Kuvunjika kwa uume ni tatizo la kawaida miongoni mwa wanaume, licha ya kwamba tatizo hili halizungumzwi sana.
Kuvunjika kwa uume kuna uwezekano mkubwa wa kutokea pale unapogonga mguu au sehemu ya siri ya mwanamke wakati wa kujamiiana.
Ikiwa tatizo hili halitatibiwa kwa wakati, linaweza kuathiri...
Amerika amepeleke Majeshi 10.000 nchini Saud Arabia . Je anajiandaa Kupigana vita nani? Iran Au Yemen Au Hezbollah? Ninajiuliza Swali mpaka sas sijapata jibu lake hebu nijibu hilo swali kama unaweza kulijibu.
US President Joe Biden speaks to United Auto Workers at the Community Building Complex of Boone County, November 9, 2023, in Belvidere, Illinois. (AP Photo/Paul Beaty)
US President Joe Biden welcomes the Israeli decision to formalize and broaden humanitarian pauses to its fighting in Gaza...
Ugonjwa wa kudhoofu kwa mifupa (Osteoporosis).
-Ugonjwa huu hufanya mifupa iwe dhaifu, ipungue ujazo wake na iwe kwenye hatari kubwa ya kuvunjika kirahisi pasipo kuhitaji mgandamizo mkubwa.
Dalili muhimu za ugonjwa huu
-ni kupatwa na maumivu ya mara kwa mara ya mifupa, hasa sehemu ya mgongo...
MATATIZO YA AFYA YA AKILI.
-Shirika la Afya Duniani (WHO) linataja kuwa kabla ya janga la COVID19, takriban mtu 1 Kati ya 8 Duniani kote walikumbwa na matatizo ya kiakili, hata hivyo Msaada sahihi wa miundombinu na kiuchumi kwa ajili yao, ulikosekana
-Matatizo ya afya ya akili yapo katika...
Mzungu awajaribu Wa-Tanzania wanaoishi Amerika. Mzungu amewaomba wampe chakula wao Wa-Tanzania wamesema chakula hawana. Ila wamempa pesa aende Mzungu kula MC DONALD matokeo yake Mzungu amewapa Dollar 1000 kama zawadi yao kwa nia njema ya kutoa pesa japo kidogo. Mungu anasema toa japo kidogo...
Kifua kikuu (kwa Kiingereza tuberculosis, kifupi TB) ni ugonjwa wa kuambukizwa ulio hatari. Ugonjwa huu husababishwa na aina mbalimbali za bakteria ambazo hujulikana kama Mycobacterium tuberculosis.[1]
Kifua kikuu kwa kawaida kinaathiri mapafu, lakini pia kinaweza kuathiri sehemu nyingine za...
The Royal Visit: King Charles' III speech at the State Banquet at State House, Nairobi.
https://www.youtube.com/watch?v=YSMqoQg6554&ab_channel=CitizenTVKenya
Mwanamke wa Nigeria Obinuju Anthonia Ibeanu, amejifungua watoto 9 baada ya miaka 25 ya ndoa.
Ripoti zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zilifichua kuwa mwanamke huyo alikuwa ameolewa kwa zaidi ya miongo miwili lakini hakubahatika kupata mtoto katika kipindi chote hicho.
Kwa bahati nzuri...
Common Foods That Contain Natural Poisons That Can Cause Death Or Harm Your Health.
According to the World Health Organization (WHO), certain naturally occurring toxins are created in food as a type of defense mechanism to protect plants from animal infestation and consumption. These toxins can...
Alichokisema Socrates kuhusu demokrasia zaidi ya miaka 2000 iliyopita. Alisema kuwa demokrasia lazima ianguke kwa sababu itajaribu kurekebisha kila mtu. Masikini watataka utajiri wa matajiri, na demokrasia itawapa.
Vijana watataka kuheshimiwa kama wazee na demokrasia itawapa. Wanawake watataka...
Machungwa yamejaa vitamini na madini, lakini je, yanaweza kuzuia homa? Tunaangazia kwa undani jinsi matunda haya yanaweza kuchangia ustawi wa afya yako.
Machungwa ni nini?
Chungwa ni tunda la mchungwa. Jina la kisayansi ni Citrus aurantium L. var. sinensis L. au Citrus sinensis (L.) Osbeck...
Chakula ni kirutubisho muhimu sana kwa wanadamu na maisha hayangewezekana bila lishe bora.
Hata hivyo licha ya umuhimu wa lishe kwa mwili wa mwanadamu, wataalamu mara nyingi huwa wanazingatia faida za lishe bora na kiwango cha chakula ambacho mtu anapaswa kula kwa ajili ya afya yake.
Wataalamu...
Maelezo ya picha,
Mwanamke akila burger na vibanzi
Mwanamke ambaye ana mazoea ya kula vyakula vyenye mafuta mengi na sukari bila ya kutumia matunda kwa wingi, yumo kwenye hatari ya kutopata uja uzito, utafiti unasema.
Utafiti uliofanyiwa wanawake 5,598, uliwapata wale ambao wana mazoea ya kula...
Maelezo ya picha,
Maharage
Inaweza kuonekana kuwa hakuna ubaya katika kula aina fulani ya vyakula. Lakini, kuna wakati, kutojali kunaweza kusababisha matatizo mengi ya kiafya.
Wakati mwingine kutojali kuhusu kuacha kuvila, ama kuvila kwa wingi kunaweza kuhatarisha maisha yako na kusababisha...
Baadhi ya watu wengi, wanapotayarisha matunda na mboga mboga wana mazoea ya huzimenya. Hata hivyo, mara nyingi sio lazima. Kuna virutubisho muhimu kwenye maganda. Kando na hilo, maganda ya matunda na mboga yanatupwa huchangia mabadiliko ya hali ya hewa.
Matunda na mboga ni vyanzo vikuu vya...
Kulingana na wataalamu, zabibu ina vitamini C mara nne zaidi kuliko vinjwaji vingi vya juisi wakati oksidi pia hupatikana ndani yake.
Zabibu pia inaweza kutumika kwa madhumuni ya matibabu katika siku zijazo.
Vinavyopatikana ndani ya tunda la zabibu vinafanyiwa majaribio ili kuona jinsi vinaweza...
Amidst a morning of discomfort, I embraced the resourcefulness of a true Tanzanian, opting for over-the-counter painkillers instead of a hospital visit. Guided by a spirit of ingenuity, I found myself meandering towards a charming pharmacy nestled along Viwandani Road in the enchanting enclave...
Print or Email This Article
As I dive into the depths of Twitter, indulging in one of my guilty pleasures, I stumble upon a hidden treasure buried within Elon’s app. A tweet from June 20 ignites my curiosity like a spark in the dark. The essence of the tweet can be loosely summarised as follows...
Tanzania’s decision to establish a National Gold Reserve to strengthen its local currency comes at a time when global central banks are turning to gold as a safe-haven asset. As Africa’s fourth-largest gold producer, Tanzania’s focus on retaining its gold output within the country raises...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.