kiarabu

Bao is a traditional mancala board game played in most of East Africa including Kenya, Tanzania, Comoros, Malawi, as well as some areas of DR Congo and Burundi. It is most popular among the Swahili people of Tanzania and Kenya; the name itself "Bao" is the Swahili word for "board" or "board game". In Tanzania, and especially Zanzibar, a "bao master" (called bingwa, "master"; but also fundi, "artist") is held in high respect. In Malawi, a close variant of the game is known as Bawo, which is the Yao equivalent of the Swahili name.
Bao is well known to be a prominent mancala in terms of complexity and strategical depth, and it has raised interest in scholars of several disciplines, including game theory, complexity theory, and psychology. Official tournaments are held in Tanzania, Zanzibar, Lamu (Kenya), and Malawi, and both mainland Tanzania and Zanzibar have their Bao societies, such as the Chama cha Bao founded in 1966.
In Zanzibar and Tanzania there are two versions of Bao. The main version, which is also the most complex and most appreciated, is called Bao la kiswahili ("Bao of the Swahili people"). The simplified version is called Bao la kujifunza ("Bao for beginners"). There are a variety of other mancalas across East Africa (and part of the Middle East) that are related to Bao. One of them is the Hawalis game of Oman; it is also known in Zanzibar, where it goes by the name "Bao la kiarabu" ("Bao of the Arabs"). Another major relative of Bao is Omweso (played in Uganda), which employs an equipment similar to Bao, and has some similar rules.

View More On Wikipedia.org
  1. Hemedy Jr Junior

    Majina ya kiarabu na kizungu ndo bora kuliko majina yetu ya asili?

    Ukiitwa Abubakar...unajiona wewe umemaliza, ukiitwa petro unaona hakuna jina hilo andiko gani linasema majina ya kiarabu au ya kizungu ndo mazuri na yanafaa watu kuwa nayo. Uzuzu mbaya sana hii inaleta sana (historia kidogo hapa Tanganyika kabla ya tanzania watu waliokuwa na majina ya kiarabu...
  2. Mung Chris

    Mdada wa kiarabu, kizungu au shombe anahitajika haraka sana

    Wana JF Nina rafiki yangu ni mchanganyiko wa kihindi na mwafrka yupo Dar ameajiriwa na kampuni flan kubwa sana ameniomba nimsaidie kupata mke wa kiarabu au mwenye asili ya kiarabu au kizungu au mzungu ili aoe. Yeye umri wake 46, anao watoto 2. Wataongea wafahamiane wakikubaliana tabia basi...
  3. J

    Huu ndiyo Ukubwa wa Simba: Timu 8 zitakazoenda robo fainali CAFCl, zote zinatokea nchi za Kiarabu isipokuwa Simba na Mamelodi

    Wakuu huwa tunaongea kimasihara hapa na kuiponda Simba, kumponda mwekezaji Mo Dewji na kimuita majina ya ajabu. Wacha-mbuzi uchwara nao utawasikia wakiiponda Simba na kuiita timu ya hovyo. Lakini kiukweli Simba japo haipo kwenye kiwango chake cha ubora, bado ni timu kubwa sana Afrika...
  4. Hemedy Jr Junior

    Fahamu ya kwamba kiarabu sio uisalamu

    Watu wengi wakisikia mtu anaongea kiarabu anasema yule muislamu sio kweli (kiarabu ni lugha kama lugha nyinginezo Duniani sema maneno ya yaliyoandikwa kwa Quran yameandikwa kwa lugha ya kiarabu so TUELEWANE. Bible yenyew imetafsriwa kwa lugha ya nyingi sana . Sipo kwa kuongelea dini mimi hapa...
  5. Komeo Lachuma

    Israel Defence Forces wakiwa Uturuki kuwaokoa waathirika wa Tetemeko. Nchi zetu za Kiarabu zinasubiri nini? Iran

    Nimeshangaa sana hawa Waisrael ambao hatuishi kuwasema kwa ubaya wamekuwa mstari wa mbele kwenda kuokoa Waarabu wa Uturuki. Pamoja na Ukafir wao. But nashangaa Iran huyu ambaye nampenda sababu anajaribu sana kumsaidia Mrusi kwenye vita dhidi ya Ukraine. Amenyamaa tu. Saud Arabia, Iraq,Pakistan...
  6. Execute

    Kwanini nchi za kiarabu zinapingana na Quran kwa kufuta ndoa za wake wengi?

