kike

The word kike () is an ethnic slur for a Jew.

View More On Wikipedia.org
  1. Kijana LOGICS

    Kwanini Walimu wa kike wamerundikana shule za mjini?

    Asilimia kubwa ya Walimu wote shule za vijijini ni wanaume. Kuna shule hazijawahi kuwa na mwalimu wa kike tangu kuanzishwa kwake. Kuna mtindo wa kurundika walimu wa kike shule za mjini kwa kigezo cha mazingira . Mwalimu wa kike akiajiriwa kijijini kidogo tu huyo amehama . Pita shule zilizopo...
  2. C

    Mtaalamu: Wanaume wanaokunywa bia wana homoni nyingi za kike

    Sijasema mimi bali amesema mtaalam aliyenukuliwa na mtandao wa ommy msafi news hivyo nendeni huko mkaisikilize clip yake Kitu pekee ninachofurahi cognizant mimi ni kwamba sinywi bia na haitotokea nikaja kunywa bia. Akhsante mtaalam kwa ukweli wako
  3. LIKUD

    Wanafunzi wa kike shule za sekondari nyingi Mtwara wanadanga na wazazi ni kama wamebariki kabisa

    Ifike mahali sasa serikali ifanye uamuzi wa busara. 1. Ipunguze umri wa mwanamke kuruhusiwa kuingia katika ndoa kutoka miaka 18 hadi ( 14 & 15) kwa watu wa dini zote sio waislamu pekee maana sheria ya Ndoa ya mwaka 71 inasema kwamba mtoto wa kike Muumini wa dini ya kiislamu anaruhusiwa kuingia...
  4. R

    Wasanii wanaume mfano Ze Comedy kuvaa nguo za kike na television ya Taifa na media kuwaruhusu kurusha vipindi vyao siyo kumomonyoa maadili?

    Tunapiga vita mmomonyoko wa maadili kila siku. Tunalalamika katuni na vitabu vinavyoletwa kwetu vinamomonyoa maadili. Lakini wakina JOti, Masanja ambaye pia ni mchungaji na wenzie tunaowaona wakiwa wanautweza uume na kuuvaa ukike. Wanavaa mavazi ya kike, wanapaka mapambo ya kike, wanatembea...
  5. Ritz

    Hamas wametoa video ya wanajeshi wa kike wa Israel waliokamatwa kwenye vita Gaza

    Wanaukumbi. Hamas ilitoa video ya wanajeshi wa kike wa Israel waliokamatwa kwenye uwanja wa mapambano Gaza. Walisimamia machapisho ya uchunguzi ambapo waliendesha bunduki za mashine zinazodhibitiwa kwa mbali. Walikamatwa baada ya kambi yao ya kijeshi kuzidiwa na wapiganaji wa Hamas, na...
  6. S

    Wajue waimba gospel wa kike ambao wamevunja ndoa zao baada ya kuwa maarufu

    Tulitarajia waimabji wa gospel waishi maisha ya kumpendeza Mungu (maisha ya kiuokovu). Lkn cha ajabu ni wahuni kama wahuni wengine tu. Gospel ni kichaka tu cha kufichia hulka zao za kiuasherati. Wafuatao ni baadhi ya waibaji wa gospel wa kike waliovunja ndoa zao baada ya kupata umaarufu:- 1...
  7. TUKANA UONE

    Hii Midoli inayovalishwa Nguo za ndani za Kike na kusimamishwa hadharani inawaaibisha wanawake na mama zetu!

    Ukihitaji salamu subiri kwanza Boxing day ipite,la sivyo utaambulia Pilau kavu lisilokuwa na nyama! Leo nilikuwa na wazazi wangu wa kike nilikuwa nawapeleka mahali fulani,sasa mahali nilipokuwa nawapeleka jirani ya huyo mtu aliyepaswa wakaonane nae kulikuwa na duka la nguo za ndani (Lingerie)...
  8. LIKUD

    Madee my brother, pole sana kwa issue ya picha mbaya za binti yako

    Juzi niliandika Uzi hapa nikisema Mtoto wa kike anakuwaga mzuri sana kwa baba akiwa bado hajavunga ungo ila akisha vunja ungo anakuwa an alien to her daddy. Watoto wadogo waliniponda lakini watu wazima walikubaliana na nilicho kiandika. Hazijapita hata siku mbili tumeyaona ya mtoto wa Madee...
  9. LIKUD

    Mdogo wangu Shetta naomba nikukumbushe kitu muhimu sana " Mtoto wa kike huwaga ni mzuri sana kwa baba akiwa bado haja vunja ungo"

    Akisha vunja ungo she will become a stranger to you. Utabaki unashangaa na kujiuliza, hivi huyu ndio binti yangu yule yule alie kuwaga ananisikiliza na kunitii kwa kila jambo alipokuwa na miaka 10-12 au ni nini hiki? Na hapo ndipo utajua kwanini North na South huombana msamaha kila siku...
  10. Balqior

