Ni kutokana na kukithiri kwa biashara za ngono, ulevi, utumiaji wa madawa ya kulevya kwa upande akina dada,
Sasa ni wakati sahihi kwa sheria za nchi yetu kubadilika.,
Hasa pale linapokuja suala la matukio ya kingono na visa vyake.
Nchi yetu kwa sasa imeingia katika wimbi kubwa la...