliyomgharimu Tsishekedi baada ya kuchukua uongozi kutoka kwa Kabila, ni kuiamini Kenya, akaiacha Tanzania

    Mara baada ya kuchukua madaraka kutoka kwa Kabila mtoto, Tsishekedi alikuwa na mahaba makubwa kwa Kenya, akaitelekeza Tanzania. Tanzania ni moja kati ya "watu wa kazi" Walioidhibiti amani ya Congo Mashariki. In fact, Tanzania ni Godfather wa ulinzi na usalama wa ukanda huu. Kosa hilo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…