Kiwanja kinauzwa Bunju A
Kiwanja kiko bunju sehem inaitwa Kinondo kimepakana na kiwanja cha riziwan kikwete
document za serikali ya mtaa zipo
Bado hakijapimwa
Size 30*30
KUHUSU MIUNDOMBINU
Umeme upo ni nguzo moja mpaka kiwanjani.
Maji yapo.
Kiwanja kiko barabara kuu iliyochongwa
Bei...
apartment
bagamoyo
bei
biashara
eneo
fuso
gari
heka
inauzwa
ist
kawawa
kibamba
kibiashara
kilimanjaro
kinauzwa
kiwanja
kiwanja kinauzwa
kuagiza
kuagiza gari
madale
magari
mbezi
mbezi beach
mkopo
n.k
nauza
nyumba
nyumba kali
nyumba ya kupangisha
plot
shamba
subaru
toyota
uwekezaji
viwanja
yanauzwa
zinauzwa
Habari wana JF.Nina hekari 2,000 za shamba maeneo ya mazinde wilaya ya korogwe mkoani Tanga.
Ninatumia heka 1,000 tu.Zimebakia heka 1,000 kwa mwekezaji yoyote wa kilimo aje.
Pembeni limepakana n mto ambao haujawahi kukauka maji.
Nauza 1,000,000 Kwa Heka 1.
DIRECTION YA SHAMBA LILIPO
Ukiwa...
bagamoyo
beach
bei
eneo
hasara
hoteli
inauzwa
karibu
kigamboni
kinauzwa
kiwanja
kubwa
kununua
mafuta
makazi
miti
mji
nauza
nyumba
pesa
plot
shamba
ujenzi
umri
uwekezaji
viwanja
wekeza
Kiwanja kinauzwa jijini Mwanza.
Wilaya: Nyamagana
Kata: Mhandu
Mtaa: Kisiwani
(Karibu na shule ya sekondari Mhandu)
Kiwanja kimepimwa na kina hati kamili ya umiliki.
Size: 30 kwa 30 (hatua za miguu za mtu mzima.
Kina tripu 4 za mawe.
Kimezungushiwa fensi.
Umeme na maji vipo.
Fensi...
Sokoni leo na land point tunakiwanja Mkonze ambacho kipo kalibu kabsa na huduma zote za kijamii kama maji, umeme, n.k bei na bei yake ni Milion 8 tu ukubwa wake ni SQM 1456
wasiliana nasi kwa 0753 236 012
Kiwanja kizuri sana, Kipo karibu na barabara Kubwa ya lami.
Ukubwa wa Kiwanja - Mita za Mraba 400 (Unajenga na Nyumba ya Vyumba 3 na eneo linabaki kwa matumizi mengine i.e parking)
Bei - Tshs Milioni 15 [ Maongezi yapo]
Uhalali wa Umiliki wa kiwanja; Leseni ya maudhiano ya serikali ya mtaa...
*HABARI NJEMA KUHUSU VIWANJA VYA KIMBIJI VILIVYOPIMWA NA KUUZWA KWA MILION 1.5*
Baada ya mwitikio mkubwa kuliko idadi ya viwanja vilivyokuwa vinauzwa kigamboni kimbiji mtaa wa golani nyuma ya kiwanda cha cement (nyati).
Mmiliki wa eneo Mr.kilala amekubali kuongeza block jingine la viwanja 15...
Kiwanja kikubwa kinauzwa Mwanza chenye ukubwa wa zaidi ya square meter 4300.
Pia kina nyumba na miti mingi ya matunda na miti pori.
Kipo buzuruga Mwanza sehemu nzuri kwa kuwekeza real estate, hotel ama hata kuweka makazi.
Price imeshuka kutoka 400m hadi 250m tsh
Karibu.
Google map
Habari zenu ndugu
Nauza viwanja viwili vipo dodoma cha kwanza kipo mahungu eneo la mnada mpya njia ya kwenda singida kimepimwa kina full document ukubwa wake ni km nusu heka (viwnja vya zaman hawakua wanaandika squere m)
Bei ni milion 6 mazungumzo yapo kidogo
Cha pili ni kiwanja cha kawida...
Kina ukubwa wa 2500 square meters
Kimepimwa
Kinafikika
Huduma za maji na umeme zipo. Bei elekezi 200mil.
Kwa habari zaidi kuhusu kiwanja hiki wasiliana nami kwa simu +255627660225
Habari,
Kitanda kinauzwa 5*6, bila godoro, hakina tatizo lolote na sababu ya kukiuza ni muhusika anahama mkoa kikazi,
Location ni Mbezi beach, Bei yake ni 250K,
No. ya simu whatsap ni 0764-955-657 na call ni 0686-816804..!!
Habari
Kitanda cha kizamani 4*6 mninga na godoro lake naviuza kwa pamoja elfu 70. Kipo Kigamboni mbele ya Kibada. Godoro halijachoka lipo safi.
Nimeambatanisha na picha. Mawasiliano 0622 426120.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.