Hello,
Kuna mdogo wangu wa kiume yupo Kigoma anatafuta kazi yoyote iwe ya kuuza duka, kusimamia lodge au bar, kusimamia mashamba ama miradi, stationary n.k
Ana elimu ya kidato cha 4 ila pia amesomea masuala ya marketing level ya cheti, ni mpambanaji sana.
Ana uzoefu wa kutumia computer na...