kinauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa kibaha Miembe 7 mita 600 toka morogoro road

    Nauza kiwanja kiko miembe sana kibaha , karibu na morogoro road , umbali ni kama nusu kilometa Yaani mita 600 hivi toka main road. kiwanja kikubwa mita 55 Kwa 26 . Bei ni 13m Nina shida ya haraka. Karibuni namba yangu 0674223223 mimi ni mmiliki mwenyewe. Karibuni
  2. S

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    Kiwanja (20x40) Tsh 6.5M kimekaa Tambarale kabisa, kimezungukwa na makazi ya watu pamoja na huduma zote kijamii Kiwanja hiki Kipo kiluvya makulunge karibu na zahanati ya makulunge upande wa kulia wa barabara ya kuelekea kwa sumaye, umbali kutoka kwa hiyo barabara mpaka kiwanja kilipo ni dakka3...
  3. Michael Amon

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kinyerezi - Songas

    Kiwanja kizuri kwa ajili ya makazi kinauzwa Kinyerezi - Songas mbele kidogo ya mitambo ya kuzisha umeme ya Kinyerezi 1 na Kinyerezi 2. Kiwanja kipo eneo la kishua (Kwa wale wanaopajua Kinyerezi - Songas basi watakwambia kuwa hii ndio Masaki ya Kinyerezi). Kiwanja kipo kwenye barabara ya lami ya...
  4. Z

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha

    Kipo Kibaha kwa Mathias. Ukubwa wa squire meter 600 Milioni 3 Umbali km 5 toka Morogoro road Barabara nzuri imewekwa lami, bado kidogo ikamilike Umeme na maji vyote vimefika kwenye kiwanja 0672 893 600
  5. Baba Ndubwi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Makunduchi (Makunduchi plot for sale.)- Zanzibar

    Plot for sale in Zanzibar - Makunduchi: Area : Makunduchi, opposite VETA college. Document : Title deed Distance: 1.5 kilometer from the beach (Clove Island Zanzibar Villas) Location: 6°24'27.6"S 39°33'52.2"E Size: 600 square meters Contact: 0682955526 Price: TZS 20 million Karibuni wakuu.
  6. Dodoma messengers

    Dodoma: Tunauza Viwanja na kutafuta wapangaji wa nyumba

    Inatokea unataka kuja DODOMA kusoma, kuishi au hata kikazi, nakusihi uwasiliane namimi endapo mahitaji yako ni chumba cha kuishi, nyumba au hata appartment. Mpangaji huweza kulipia mara baada ya kuona chumba Kama ni mhitaji wa chumba,nyumba kama ni mhitaji wa nyumba. Mpangaji hutoa chaguo lake...
  7. J

    Plot4Sale Tunauza Viwanja, Nyumba na Mashamba Dar es Salaam

    1- kinauzwa kiwanja mbezi ya goba kulangwa sq 400 Bei million 17 (maongezi yapo) kilipo si mbali na barabara (dk7- 10 main road) 2- kiwanja kinauzwa MBEZI GOBA sqm 1000 Bei million 57 (maongezi yapo)pia hakipo mbali na barabara 3. Nyumba ya vyumba 6 Mbezi beach Goigi (dk 10 bagamoyo road)...
  8. G

    Kiwanja kinauzwa Mbagala Chamazi Mbande bei m3.3

    Mtenja serious ____________ KIWANJA KINAUZWA MBAGALA CHAMAZI MBANDE BEI 💵 M3.3 KULIPA KWA AWAMU MTAA UMETULIA UDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIPO MAJI UMEME YAPO CONTACT US 0768041126 0689357572
  9. uberimae fidei

    Tunauza Viwanja na Mashamba Chalinze na Dar Es salaam

    *ENEO LINAUZWA* Eneo lenye ukubwa wa *ekari ishirini* linauzwa *Pingo, Chalinze*. Eneo linapakana na *Chuo cha Ualimu Chalinze* kwa mbele na kwa upande wa kulia ni *kiwanda kipya cha vigae cha Twyford* kinachojengwa hapo Pingo.Kama ambavyo baadhi watakuwa wanajua, kiwanda cha vigae kitaajiri...
  10. C

