kina

KINA (910 AM) is a radio station broadcasting a news/talk format. Licensed to Salina, Kansas, United States, the station serves Salina and communities to the northwest. The station is currently owned by Eagle Communications.KINA originally went on the air in April 1964 as KLSI. Missouri disk jockey Sam Bradley fought with Kansas broadcaster Sherwood Parks over the original construction permit (CP) for almost 6 years beginning around 1958 until the two agreed to put the station on the air jointly in 1964 with Grover Cobb and Cobb's mother Ruth as stockholders. The call letters would change to KINA in September 1970. Parks would buy out his partners in February 1979 and then sold KINA late the same year to a group of Topeka businessmen, dba Smoky Hill Broadcasting. In 1995 Hays-based Eagle Communications, the current owner, acquired KINA.
The broadcast studios were located at 108 E. Walnut in downtown Salina and programmed Top-40 music to a teen audience and the servicemen at Schilling Air Base, which was still operational in 1964. By the late 1970s KINA was broadcasting country music.
KINA's dial position at 910 kHz would prove troublesome, as it was exactly on the second harmonic of radios with a 455 kHz IF (intermediate frequency). This resulted in an annoying tone or whistle in the background of the station's programming on home radios. This problem has since been overcome with modern digital radios.
Under the current news and talk format, KINA currently airs such syndicated talk shows as The Laura Ingraham Show, The Savage Nation, The Alex Jones Show, The Mark Levin Show, as well as two local talk shows and Fox Sports Radio overnights and weekends. KINA is also a radio affiliate of the Kansas City Chiefs.

View More On Wikipedia.org
  1. Sniper

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni Sqm 4000 kina hati, ukuta, maji, umeme

    Kiwanja kinauzwa Kigamboni karibu na Hamidu City. Kiwanja kina hati, kimezungushiwa fensi na kina ukubwa wa Square Metres 4000 (Eka moja). Umeme na maji vipo. Bei Milioni 250, maongezi yapo. Ni inbox au Mawasiliano ya moja kwa moja Whatsapp/Msg 0775880218. Hakuna dalali...
  2. Eli Cohen

    Si kwamba napinga ila Nisaidieni kwa kina, Ni ipi sababu ya msingi ya mshahara wa mbunge kuwa mil 18?

    1: Hadhi ya nafasi ya ubunge ? 2: Ugumu wa kazi Ya ubunge? 3: Ndani ya mshahara huo ina inlude na transport na accomodatuon costs za kwenda jimboni na kurudi mjengoni? 4:???? Karibuni.
  3. bizzle for shizzle

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Bahari Beach

    kiwanja Chenye Nyumba kinauzwa Kipo bahari beach jijini dar es salaam Kina ukubwa wa sqm 2220 kina Hati miliki safi kabisa kutoka wizara ya Ardhi Kiwanja kina KIBANDA cha kuanzia maisha pia kimezungushiwa ukuta Pamoja na gei Kipo umbali wa meter 600 kutoka BARABARA ya lami KINAUZWA TSH 400...
  4. Kuchwizzy

    Mifumo ya TEHAMA ya serikali mfano Tamisemi, inaundwa na kina nani? Ni AIBU tupu.

    Moja kati ya misingi mitatu ya usalama wa mifumo ya TEHAMA (System security) ni Confidentiality. Hakikisha zile taarifa nyeti zipo mikononi mwa watu walioidhinishwa (Authorized users) na si vinginevyo. Kwenye mfumo wa tamisemi unaoruhusu wanafunzi kubadili tahasusi zao, hivi ndio vigezo...
  5. Nsanzagee

    Nchi inaweza kusahau uwepo wa kina Membe na wenginewe wengi ila si kwa watu kama Magufuli n.k

