kiwanja kinauzwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The mgusi

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni - Dege sqm. 1045

    Kiwanja ni tambarare Ukubwa wa kiwanja ni square meter 1045 Mawasiliano for serious buyer 0692450861 Umbali toka Feri ni km 19 Price - 12,000,000/= Negotiable.
  2. P

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Balili Bunda ukubwa 29 kwa 28, bei 5.5milion

    Kiwanja Kiko balili mjini wilayani bunda mkoani Mara. Kina Ukubwa wa 29 KWa 28 KWa kuhesabu hatua au tambo za miguu na kimepimwa na halimashauri.mnunuzi atalazimika kufatilia offer kisha hati. Kiko karibu na kanisa la lango la uzima pamoja na hospitali ya mkombozi.pia huduma za shule kuanzia...
  3. Munari

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Morogoro-Mkundi Kiegeya sqm 600(20/30)

    Kiwanja kipo Kiegeya (Mkundi) Morogoro Kimepimwa na kina hati ( documents ) za malipo halali ya serikali na wizard ardhi Kinafikika kwa hali zote Ni kiwanja no 3775 Bei Tsh.2.5m Njoo Mazungumzo yapo
  4. Mkalukungone mwamba

    Ichukue hii! Kiwanja kinauzwa milioni 1 na laki 5 kipo Bagamoyo

    Ichukue hii! Kiwanja kinauzwa milioni 1 na laki 5 kipo Bagamoyo kipo kidomole Bagamoyo ukubwa wa 30 kwa 25 akipo mbali na barabara ni dakika 10 kufika kiwanja kilipo hatutojutia hata kidogo ukinunua kiwanja hicho Karibu sana simu 0712815440
  5. F

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa njiro Temdo Arusha

    Kiwanja kinauzwa Njiro Temdo kwa nyuma. Kiwanja kina ukubwa sqmt 2198, urefu wa kiwanja ni 59.43 na upana ni 37 ni mita 900 kutoka njiro barabara kuu. Huduma za kijamii zinapatikana. Maongezi yapo. Sqmt 1 ni Tsh. 50,000, maongezi yapo. 2198*50,000=109,900,000 maogezi yapo karibu sana. Huduma...
  6. E

    Plot4Sale Viwanja na Mashamba vinauzwa sehemu mbalimbali Dar na Pwani

    Kazi kazi Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru ukubwa ni mita 20x30 ila nafasi ya kuongeza kubwa wa eneo ipo, kina faa kujenga Sheli sababu barabara kubwa ya lami itapita hapo siku sio nyingi, bei Tsh 50ML. Nina kiwanja maeneo...
  7. MFALME WETU

    Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa Mvuti

    Nauza kiwanja changu maeneo ya Mvuti (kina msingi mkubwa wa nyumba ya vyumba vinne; viwili master, dining pamoja na jiko). Kama unatoka Chamazi kipo mkono wa kushoto, ukiwa unatoka Chanika Kipo mkono wa kulia na kina ukubwa wa miguu 23 urefu kwa miguu 18 upana, ni kiwanja kwa ajili ya makazi...
  8. Exogenous Factor

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mlandizi Msufini, SQM 753

    Kiwanja kinauzwa,kipo Mlandizi Msufini sheli, Block J, kama unatoka Mbezi kipo mkono wa kushoto, kina ukubwa wa SQM 753 (39.56 urefu kwa 19.01 upana) ni kiwanja kwa ajili ya makazi. Kiwanja kipo karibu na barabara ya Dsm-Morogoro maarufu morogoro road. Kutoka kituo cha magari Msufini mpaka...
  9. amock

    KIWANJA KINAUZWA KIVULE

    SOLD...! KIWANJA KINAUZWA MAENEO YA KIVULE KARIBU NA SHULE YA SEKONDARI KEREZANGE SIZE : 40 METERS X 40M SOLD SOLD OUT.... 🙏
  10. amock

    SOLD: Kiwanja kinauzwa Kivule

    SOLD OUT....! KIWANJA KINAUZWA MAENEO YA KIVULE KARIBU NA SHULE YA SEKONDARI KEREZANGE SIZE : 40 METERS X 40 METERS PRICE : 25 MILLIONS CONTACT : 0712 36 33 58. ALL SERVICES AVAILABLE HAKUNA DALALI
  11. 90sgeneration

