“Mimi ni msanii, mimi ni msanii,
Kioo cha jamii, kioo cha jamii,
Mimi naona mbali, mimi naona mbali,
Kwa darubini kali, kwa darubini kali.”
Nani anakumbuka huu wimbo? Mimi ninaukumbuka sana. Enzi hizo nilikuwa nasoma pale Shule ya Msingi Zanaki, Kata ya Upanga Mashariki. Wimbo huu uliimbwa na...