    Nchi ya Uturuki, Tunisia na Iraq zimefuta kabisa ndoa za wake wengi huku Saudi Arabia ikiwa imeweka masharti makali kiasi kwamba hakuna watu wanaooa wake wengi. Iran yenye watu milioni 88.5 ina ndoa za wake wengi zinazofikia laki moja tu. Algeria zinaelekea kupotea. Swali hapa ni kwanini hizi...
  7. D

    Morroco ni Taifa la Kiarabu linaloishi Afrika

    Tofauti na "Ngozi nyeusi" wengi tunavyoamini au kuaminishwa, Hakuna mataifa yenye waarabu yalioyo barani africa hupenda kutambuliwa kama waafrika. Haya mataifa hutumia uafrika tu pale kwenye maslahi Yao Fulani Fulani nyeti, Lakini ukweli wanajisikia KINYAA kujitambukisha ni Waafrika. Mafanikio...
  8. BAKIIF Islamic

    Bingwa wa kusilimisha Wakristo ameingia Qatar Wakristo wengi wahofiwa kusilimu. Eneo la FIFA lapambwa kwa maneno ya Mtume Muhammad S.A.W

    Qatar, imemualika mhubiri mkali zaidi duniani, ambaye kwa maneno yake amefanikiwa kusilimisha mamilioni ya Wakristo duniani. Huyu ni bingwa Zakir Naik Zakir Naik tayari amefika Doha nchini Qatar kabla ya Kombe la Dunia la FIFA 2022, na atatoa mihadhara ya kidini katika muda wote wa mashindano...
  9. Execute

    Siku si nyingi namuoa binti mwenye asili ya Kiarabu kutoka Tanga, amekubali kubadilisha dini

    Huyu binti nilimkubali sana tangu nilipomuona mwaka jana na tumekuwa na mahusiano murua. Ni binti mpambanaji tofauti na wengi kutoka mkoa huo. Baba yake alikuwa msambaa asilia (alishafariki) lakini mama yake ni chotara wa kiarabu na hivyo binti amekuwa na hizo elements za kiarabu katika...
  10. NetMaster

    Inakuwaje nchi nyingi kubwa za Kiarabu mpaka leo hii zimeshindwa kuiteketeza nchi ndogo kama Israel?

    Hii nchi kwangu inanishangaza sana, Ni ka nchi kadogo lakini manchi mengi makubwa yaliyodhamiria kuifuta kwenye rmani ya dunia hayajaweza mpaka leo. Ni mwendo wa kupigana, Ni sawa na Sungura na Tembo wanapigana kitu ambacho ni kama mazingaombwe. Pia nimesoma historia kadhaa kuona kwamba nchi...
  11. H

    Kwanini Redio nyingi hapa Tanzania siku ya Ijumaa wanapiga zaidi nyimbo za kaswida za Kiarabu kuliko Kiswahili?

    Ndugu waamini wa dini mbalimbalini nawasalimu kwa jina la bwana muumba wetu. Siku ya Ijumaa ni siku ya ibada na mara nyingi inakuwa kama ni siku nusu ya kazi kutokana na waamini wengi wa dini ya Kiislam kwenda kusali. Sasa hata kwenye redio zetu ambazo ni nyingi sana kwa sasa hapa Tanzania...
  12. Lanlady

    Ndiyo kusema Tanzania imejiunga kwenye Umoja wa Nchi za Kiarabu kimya kimya?

    Nauliza swali hili kutokana na mabadiliko ya lugha katika baadhi ya bidhaa ambazo hapo kabla hazikutumia lugha ya Kiarabu. Ningeweza kuweka baadhi ya picha za bidhaa hizo, lakini kwa sababu za kibiashara nimeona si vyema. Kama tayari tuko kwenye umoja huo, tuambiwe ili tujue. Kwasababu hata...
  13. kyagata

    Hivi inakuwaje mtu anajua kusoma Quran ila lugha ya kiarabu haijui?

