kiswahili

  1. A

    Nani ashawahi kukisoma hiki kitabu cha picha za kiswahili kinaitwa HATIA? Tukumbushane

    Ni kitabu cha hadithi kimeandikwa kwa kiswahili, jina la hicho kitabu cha hadithi kinaitwa "HATIA"..actually hicho kitabu cha hadithi kiko kwenye mfumo wa picha za katuni za watu, zilizochorwa vizuri wakiongea Atakaeniambia jinsi story ya hii hadithi ya HATIA ilivyo na jinsi ilivoisha, ntajua...
  2. Tuttyfruity

    Raha na fahari ya Kuongea Kiswahili

    Wakati naishi Tz kiswahili nilitumia kama means of communication. Sikuona umuhimu wake hata kidogo. Sasa nipo nchi za watu ki ukweli hakuna raha nnayoskia kama kukutana na watu wanaongea kiswahili. Kingereza kinachosha jaman. Kuna muda nataka nipumzishe akili, kingereza Kinahitaji kutumia...
  3. MK254

    Akili kubwa - UoN Kiswahili Lecturer Awarded in US

    The University of Nairobi continues to record honourable milestones after a Kiswahili lecturer from the institution bagged an award in the US. In a statement from the university released on Tuesday, August 18, Prof. Iribe Mwangi, the Chairman, Department of Kiswahili was awarded by the...
  4. Infantry Soldier

    Mabalozi wapya wa kigeni wakipewa vitabu vya kujifunzia Kiswahili (Diplomatic Gift) itasaidia kuitangaza vema lugha yetu?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty. Sio kila muda tunapaswa kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB. Leo ngoja tujadili kidogo...
  5. U

    Lugha ya kiswahili na mitandao ya kijamii

    Nina hoja naleta kwenu tuijadili. Je, mitandao ya kijamii inasaidia kuboresha lugha yetu ya Kiswahili maana watumiaji ni wengi na vile vile wafuatiliaji wa hiyo mitandao ni wengi. Mifano hai ni katika siku za karibuni kumeibuka maneno mapya toka mitandao ambayo hapo kwenye matumizi ya...
  6. Analogia Malenga

    Waziri Mwakyembe aiagiza BAKITA kudhibiti upotoshaji Kiswahili

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe, amelitaka Baraza la Kiswahili la Taifa (BAKITA), kuwasajili wafasiri, wakalimani na wataalamu wa lugha ya alama, ili kuboresha matumizi fasaha ya Kiswahili na kuzuia upotoshaji. Pia, amewataka BAKITA kuwabana wachapishaji wa...
  7. fasiliteta

    Wakenya mnatuharibia Kiswahili

    Hivi kwanini msiongee English mnayoitambia tu kuliko kuongea Kiswahili mnachotuharibia sana katika matamshi mpaka kuonekana mnatukana muda mwingine. "NENDA KANIINGILIE" "VENYE UKIKWENDA" "SI UKUJE". Nyi hata mke kwenu mnaita BIBI.
  8. S

    Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA), muda umefika sasa

    Wakati klabu ya AS Roma inatoa salamu za pole kwa Watanzania kwa kutumia lugha ya Kiswahili, Wabongo wengi tulikuwa na hamu ya kujua ni Mtanzania gani mwenzetu alopewa hilo shavu uko Rome Italy. Ajabu wadukuaji wakatudukulia; Mkenya ndio amekamatia hiyo nafasi, mimi kama mimi nikaanza kuwaza...
  9. FrankLutazamba

    Utafiti katika Lugha ya Kiswahili, Nimegundua kati ya maelfu ya maneno ya Kiswahili kuna neno moja tu linaloundwa na irabu pekee

    Nimegundua kati ya maelfu ya maneno ya Lugha ya Kiswahili kuna neno moja tu la ilabu tupu nalo ni UA, kwa kumbushia tu, ilabu ni a, e, I, o, u. Na herufi zote zilizobaki ni konsonati, na ili neno liwe neno lazima uwepo mchanganyiko wa konsonati na ilabu mfano Uzi, hapo tunaona z ni konsonati...
  10. FrankLutazamba

    Mnaombaje Green Card ya USA? Nataka nijaribu nikafundishe Kiswahili huko na je huwa siyo ya magumashi?

