Nauza kiwanja kiko miembe sana kibaha , karibu na morogoro road , umbali ni kama nusu kilometa Yaani mita 600 hivi toka main road. kiwanja kikubwa mita 55 Kwa 26 . Bei ni 13m
Nina shida ya haraka. Karibuni namba yangu 0674223223 mimi ni mmiliki mwenyewe. Karibuni
Kiwanja (20x40) Tsh 6.5M kimekaa Tambarale kabisa, kimezungukwa na makazi ya watu pamoja na huduma zote kijamii
Kiwanja hiki Kipo kiluvya makulunge karibu na zahanati ya makulunge upande wa kulia wa barabara ya kuelekea kwa sumaye, umbali kutoka kwa hiyo barabara mpaka kiwanja kilipo ni dakka3...
Kiwanja kizuri kwa ajili ya makazi kinauzwa Kinyerezi - Songas mbele kidogo ya mitambo ya kuzisha umeme ya Kinyerezi 1 na Kinyerezi 2.
Kiwanja kipo eneo la kishua (Kwa wale wanaopajua Kinyerezi - Songas basi watakwambia kuwa hii ndio Masaki ya Kinyerezi). Kiwanja kipo kwenye barabara ya lami ya...
Kipo Kibaha kwa Mathias.
Ukubwa wa squire meter 600
Milioni 3
Umbali km 5 toka Morogoro road
Barabara nzuri imewekwa lami, bado kidogo ikamilike
Umeme na maji vyote vimefika kwenye kiwanja
0672 893 600
Plot for sale in Zanzibar - Makunduchi:
Area : Makunduchi, opposite VETA college.
Document : Title deed
Distance: 1.5 kilometer from the beach (Clove Island Zanzibar Villas)
Location: 6°24'27.6"S 39°33'52.2"E
Size: 600 square meters
Contact: 0682955526
Price: TZS 20 million
Karibuni wakuu.
Inatokea unataka kuja DODOMA kusoma, kuishi au hata kikazi, nakusihi uwasiliane namimi endapo mahitaji yako ni chumba cha kuishi, nyumba au hata appartment.
Mpangaji huweza kulipia mara baada ya kuona chumba Kama ni mhitaji wa chumba,nyumba kama ni mhitaji wa nyumba. Mpangaji hutoa chaguo lake...
1- kinauzwa kiwanja mbezi ya goba kulangwa sq 400 Bei million 17 (maongezi yapo) kilipo si mbali na barabara (dk7- 10 main road)
2- kiwanja kinauzwa MBEZI GOBA sqm 1000 Bei million 57 (maongezi yapo)pia hakipo mbali na barabara
3. Nyumba ya vyumba 6 Mbezi beach Goigi (dk 10 bagamoyo road)...
asubuhi
beach
boko
center
goba
hoteli
inapangishwa
inauzwa
kigamboni
kinauzwa
kisasa
kiwanja
kiwanja kinauzwa
kupanga
mbezi
mbezi beach
ndani
nyumba
nyumba inauzwa
nyumba ya kisasa
nyumba ya kupanga
tofauti
udalali
vifaa
vinauzwa
viwanja
viwanja vinauzwa
Mtenja serious
____________
KIWANJA KINAUZWA MBAGALA CHAMAZI MBANDE BEI 💵 M3.3 KULIPA KWA AWAMU MTAA UMETULIA UDUMA ZOTE ZA KIJAMII ZIPO MAJI UMEME YAPO
CONTACT US 0768041126
0689357572
*ENEO LINAUZWA*
Eneo lenye ukubwa wa *ekari ishirini* linauzwa *Pingo, Chalinze*. Eneo linapakana na *Chuo cha Ualimu Chalinze* kwa mbele na kwa upande wa kulia ni *kiwanda kipya cha vigae cha Twyford* kinachojengwa hapo Pingo.Kama ambavyo baadhi watakuwa wanajua, kiwanda cha vigae kitaajiri...
Kiwanja kinauzwa maeneo ya goloka-mbagala. Ukubwa wake ni ft 14/13. Bei yake ni shilingi milioni mbili. Kwa maelezo zaidi tafadhali wasiliana na mwenye kiwanja(si dalali) kupitia namba 0713769416.
Kiwanja kinauzwa Tegeta A. Square meter 400. Bei ni shs 15m. Kuna matofali mengi tu kama bonasi. PM au email tajirika@gmail.com. Mhusika mimi kwa hiyo hakuna udalali.
Wazee nauza kiatu,kimeletwa kama zawadi toka uturuki lakini hakinitoshi.
Saizi ya kiatu ni UK 8, Uero 42kama kinavyoonekana pichani.
Bei ni pesa taslimu za kitanzani 70 elfu.
kipo kigamboni
0659445718
Info:
kiwanja kipo Igoma, mtaa wa Kilimo A.
0713096076
Umeme upo karibu na Beacon
Size ni hatua 35 kwa 25 za mtu mzima (sijapima Kwa mita tafadhali)
Beacon zimewekwa na kishapimwa zamani sana.
Maji Yapo unavuta mita chache kutoka kwa Jirani.
Barabara ipo kinaingilika vizuri hakijabanwa na...
Kipo ubungo riverside eneo la makoka, kipo karibu na barabara kubwa na kimejengwa mabanda mawili ya wapangaji yenye vyumba viwili viwili,,kinafaa pia kujenga flemu za biashara.
Mwenye uhitaji DM tafadhari kwa maelekezo zaidi
Kiwanja kipo Mahoma Nyika (kitalu BD), Dodoma.
Kiwanja kimepimwa, ukubwa ni 514 m².
Sifa za Eneo kiwanja kilipo.
Kipo karibu na stendi ya mabasi ya mkoani, soko la ndugai , Magufuri City, Ring road na uwanja wa ndege wa Msalato International Airport. Yaani kimezungukwa na hivi vitu.
Sababu ya...
Kiwanja kinauzwa njiro karibu kabisa na barabara ya lemara.
Kwa wale wanaojua kanisa la KKKT Lemara ndio hapo hapo karibu. kabla haujafika kikwakwaru stendi.
Kiwanja ni 30 kwa 15.
kina msingi ndani ambao ni ramani ya nyumba.
ukitaka kuendeleza sawa. Kuna mawe na mchanga pia uliobaki.
Ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.