Ilianza Pemba, Mombasa, Lamu,Tanga,Dar na Zanzibar kwa Ujumla..
Sasa imehamia Kilimanjaro.... Vijana wengi sasa wamekuwa mabwabwa.... Yaani inasikitisha sana miaka ya hivi karibuni nguvu kazi ya vijana imeharibiwa sana. Yaani kwa sasa kumkuta shayo,shirima, urio, massawe Bwabwa kawaida sana...