    Naomba kueleweshwa, binafsi huwa naona Quran ni maandishi ya kiarabu. Sasa kuna maustadhi kama wanne hivi kwa nyakati tofauti nimewahi kuwapa gazeti lenye maandishi ya Kiarabu wanisomee na kunitafsiria ila cha ajabu wameshindwa. Je, kuna tofauti ya lugha iliyotumika kuandika Quran na lugha ya...
  14. Diversity

    KWELI Tanzania yaingia mkataba na Falme za Kiarabu kuzalisha Umeme jadilifu megawatt 2000

    Tanzania imeingia mkataba na Falme za Kiarabu kuzalisha Umeme jadilifu megawatt 2000. Kukamilika kwa miradi hii kutapelekea Bei ya Umeme kupungua sana.
  15. and 300

    Wapi naweza kujifunza lugha ya KIARABU

    Wakuu nimepata fursa ya biashara ya kuuza Mkaa katika nchi wanazozungumza Kiarabu Egypt, Oman, Bahrain, Kingdom of Saudi Arabia, UAE na Qatar. Ili kurahisisha mawasiliano nimeona nijifunze lugha pendwa. Wapi naweza kujifunza kwa Dar es Salaam? Gharama sio tatizo. **Walimu wawe professional...
  16. Equation x

    Warembo wa Kiarabu, wanapatikana wapi?

    Nimejaribu kuzunguka mtaa kwa mtaa, zaidi ya miezi 3, ili nipate mchepuko wa kiarabu; lakini bado sijafanikiwa. Naimani, nikipata mrembo wa umbo namba 8, wa Kiarabu; akili yangu itatulia na kufanya mambo mengi ya msingi. Wakuu, wanapatikana wapi hawa warembo wa Kiarabu?
  17. Sol de Mayo

    Tupo tayari kuunda "NATO" ya kiarabu: JORDAN

    Itapendeza sana ikiwa hivi 1 Oman 2 Emirates 3 Saudia Arabia 4 Qatar 5 Bahrain 6 Kuwait 7 Egypt 8 Jordan 9 Algeria 10 Morocco 11 Tunisia 12 Palestina 13 Lebanon Tunawaombea heri kubwa hawa ndugu zetu ,Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi jambo lao litimie. Ambae itamchoma na kumuumiza hii mada...
  18. Roving Journalist

    Dodoma: Rais Samia akutana na Kuzungumza na Waziri wa Nchi kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) Maitha Al Shamsi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Mhe. Maitha Al Shamsi Waziri wa Nchi kutoka Umoja wa Falme za Kiarabu UAE Ikulu Jijini Dodoma tarehe 31 Machi, 2022. Huu ni mwendelezo wa ziara ya Mhe. Rais Samia aliyoifanya katika Falme za Kiarabu UAE...
  19. my name is my name

    Wasichana wa kiarabu na kisomali wananuka miguu

    Waswahili wanasema tembea uone. Aijalishi utaona magorofa au nini wee tembea tu utachokiona ndo iko iko ulitakiwa ukione 😉 Miii katika tembea yangu nimekutana na kitu cha kustajabisha. Nikiwa chuoni nmebahatka kuishi room moja na wasichana wa mataifa mbali mbali, uarabuni, wasomali...
  20. figganigga

    Rais Samia kumbe anajua kuongea Kiarabu Vizuri. Nimemsikia alipokuwa Ikulu ya Tunguu Zanzibar

    Salaam Wakuu Leo ndo nimeamini Tanzania ina hazina kubwa. Marais wengine wanajivunia kuongea vernaculars (Kiingereza Kilugha cha kwao na Kiswahili). Lakini ni tofauti na Rais Samia. Anaongea Lugha zaidii ya Nne kwa ufasaha. Rais Samia hapendi kujitapa kwqmba anajua Lugha. Ila leo alipokuwa...
Back
Top Bottom