    Sijajua kwanini inakuwa changamoto kwangu kupata platonic female friends (marafiki wa kike)

    Hi, ninavomaanisha platonic female friends namaanisha marafiki wa kike ambao sijawahi kuwatongoza, sijawahi kutembea nao, na sina mpango wa kuja kuwatongoza au kutembea nao. Utakuta nakutana na mdada naipenda personality yake, nachukua namba yake, naamua kumfanya rafiki wa jinsia tofauti kwa...
  11. sky soldier

    Mnaowalea watoto wa kike bila kuwafundisha kazi za nyumbani mnawaandalia mazingira gani wakiwa wakubwa?

    Ni siku ya leo nimekumbuka nikiwa kwenye mahusiano hapo miaka ya 2015 na binti moja mrembo, mapenzi yalinoga sana lakini baada yakuanza kuishi nae niliona mapungufu mengi sana, la kwanza kabisa alikuwa hajui kupika yani ugali sometimes unakuwa mbichi halafu hata hajishughulishi kuongeza mboga za...
  12. Melki Wamatukio

    Video: Kama wazazi tumejenga mazoea na watoto wetu wa kike namna hii, tutawaacha salama kweli!?

    Aisee, haya mambo tuliyasikia huko Ulaya, lakini nowdays si ajabu kuyakuta Afrika. Inasikitisha sana, huu ni zaidi ya mmomonyoko wa maadili
  13. sinza pazuri

    Ukweli usemwe: Zuchu ndio supastaa wa kike namba moja kwa sasa Tanzania

    Kuna wakati ni busara kuukubali ukweli hata kama unakuumiza. Zuchu ndio supastaa namba moja Tanzania kwa wanawake. Ndio mwanamke very powerful na mwenye ushawishi zaidi ya wote ukimtoa Rais. Kingine ndio demu wa Diamond Platnumz hata kama kuna watu wanaumia wanamshambulia sana haswa wanawake...
  14. Eternally to be

    Rafiki wa kike muislamu

    Hellow love connects
  15. Pang Fung Mi

    Nimekataa na nitaendelea kukataa kuchomwa sindano ya kalio na wauguzi wa kike wadogo kiumri

    Sekta ya Afya inabidi ijitafakari sana, ebu fikiria yaani mimi kama mimi baharia Wadiz nichomwe sindano na kabinti kadogo ka nurse umri 20 yrs, hivi hii ni haki hako kamanzi ka hio age kanishike tako, hio hapana, it can't be. I think age has to be customized with service delivery, huyo nurse...
  16. Poppy Hatonn

    Hii ni kama ile ya Salma Kikwete kuwaambia wanafunzi wa kike wasikubali kudanganywa na vichipsi

    Hakuna kosa la ukahaba. Wale wanawake waachiwe watafute pesa wanavyojua. Ni kosa mtu mwenye hela nyingi kuwashangaa wanawake wanaofanya ukahaba. Dini ya Kikristu haikatazi haya mambo. Unakumbuka Papa Francis alifanya mkutano na wauza vipodozi. No kidding! Papa alifanya mkutano na wauza...
  17. BICHWA KOMWE -

    Kwanini iPhone zimekaa kikike kike?

    Mara ya kwanza nilidhani iPhone ni simu za watu wenye ujiko hivi au hadhi fulani. Lakini baadaye nikagundua iPhone zimekaa kidada dada, hata wanaomiliki wengi wao ni kama wana mikogo ya kujishebedua kuliko kuzingatia matumizi halisi ya simu husika. Wanakwambia ati wanataka SECURITY, mtu...
  18. Eli Cohen

    Kiukweli, sio upendeleo au mapenzi, ila huyu ndie msanii bora wa kike hapa Tanzania

    Kuna kitu special kilichopo ndani ya huyu mdada. Despite na uigizaji na uandaji mbovu wa filamu bongo lakini unapokutana na huyu mtu hata kama umekosea chaneli lazima utafurahishwa na uigizaji wake.
  19. cold water

    Nimeingia cha kike nimeuziwa kitu ambacho siyo "spray". Je, ni nini hiki?

    Nilienda shop nikakutana na hii kitu nikamuuliza muuza duka ni mdogo tu (wa kiume) nazani kawekwa hapo shop kama mfanyakazi nikanogewa na ili kopo nikamuuliza kwani hii ni spray akaniambia ndio nikanusa juu ya kizibo nikaona inanukia poa bei sh elfu sita. Jana kulikuwa na pati somewhere nikavaa...
  20. Jaji Mfawidhi

    DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

    Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu. Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda kuogelea na wengi wao hawajui, hivyo wale Beach Boys wanaokodisha maboya huingia nao kwenye maji kwa...
Back
Top Bottom