    Kiwanja kinauzwa maeneo ya Goloka-Mbagala

    Kiwanja kinauzwa maeneo ya goloka-mbagala. Ukubwa wake ni ft 14/13. Bei yake ni shilingi milioni mbili. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na mwenye kiwanja(si dalali) kupitia namba 0713769416.
  11. J

    Kiwanja kinauzwa Chanika

    Habari Kiwanja kinauzwa Chanika maeneo ya Buyuni, Kigezi Kina ukubwa wa 1600 sqm bei ni milioni 18, ama ukitaka kukatiwa pia sawa Maelezo zaidi DM
  12. Slim

    Kiatu kinauzwa

    Kiatu kipya kinauzwa bei 130,000/ size 7 hand made from UK Niko Arusha, ukihitaji pm me
  13. M

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Tegeta A

    Kiwanja kinauzwa Tegeta A. Square meter 400. Bei ni shs 15m. Kuna matofali mengi tu kama bonasi. PM au email tajirika@gmail.com. Mhusika mimi kwa hiyo hakuna udalali.
  14. EmmanuelKamaghe

    INAUZWA Total station kwa ajili ya kazi za survey bila chaja na begi lake inauzwa Tsh Milioni 2

    TOTAL STATION KWAAJILI YA KAZI ZA SURVEY BRAND NI TOPCON USED BILA CHAJA NA BEGI LAKE.... 2 MILLION. MAWASILIANO 0621390287 WHATSAPP AND NORMAL CALLS.
  15. A

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibaha Mlandizi

    Kiwanja kipo kibaha mlandizi. Ukubwa 20 Kwa 20 Bei ni milioni mbili. Kimepimwa tayari,mawe yapo. Km Moja na nusu toka morogoro road 0629075172
  16. makaveli10

    Kiatu cha kiume toka uturuki kinauzwa

    Wazee nauza kiatu,kimeletwa kama zawadi toka uturuki lakini hakinitoshi. Saizi ya kiatu ni UK 8, Uero 42kama kinavyoonekana pichani. Bei ni pesa taslimu za kitanzani 70 elfu. kipo kigamboni 0659445718
  17. Nyuki Mdogo

    Plot4Sale Igoma-Mwanza: Kiwanja kinauzwa

    Info: kiwanja kipo Igoma, mtaa wa Kilimo A. 0713096076 Umeme upo karibu na Beacon Size ni hatua 35 kwa 25 za mtu mzima (sijapima Kwa mita tafadhali) Beacon zimewekwa na kishapimwa zamani sana. Maji Yapo unavuta mita chache kutoka kwa Jirani. Barabara ipo kinaingilika vizuri hakijabanwa na...
  18. I

    Kiwanja kinauzwa

    Kipo ubungo riverside eneo la makoka, kipo karibu na barabara kubwa na kimejengwa mabanda mawili ya wapangaji yenye vyumba viwili viwili,,kinafaa pia kujenga flemu za biashara. Mwenye uhitaji DM tafadhari kwa maelekezo zaidi
  19. Prince Juzo

    Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa

    Kiwanja kipo Mahoma Nyika (kitalu BD), Dodoma. Kiwanja kimepimwa, ukubwa ni 514 m². Sifa za Eneo kiwanja kilipo. Kipo karibu na stendi ya mabasi ya mkoani, soko la ndugai , Magufuri City, Ring road na uwanja wa ndege wa Msalato International Airport. Yaani kimezungukwa na hivi vitu. Sababu ya...
  20. Iziwari

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Njiro karibu na barabara ya Lemara

    Kiwanja kinauzwa njiro karibu kabisa na barabara ya lemara. Kwa wale wanaojua kanisa la KKKT Lemara ndio hapo hapo karibu. kabla haujafika kikwakwaru stendi. Kiwanja ni 30 kwa 15. kina msingi ndani ambao ni ramani ya nyumba. ukitaka kuendeleza sawa. Kuna mawe na mchanga pia uliobaki. Ni...
Back
Top Bottom