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mbande

    Maisha ni nyumba guys, na kabla ujenge lazima uwe na kiwanja. Hata usipoishi huko we jenga pangisha na uwe urithi kwa watoto baadaye. Ft. 60x50, kipo mbande, mwenyewe anashida anamgonjwa so maongezi yapo hamtashindwana, bei 4M ft.
  12. K

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside/Jeshini. 1,400 sqm

    Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside Kutoka Riverside-Mandela Road ni 1.5 km Ukubwa ni 1,400 square metre Bei ni 90m Piga 0625617565 Kinafaa kwa makazi na kuwekeza apartments sababu kiko mjini na ni kikubwa.
  13. officialbryteskylinks

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Mabwepande

    Kiwanja kipo Mabwepande 500 SQM’s Bei: 12M Kipo Karibu na Barabara kabisa. Hakina changamoto yoyote.
  14. K

    Plot4Sale Kiwanja Kinauzwa Ubungo Riverside - 1,400 sqm

    Kiwanja kinauzwa Ubungo Riverside Kutoka Riverside-Mandela Road ni 1.5 km Ukubwa ni 1,400 square metre Bei ni 90m Piga 0625617565 Kinafaa kwa makazi na kuwekeza apartments sababu kiko mjini na ni kikubwa.
  15. Sniper

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kigamboni Sqm 4000 kina hati, ukuta, maji, umeme

    Kiwanja kinauzwa Kigamboni karibu na Hamidu City. Kiwanja kina hati, kimezungushiwa fensi na kina ukubwa wa Square Metres 4000 (Eka moja). Umeme na maji vipo. Bei Milioni 250, maongezi yapo. Ni inbox au Mawasiliano ya moja kwa moja Whatsapp/Msg 0775880218. Hakuna dalali...
  16. bizzle for shizzle

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Bahari Beach

    kiwanja Chenye Nyumba kinauzwa Kipo bahari beach jijini dar es salaam Kina ukubwa wa sqm 2220 kina Hati miliki safi kabisa kutoka wizara ya Ardhi Kiwanja kina KIBANDA cha kuanzia maisha pia kimezungushiwa ukuta Pamoja na gei Kipo umbali wa meter 600 kutoka BARABARA ya lami KINAUZWA TSH 400...
  17. bizzle for shizzle

    kiwanja kinauzwa Mbweni malindi estate

    Kiwanja kinauzwa Kipo mbweni malindi , jijini dar es salaam WILAYA ya Kinondoni BARABARA ya bagamoyo road kina UKUBWA wa sqm 1495 ni corner plot na kina Hati miliki safi kutoka wizara ya Ardhi kina uzwa TSH MIL 180 mazungumzo yapo kwa muhitaji KARIBUNI sana Mawasiliano 0712464777 whatsap & call...
  18. bizzle for shizzle

    Plot4Sale Viwanja vinauzwa Mbweni-Dar

    Kipo kiwanja mbweni jkt block 5 kina sqm 1020. bei 80milion kina hat Kipo kiwanja mbweni malindi block c sqm 1100. Bei 80milion kina hat Kipo kiwanja mbweni mpiji sqm 912 bei milion 55 kina hati Kipo kingine mbweni mpiji block 13 sqm 1090 kina hat bei 50 milion Kipo kingine mbweni...
  19. M

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa

    Kiwanja kinauzwa kama ifuatavyo: i: Mahali kilipo: Kwa bibi barabara ya Tabata/Segerea mita 20 toka barabara kuu. ii: Eneo: Sqm 1,416 iii. Kina hati: Ndio iv: Bei: 310m v: Mawasiliano: +255 755 321 562 Update: ====== Bei imepungua mpaka 260m. Chukua kiwanja hiki hakina mgogoro wala udalali.
  20. X_INTELLIGENCE

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kitunda, Dar es Salaam

    Kiwanja kinauzwa KITUNDA DAR ES SALAAM, kiwanja hiki ni kikubwa mita 30*40 bei milioni 23 tu...! Unaweza ukajenga nyumba 2 za wastani... na car parking kidogo ikabaki. Barabara ya mtaa inafika hadi kilipo kiwanja. Kiwanja hiki kipo karibu kabisa na barabara ya Lami kama hatua 700 hivi kutoka...
Back
Top Bottom