    Jamani Green card inaombwaje, mnaojua mtusaidie tukafundishe lugha yetu tamu na adhimu ya Kiswahili, mlioshinda na wenye uzoefu naomba mniongoze njia. Nataka nikale baga na piza ila nitawamisi senene, mbege, dagaa wa Kigoma na Mwanza, Kisamvu na msusa wa karanga. Basi nitafanyeje!
  11. J

    Unaitafuta Riwaya yoyote ya Legendari wa Kiswahili? Usijali...

    Tunu zetu Library tumekuwa kwa muda mrefu tukizienzi na kuboresha kazi za wakongwe wa fasihi ya kiswahili kwa manufaa ya kizazi kijacho. Baaada ya kuona maktaba nyingi hazina vitabu hivi, Tumeingia chimbo kuvisaka, kuvipitia na kuviweka mfumo wa nakala rahisi (softcopy) unayoweza kuipata kwa...
  12. Venus Star

    Kiswahili: Siri ya Tanzania kushinda Corona

    Nimekaa na kutafakari kwa kina tunu ya lugha yetu hii ya Kiswahili. Kiswahili kilitumika katika kuleta uhuru wa Tanganyika na Zanzibar. Kiswahili kilitumika kuunganisha makabila zaidi ya 120 yaliyopo Tanzania. Kiswahili kilitumika kumng'oa Nduli Idd Amini Dadaa, alipojaribu kuivamia Tanzania...
  13. B

    Afrika Mashariki na unafiki wa kuienzi lugha ya Kiswahili

    Kwa muda mrefu kumekua na makelele mengi ya kuienzi lugha yetu adhimu ya Kiswahili hapa Afrika Mashariki. Bila shaka Tanzania inaongoza katika hizo harakati. Pamoja na makelele hayo, jitihada zinazofanyika ni ndogo kulinganisha na kile kinachopaswa kufanyika. Tuanzie Tanzania. Lugha yetu ya...
  14. F

    Huyu Boyfriend wa Gigy Money hajui kiswahili au ni mikogo tu kuendekeza uzungu?

    Katika birthday ya Gigy Money nimemuona Boyfriend wake akihojiwa You Tube. Huyu Mchuchu wake anaongea kingereza tu. Sijasikia akiongea kiswahili, je sio Mtanzania?
  15. Tukudzi

    Tumia WhatsApp na Apps nyingine katika Kiswahili

    Hapa ningependa kuonyesha jinsi ya kubadilisha lugha ya simu yako ili uweze kutumia apps nyingi kupitia lugha yetu ya Kiswahili. Nimerekodi video ya njia ya kufuatwa ili lugha ibadilishwe, iwapo ungependa kutazama jinsi inavyofanywa. Kwa anayependa kufuata maelezo badala ya kutazama video...
  16. vulcan

    How close is your bantu language to Swahili

    Je, Kiswahili kinakaribiana na lugha yako vipi ? Kwa lugha yetu (Ki-embu/Ki-Kuyu).. Maneno ya kawaida Mtu - Mundu Kiti - Giti Meza - Metha Kijiko - Giciko Kitanda - Gitanda Nyumba - Nyumba Viatu - Iratu Maji - Mai Sentensi Kuja hapa - uka ava/Uka haha Maneno ya lugha yenu ya Ki-Bantu...
  17. S

    Mtanzania ahamasisha maandamano Marekani kwa nyimbo za Kiswahili. Waandamaji wamuitikia kwa kuimba Kiswahili

    Mtanzania ahamisha maandamano Marekani kwa nyimbo za Kiswahili. Waandamaji wamuitikia kwa kuimba Kiswahili Serious nimependa sana. Kidogo kidogo kiswahili kitaenea tu.
  18. Z

    Naomba msaada yako kunitafsilia maneno haya kwa Kiswahili

    Nimetoa Wikipedia. The four mild Coronaviruses have a seasonal incidense occuring in the winter months in Temperate climate. There is no preference towards a particular season in Tropical climate.
Back
Top Bottom