kigamboni

  1. ommytk

    Trafiki Kigamboni mbona wengi kiasi hiki barabarani

    Kwa wakazi Kigamboni kuna jambo kidogo linanipa shida barabara za Kigamboni mbona zina askari wa barabarani wengi toka feri mpaka kufika Kongowe unakutwa ushasimamishwa mara 4 daaah hii ni zaidi hata ya mikoani najiuliza huku kuna wavunja sheria wengi au.
  2. J

    Uchaguzi 2020 Ubunge: Butiama Madaraka Nyerere vs Jackton Manyerere, Iringa Steve Nyerere vs Pierre Liquid na Kigamboni Yericko Nyerere vs Paul Makonda!

    Naona akina Nyerere bila kujali yupi ni Original na yupi ni fake wameamua kuusaka ubunge kwa udi na uvumba mwaka huu. Hata Makongoro Nyerere wakazi wenzio uliowaacha Mwananyamala Komakoma wanakukaribisha ugombee jimbo la Kinondoni kama itakupendeza. Mungu aubariki uzao wa Mwenye heri Julius...
  3. Kiboko.

    Askari wa usalama barabarani waliopo Kigamboni mnaudhi sana

    Habari wanabodi, Kigamboni sasa imekuwa kama mkoani trafic wenye torch wapo kila barabara, kitu kinachofanya wakazi wa Kigamboni kuhisi kama ni mateso, barabara hazina folen kulazimishwa kutembea speed 50. Mbona Nyerere ,Mandela,Ali Hassan Mwinyi, Barack Obama, Bibi Titi, Morogoro na Bagamoyo...
  4. Acehood

    Naomba kujuzwa bei ya nyumba Avic town, Kigamboni

    Habari wakuu. Hivi zile nyumba(avic town) pale kigamboni, bei yake ina range kuanzia shilingi ngapi?. Yale mazingira yanavutia kwa kweli.
  5. Miss Zomboko

    Makonda atoa siku 10 kwa Wilaya ya Kigamboni kuhakikisha hospitali inaanza kufanya kazi

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda ametoa siku kumi kwa uongozi wa Manispaa ya Kigamboni kuhakikisha Hospital hiyo inaanza kutoa huduma kwa wananchi ifikapo June Mosi baada ya Majengo yote ya Hospital hiyo kukamilika. RC Makonda ametoa agizo hilo leo wakati wa ziara ya kukagua...
  6. J

    Uchaguzi 2020 Sasa ni dhahiri ubunge Kigamboni itakuwa Makonda (CCM) vs Yericko Nyerere (CHADEMA)

    Bila kupepesa macho naweza kusema sasa macho ya wanakigamboni yanawaangalia wanasiasa vijana wawili Paul Makonda wa CCM na Yericko Nyerere wa CHADEMA kama wagombea watarajiwa wa ubunge. Mungu awabariki vijana hawa ambao mmoja ni mkuu wa mkoa na mwingine ni mwandishi nguli wa vitabu vya mbinu za...
  7. K

    Nitampata wapi Daktari na hospitali nzuri ya macho mzuri?

    Habari wakuu, Ninasumbuliwa na macho, ni hospital gani ya private naweza pata daktari mzuri wa macho siku ya leo? Msaada wenu kwa anayefahamu tafadhali.
  8. Erythrocyte

    Naibu Waziri wa Afya Faustine Ndugulile aelezea aina za Barakoa za kuvaa na Utaratibu wa kutengeneza ya kitambaa

    Kuna haja kubwa sana kwa Masuala ya Afya kuzungumzwa na wataalam wa Sekta hiyo tu na si vinginevyo , mtu aliyesomea Kahawa na vitunguu hawezi kuyajua mambo haya . ====== Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Faustine Ndugulile, ametolea Ufafanuzi Clip...
  9. SankaraBoukaka

    Hivi Traffic Police wa Kongowe Mwisho na SUMATRA, mnafahamu uhuni wa daladala za Kigamboni - Mwandege au mnakula 10%?

    Nimekuwa mtumiaji wa hii route ya KIGAMBONI mpaka KONGOWE kwa muda mrefu nikiwa na safari kati ya Kigamboni na Mkuranga. Kwa ujio wa safari za daladala kati ya KIGAMBONI na MWANDEGE nilipata ahueni ya nauli na muda.. Na hii route madereva na makonda wengi walikuwa wakiipigia kelele...
  10. rodian

    Kigamboni Sports Complex: Home of Champions

  11. hp4510

    Mwenye kiwanja Kigamboni Geza

    Wakuu, Naitaji kiwanja maeneo ya Geza bajeti yangu ni milion 7 Kama kuna mtu yeyote mwenye nacho ani-DM
  12. J