    Watu huja na watu hupotea! Lakini watu hao hao wengine huendelea kuishi kwa maana ya yale waliyowahi kuyafanya na kuyaacha kama mnara wa kumubukumbu zao kwenye vizazi na vizazi Watanzania wasipomuenzi Magufuli, Waganda watamuenzi pindi wanapokuwa wakiliona bomba la mafuta kuyoka Hoima kuja...
  6. MamaSamia2025

    Wafanyabiashara mnaofanya biashara kimazoea jiandaeni kisaikolojia na ujio wa kina "Niffer" wengi zaidi

    Kwa wiki iliyopita mitandaoni hasa Instagram na Twitter kuliibuka mjadala mkali ikiwemo vita ya maneno miongoni mwa wafanyabiashara wa mjini Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyabiashara walimtupia lawama Bi Niffer ambaye ni mfanyabiashara mdogo anayekuwa kwa kasi ya ajabu. Wanamtuhumu Niffer kurukia...
  7. Bobldi

    Plot4Sale Kiwanja kina uzwa Mkono arusha

    Kiwanja kinauzwa Arusha Mkonoo kipo karibu na barabara. Maji, umeme, shule, hospitali vyote vinapatika maeneo ya jirani. Kina ukubwa wa Square meter 1080 Bei million 13 kwa mawasiliano zaidi nipigie 0758666865
  8. Zanzibar-ASP

    Hichi kitita kipya cha NHIF kina nini ndani yake? Kwanini kipigiwe debe na kupingwa vikali? Tujadiliane

    Kama ulidhani hilo jambo halikuhusu basi anza sasa kufikiri tofauti. Yanayoendelea baina ya NHIF na watoa huduma za afya binafsi ndio mwanzo wa picha itayokuja kwenye suala la bima ya afya kwa wote, ambayo itapaswa kuwa ya lazima kwa watu wote. Kwa kifupi sana Yatakayofuata yatakuwa marudio tu...
  9. LUKAMA

    Bonyeza hapa kwa majadiliano ya kina kuhusu madai ya kazi ya upwork

    Kwema hapo wakuu mimi ni mdau wa remote jobs hasa upwork. Niliona tangazo huko upwork nika apply jamaa kanijibu nikapata kazi. Jamaa alinipa link ya telegram ambo upwork hawaruhusu kufanya ivo cos upwork hawapati chochote kutoka kwangu (upwork wanakata 10% kwa kila kazi ninayo fanya). Kazi...
  10. G

    Nani kama mama ni msemo wa kijana mdogo, Nimeshuhudia baba akisota kwajili yetu bila kulalamika, stress bila kuonyesha masikitiko, wazazi wote ni sawa

    Nawapeni elimu ndogo kabisa, Ni baba ndiye alikuwa/ anatafuta hela za kuwalipia ada shuleni, nguo, chakula, n.k. mama yenu alikuwa anapewa ila mkimuona anavyowalipia/ kuwapa mnadhani ni zake. Nani kama mama ni misemo ya watoto/ vijana ambao bado hawana familia zao kujua mfumo kamili wa jinsi...
  11. USSR

    Saa ya Rais Samia yadaiwa kuwa na thamani ya Tsh. Milioni 111,601,22/=

    Hii hapa saa ya mama yetu mama wa mfano , Pesa hizo ni madarasa 12 ya Shule hapa Tanzania nchi maskini ila yenye rasilimali za kutosha Mama anaupiga mwingi
  12. N'yadikwa

    Story ya Kambona ipo kwenye kitabu cha kina Shivji

    Huyu Kambona huyu? alikuwa mjanja mjanja sana. Nani alikuwa anamtuma. Baadhi ya Mikasa yake Odinga anamshauri arudi Tz, anakataa Anaunda tuvikundi huko Msumbiji kuleta mchafukoge Tz Anaalikwa Nigeria anamponda Mwalimu Anamleta ndugu yake Kenya kutoka London wanaanzisha kajarida ka udaku...
  13. dem boy

