kijana

Michael Christopher Kijana Wamalwa (25 November 1944 – 23 August 2003) was a Kenyan politician and, at the time of his death, served as the eighth Vice-President of Kenya.

View More On Wikipedia.org
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Dogo Edu wa Tamthilia ya Pazia ndiye muigizaji Bora kijana atakayekuja kushika Bongomovie

    Habari Wakuu! Leo Kwa habari za Burudani na Sanaa, nimekuwa nikifuatilia Tamthilia za hapa na pale za bongo kama sehemu ya kusapoti na kuona kile wakifanyacho wenzetu katika Tasnia hiyo. Nikakutana na Dogo mmoja hivi ambaye ameigiza kwenye Tamthilia ya Pazia, namfahamu Kwa jina moja "EDU"...
  2. JanguKamaJangu

    Njombe: Vijana wagomea kumzika kijana mwenzao wakihoji kwanini Wazee hawafi?

    Baadhi ya vijana wa mtaa Kikula na Kipagamo halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe wamezua taharuki makaburini na kusababisha masikitiko kwa wazee wa mitaa hiyo baada ya kitendo cha kugoma kuushusha mwili wa marehemu Peter Kibiki (30) kaburini na kuuzika wakihoji ni kwanini vijana...
  3. DR HAYA LAND

    Kama kijana hakikisha unakuwa karibu na Tajiri kwa vyovyote vile.

    Kama kijana Hakikisha unakuwa karibu na Tajiri . Tajiri watu muhimu Sana hawana baya . Na ukiwa na urafiki na Tajiri usiombe. Pesa omba connection tu . Na msalimie kwa maneno mafupi kwa kuanza na nomino pia tumia lugha ya mkato na sio vifupisho. Tajiri anapenda kujulikana uwepo wake...
  4. Dalton elijah

    Kijana wa Sabasaba Mkoani Lindi ajikata sehemu zake za Siri

    Kijana Simon Nyamsika (30) mkazi wa sabasaba mjini Lindi, amelazwa katika wodi ya uangalizi maalumu (ICU) katika hospitali ya rufaa ya Sokoine mkoani Lindi kwa kile kinachodaiwa kuwa amekata sehemu zake za siri kwa kitu chenye ncha kali na kuiondoa kabisa sehemu hiyo Taarifa inasema kijana...
  5. BARD AI

    Kikongwe wa miaka 90 adaiwa kuuawa kisa kumkataza kijana asipande mnazi

    Hilda Ngassa (90) ameuawa kwa kudaiwa kukatwa kwa panga na Yohana Luhanga (32) ambaye naye ameshambuliwa na wananchi wenye hasira kali na amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma akipatiwa matatibabu. Inadaiwa sababu za kuuliwa kwa Hilda ni kutokana na kumkataza Luhanga asiangue...
  6. FORTUNE JR

    Wanawake waliotuzunguka ni puto na sindano kwenye mafanikio ya vijana wengi wa kiume

    80% ya wanawake waliotuzunguka Ni puto na Sindano kwenye mafanikio ya vijana wengi wa kiume. Imenichukua mda mrefu kuiva katika hili ila ndani ya mda mfupi ntakupa nondo zililivotukuka zitakazokujenga na kubadili maisha yako sana Let's Go.... Ilikuwa ni Asubuhi moja Murua, Nikiwa katika...
  7. P

    SoC03 Ndoto ya Kijana leo...

    NDOTO YA KIJANA LEO Kulikuwa na kijana mdogo aitwaye Leo, aliyeishi katika mji mdogo uliojaa vurugu na utawala usio bora. Kila siku, alikumbana na ukiukwaji wa haki za binadamu, ufisadi, na kukosekana kwa uwazi na uwajibikaji katika serikali yao. Leo alikuwa na ndoto ya kuishi katika nchi yenye...
  8. The Eric

    Kwanini kijana wa kiume ukisema kuna hela naisikilizia huaminiki?

    Salaam! Hivi kwanini wakuu watu siku hizi ukiwaambia kuna hela nasikilizia hapa au kuna mishe naisikilizia hapa wanaona kama kijana analeta janja janja 😅😅😅 Tena ukitaka uachane na demu akuombe pesa afu umjibu kuna mishe nasikilizia hapa itiki ✅ ✔ yaani ile ikitiki nitakusanua, huyo demu lazima...
  9. F

    Kwa anayehitaji kijana wa kusimamia nyumba yake au mradi kijana muaminifu yupo.

