kinauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ramon Abbas

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Bunju A, Dar es Salaam

    Kiwanja kinauzwa Bunju A Kiwanja kiko bunju sehem inaitwa Kinondo kimepakana na kiwanja cha riziwan kikwete document za serikali ya mtaa zipo Bado hakijapimwa Size 30*30 KUHUSU MIUNDOMBINU Umeme upo ni nguzo moja mpaka kiwanjani. Maji yapo. Kiwanja kiko barabara kuu iliyochongwa Bei...
  2. Magari Nusubei

    Special Thread: Tunauza Vitu mbalimbali (Magari, Nyumba, Mashamba na Viwanja)

    Toyota Rav4 Old Model Model 1998 Engine 3S Cc 1990 Kilometer 82095 Colour Silver New Tyres & Rims Price 14.5ML simu 0677 818283
  3. Magari ya Biashara

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbezi Beach - Africana (upande wa bahari)

    Kiwanja kipo Mbezi Beach Africana upande wa chini. Kina ukubwa wa sqm 800, HATI IPO Bei ni milioni 130 tu. WAHI SASAA. MAWASILIANO 0677 818283
  4. B

    Kiwanja kinauzwa Chanika Zogoali 4.5m

    Kina msingi wa kisasa Eneo chanika Zogoali unapita kwa Mzeru mbele kidogo Size 19*19m Simu 0712464478
  5. Magari ya Biashara

    Tunauza Viwanja na Mashamba kwa bei nafuu

    Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga. Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje. Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji. Nauza 1,000,000 Kwa Heka 1. DIRECTION YA SHAMBA LILIPO Ukiwa...
  6. Ramon Abbas

    Plot4Sale Kiwanja cha kisasa kinauzwa: Mhandu, jijini Mwanza

    Kiwanja kinauzwa jijini Mwanza. Wilaya: Nyamagana Kata: Mhandu Mtaa: Kisiwani (Karibu na shule ya sekondari Mhandu) Kiwanja kimepimwa na kina hati kamili ya umiliki. Size: 30 kwa 30 (hatua za miguu za mtu mzima. Kina tripu 4 za mawe. Kimezungushiwa fensi. Umeme na maji vipo. Fensi...
  7. landpointandgeneral

    Plot4Sale Kiwanja kizuri kinauzwa Dodoma Mkonze

    Sokoni leo na land point tunakiwanja Mkonze ambacho kipo kalibu kabsa na huduma zote za kijamii kama maji, umeme, n.k bei na bei yake ni Milion 8 tu ukubwa wake ni SQM 1456 wasiliana nasi kwa 0753 236 012
  8. Dalali Alpha

    Plot4Sale Kiwanja kizuri kinauzwa Goba Centre

    Kiwanja kizuri sana, Kipo karibu na barabara Kubwa ya lami. Ukubwa wa Kiwanja - Mita za Mraba 400 (Unajenga na Nyumba ya Vyumba 3 na eneo linabaki kwa matumizi mengine i.e parking) Bei - Tshs Milioni 15 [ Maongezi yapo] Uhalali wa Umiliki wa kiwanja; Leseni ya maudhiano ya serikali ya mtaa...
  9. Thom Munkondya

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kinondoni Mabwepande

    *HABARI NJEMA KUHUSU VIWANJA VYA KIMBIJI VILIVYOPIMWA NA KUUZWA KWA MILION 1.5* Baada ya mwitikio mkubwa kuliko idadi ya viwanja vilivyokuwa vinauzwa kigamboni kimbiji mtaa wa golani nyuma ya kiwanda cha cement (nyati). Mmiliki wa eneo Mr.kilala amekubali kuongeza block jingine la viwanja 15...
  10. Battor

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa mwanza 4300sqm

    Kiwanja kikubwa kinauzwa Mwanza chenye ukubwa wa zaidi ya square meter 4300. Pia kina nyumba na miti mingi ya matunda na miti pori. Kipo buzuruga Mwanza sehemu nzuri kwa kuwekeza real estate, hotel ama hata kuweka makazi. Price imeshuka kutoka 400m hadi 250m tsh Karibu. Google map
  11. Merci

    Kiwanja kinauzwa kipo Mambwepande

    Kiwanja chenye ukubwa wa mita 20 kwa 40 kilichopo Mabwe Pande DSM kinauzwa bei TZS 7M na umeme upo karibu na kiwanja. Napatikana kwa 0736770052.
  12. C

    Viwanja Vinauzwa Dodoma

    Habari zenu ndugu Nauza viwanja viwili vipo dodoma cha kwanza kipo mahungu eneo la mnada mpya njia ya kwenda singida kimepimwa kina full document ukubwa wake ni km nusu heka (viwnja vya zaman hawakua wanaandika squere m) Bei ni milion 6 mazungumzo yapo kidogo Cha pili ni kiwanja cha kawida...
  13. ViwanjaTanzania

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbezi Juu unatazama bahari ya Hindi

    Kina ukubwa wa 2500 square meters Kimepimwa Kinafikika Huduma za maji na umeme zipo. Bei elekezi 200mil. Kwa habari zaidi kuhusu kiwanja hiki wasiliana nami kwa simu +255627660225
  14. Carleen

    Kitanda kizuri kinauzwa 5*6, bila godoro

    Habari, Kitanda kinauzwa 5*6, bila godoro, hakina tatizo lolote na sababu ya kukiuza ni muhusika anahama mkoa kikazi, Location ni Mbezi beach, Bei yake ni 250K, No. ya simu whatsap ni 0764-955-657 na call ni 0686-816804..!!
  15. R

    INAUZWA Kitanda kinauzwa cha kizamani kinafaa kwa shambaboy au anayeanza maisha

    Habari Kitanda cha kizamani 4*6 mninga na godoro lake naviuza kwa pamoja elfu 70. Kipo Kigamboni mbele ya Kibada. Godoro halijachoka lipo safi. Nimeambatanisha na picha. Mawasiliano 0622 426120.
Back
Top Bottom