    Waziri Lukuvi atekeleza agizo la Rais Magufuli, aikabidhi Halmashauri ya Kigamboni ekari 715 za ardhi

    Waziri wa ardhi mh Lukuvi leo ametekeleza agizo la Rais Magufuli kwa kuikabidhi halmashauri ya Kigamboni ekari 715 zilizokuwa za Quality group iliyozimiliki kupitia International Village ltd. Rais Magufuli alitoa siku 7 kwa Waziri Lukuvi awe ameikabidhi ardhi hiyo kwa halmashauri ya Kigamboni...
  13. S

    Maagizo ya Magufuli kwa Halmashauri ya Kigamboni; "Jengeni ofisi ya CCM". Hivi ni mimi nisiyemuelewa Rais au kuna wengine pia?

    Kuna wakati najaribu kumwelewa Raisi wangu Magufuli ili angalau niendane na kasi yake, lakini karibu kila ninapojaribu kufanya hivyo, ninashindwa kwa 85%. La hivi karibuni ni haya magizo aliyotoa wakati wa uzinduzi wa wilaya ya Kigamboni. Kulingana na taarifa za IPP Magufuli ametoa maelekezo...
  14. Roving Journalist

    Uzinduzi Wilaya ya Kigamboni: Rais Magufuli anazindua Jengo la Manispaa na Jengo la Mkuu wa Wilaya

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 11, Febuari, 2020 anazindua Jengo la Manispaa ya Kigamboni na Jengo la Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni katika Eneo la Gezaulole Kigamboni Jijini Dar es Salaam Rais Magufuli akikata utepe wa uzinduzi wa Jengo hilo...
  15. Mkwanzania

    Wapi New Kigamboni City?

    Waungwana habari zenu. Leo nimekaa nikawa napitia pitia makarabrasha mbalimbali ya mipango ya serikali nikakutana na hili la mji mpya wa Kigamboni. Katika pitia zangu nikaona jinsi ile master plan ilivyokuwa inavutia na kubarisha kabisa maisha na taswira ya jiji la Dar es Salaam. Hapa naona...
  16. FRANCIS DA DON

    Namna ya kujenga daraja jipya Ferry - Kigamboni ndani ya siku 3 tu

    Ni kwamba zinawekwa ferry tatu (3) tu ndefu na zenye milango mirefu ya kufunguka ambapo zinagusana mwanzo hadi mwisho na hivyo kutengeneza barabara inayoelea baharini. Na ikitokea meli inataka kupita pantoni la katikayi linajikata na kupisha meli kisha inarudi mahala pake. Picha hapo chini ina...
  17. frama

    Plot4Sale Near the beach at Mbutu Mkwajuni, Kigamboni

    Kimepimwa (surveyed) 400 meters kutoka baharini 3 kilometers kutoka Dege Eco Village Barabara nzuri inapitika muda wote Kumeendelea (kumejengeka) Kiwanja square meters 574 Bei ni Tshs 9,000,000 (9 millions Tsh mazungumzo yapo) Mawasiliano: +255714908121
  18. S

    Visima vya mafuta vya Lake Oil, Kigamboni vinateketea kwa moto

    Habari nilizopata hivi punde ni kwamba Tukio hili linatokea sasa hivi sa tatu na nusu usiku. Moto mkubwa unawaka katika visima vya Mafuta vya Lake Oil Kigamboni. Kwa walioko karibu tafadhali tupeane updates kuhusu usalama na yanayoendelea kwa sasa Wakazi wa Kigamboni,Kisiwani,Vijibweni na...
  19. Influenza

    Temeke, Dar: Mwenyekiti wa Mtaa aliyepita bila kupingwa mbaroni kwa tuhuma za wizi wa Tsh. Milioni 12

    Mwenyekiti wa Mtaa wa Changanyikeni Kata ya Toangoma katika Wilaya ya Temeke kwa tiketi ya CCM, Suzanne(Dionisia) Kamugisha amekamatwa akidaiwa kuiba Tsh. 12,000,000/-. Mruhumiwa na wanae wawili wsnashikiliwa kituo cha polisi Mbagala. Inadaiwa juzi, mwanaye aliyeajiriwa katika duka la simu-pesa...
  20. Kinoamiguu

    Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni Bi. Pili Msafiri jitafakari

    Mkuu wa wilaya ya Kigamboni jana alikuwa kituko kwenye maadhimisho ya kilele cha siku ya Ukimwi duniani. Kama wakuu wa Wilaya wapo hivi basi safari ni ndefu nitaeleza 1. Mavazi ya disco kwenye tukio la kidunia. Bi Sara Msafiri alikuja viwanjani hapo huju akiwa amevaa kipedo cha kubana ndii...
Back
Top Bottom