    UPDATE: kafanikisha
  10. Roving Journalist

    Simiyu: Askari wawili wadaiwa kumshushia kipigo kijana na kumsababishia kifo wakimtuhumu kuiba baiskeli

    Kijana aliyefariki anaitwa Mandela Petro inadaiwa alishambuliwa akiwa mtaani na Askari wawili wakimshutumiwa kuhusika katika wizi wa baiskeli ambapo baadaye baiskeli husika iliyodaiwa kuibiwa ilipatikana na kubainika marehemu hakuwa mwizi, Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu. Ikidaiwa mmoja wa Askari...
  11. Rwetembula Hassan Jumah

    Makubwa(Kijana anayetrend Mitandaoni kwa kuuza Condom Mtaa kwa mtaa

    Hii Nchi ngumu sana ... nauliza hivi kondom zinarusiwa kuuzwa hadharani? Kama anavyofanya kijana huyu. Doooh
  12. Mnada wa Mhunze

    Tundu Lissu: Rais Samia na Mbarawa wameiuza Tanganyika yetu kwa Waarabu

    Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya... Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyonayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO. Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa...
  13. The bump

    Kijana wa Kiume Unaejua kutumia Computer vizuri unahitajika

    Sifa Ujue kutumia computer vizuri Ujue kupiga window na kugundua tatizo computer inapo misbehave Ujue kusolve matatizo yatakayojitokeza endapo computer italeta mushkeli Uwe na wadhamini Majukumu Kuingiza Movie na Nyimbo kwa Wateja Mshahara 250,000 (kwa mwezi) OFISI ilipo Dar es salaam -...
  14. M

    SoC03 Ukweli usemwe! Kijana usipojifunza kutafuta pesa umasikini ni rafiki yako

    Tunatumia pesa kila siku na tunahitajika kutafuta pesa kila siku usiruhusu siku ipite bila kutengeneza pesa,na njia pekee ya kutengeneza pesa nikujifunza kutengeneza pesa.naumia sana nikimuona kijana mwenzangu wasasa pamoja na fursa zote hizi zilizopo bado anashindwa kujipatia kipato chochote...
  15. Meneja Wa Makampuni

    SoC03 Mkopo maalumu kwa kila kijana kutatua tatizo la ajira nchini Tanzania

    Kichwa cha andiko letu: Mkopo maalumu kwa kila kijana kutatua tatizo la ajira nchini Tanzania. Utangulizi Tanzania, kama nchi nyingine nyingi, inakabiliwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa ajira kwa vijana. Hali hii imekuwa ikisababisha ukosefu wa fursa za maendeleo na kuathiri ukuaji wa...
  16. Mwamuzi wa Tanzania

    Hii nchi ni rahisi kupata pesa. Kijana usikubali kukaa bila pesa

    Mwone kijana mwenzako huyu ana pesa. Tanzania pesa kila sehemu zimejaa, shambani, sokoni, kazini, mitaani. Ni wewe tu kutumia akili kidogo unazipata.
  17. Jackline Malavanu

    SoC03 Kijana wa Kitanzania na soko la ajira duniani

    Tanzania ni moja kati ya nchi nyingi barani Afrika ambazo, zina wimbi kubwa la vijana wasiokuwa na ajira hasa , wahitimu wa vyuo vya kati na vyuo vikuu. Jambo hili likionekana kuchochea sana vitendo vya kihalifu hasa, katika miji mikubwa kama Dodoma, Dar es salaam na Mwanza. Sio kwamba...
  18. Librarian 105

    Kijana ni Taifa la leo. Tukatae kusahaulika na kutumika Kisiasa na Kiuchumi

    Kila nikitafakari hatma yetu sisi vijana naumia kutoiona kesho yetu katika nchi ya ahadi. Kiuchumi tunakabiliwa na ukosefu wa ajira na kisiasa tunaambiwa ni taifa la kesho. Ingawa tuna hussle na maisha lakini hatupo pamoja kiroho na kimwili kupamambania haki zetu kitaifa. Tufanyaje? Kupitia uzi...
  19. CONTROLA

    Kijana Unaetafuta kazi, Uwe unajua Kuendesha Pikipiki/Gari

    Kichwa cha habari hapo Juu,Nahitaji kijana wa kiume anaejitambua mwenye usongo wa Maisha kama SIMBA Sifa za Kijana ninae Mtaka : Elimu yoyote Ujue kutumia Computer (lazima) Ujue kuendesha Gari/PikiPiki (lazima) Uwe Mkazi wa Dar Usiwe na Ulemavu wa aina yeyote Uwe na Wadhamini Wanaoishi Kwao...
  20. Teslarati

    Stori ya huyu kijana imeniumiza sana, ama kweli wanawake legezeni kamba kuwanusuru vijana waliobakia dhidi ya hili janga la wanawake toleo jipya

    Nina muda kidogo sipo active humu, ila hii story imefanya nirudi sababu naamini JF inawafikia watu wengi. Huyu dogo anafanya kazi ofisini kwetu, alipata scandal za kutoka kimapenzi na kijana fln hv shoga hivyo ikaleta vulumati sana pale kazini. Mimi ndie msimamizi wake wa kazi hivyo dogo...
Back
Top Bottom