    Ukitaka kujua kina cha maji tia mguu kwanza Israel walikutana na kitu kizito haswa

    The majority of the hundreds of kilometres of tunnels dug under #Gaza by Hamas remain untouched and difficult to access for the #Israeli military.⁠ .⁠ As the war on Gaza nears the end of its fourth month, the Israeli military has managed to damage or render inoperable an estimated 20-40 percent...
  14. Mto Songwe

    Chama kina nguvu kuliko Serikali, hizo ndizo siasa za nchi yetu na za kikomunisti

    Kwa wale wote wanao shangaa maigizo ya makonda kukaripia viongozi wa kiserikali wanapaswa kufuatilia na kujifunza asili ya siasa zetu. Baada ya ziara ya Mwalimu Nyerere uchina na Tanzania kupitia mabadiliko makubwa ya kisiasa na kuanza kufuata siasa za kijamaa. Katika mabadiliko hayo nguvu ya...
  15. Kididimo

    Nchi yetu nzuri Tanzania tutaiharibu wenyewe kwa kuteua na kutumia watu kama kina Makonda

    It is very funny! 1. Serikali imeweka utaratibu wa kupanga na kusimamia sekta zake mfano ujenzi wa barabara. Leo tumeuacha, Makonda ndiye anapeleka magreda site kuchimba barabara. Nasi tuko kimya tunaona sawa. 2. Vikundi vya kupinga vyama halali vya upinzani vinaasisiwa na vinatumia dini na...
  16. saidoo25

    Kwanini Nape na Mwigulu waliwahi kumpongeza Nchimbi kwenye mitandao wakati ni wajumbe wa vikao vilivyompita Nchimbi?

    NIMEEJIULIZA swali Nape na Mwigulu ni Wajumbe wa Halmshauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC) kikao kilichompitisha Nchimbi kuwa Katibu Mkuu, Swali je kwanini Nape na Nchimbi walijitokeza tena kwenye mitandao kumpongeza hii ina maana gani?
  17. K

    Nashauri kufanyike uchunguzi wa kina juu ya kinachoendelea kwenye Bandari zetu baada ya mapato kupungua huku shehena ya mizigo ikiongezeka

    Nilifuatilia maelezo ya Menejimenti ya TPA hivi karibuni waliyoyatoa kupitia vyombo vya habari. Maelezo yao yalikuwa ni kwamba shehena imeongezeka zaidi ya matarajio yao kwa meli nyingi zaidi kushushia mizigo kwenye bandari zetu hususan bandari ya Dar. Hata hivyo,viongozi hao hawakutaka...
  18. Mmawia

    Pre GE2025 Wana Ruangwa tunajua kushukuru, wanawake wagalagala mbele ya Majaliwa kama shukrani kwa utendaji wake!

    Hapa chini ni wananchi wa Ruangwa wakifurahia jambo lao. Mbele ya waziri mkuu na mbele ya makamu mwenyekiti wa ccm wananchi wanaonyesha furaha yao. Hakika wanachama wa ccm tunajua jinsi ya kutoa shukrani kwa watawala wetu. Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea...
  19. M

    Jamaa yangu kapasua friji la TBL kwa hasira baa. Kioo chake kina gharama gani?

    Jamaa alizinguana na wahahudumu akaamua kubomoa friji la baa. Matengenezo yake yamekaa vipi? Kioo tu ndio kimebomoka.
  20. Mhaya

    Kabla ya kuingia kwenye Mahusiano tufanye uchaguzi wa Kina

    Naomba tujengane kwenye masuala ya mahusiano. Majuzi nilicheki uzi ambao watu wanasema kataa ndoa, wengine wanalaumu, wengine wanaponda ndoa na wengine wanazisifu, mimi binafsi nilijenga hoja zangu na watu wakadai nimewabomoa! Yaah! Sometimes inabidi tubomoe ili tujenge kitu imara zaidi. Fanya...
Back
Top Bottom